Tetesi: TBC wafanya kikao usiku wa manane, kimeisha saa 11 alfajiri

Tetesi: TBC wafanya kikao usiku wa manane, kimeisha saa 11 alfajiri

Uonngozi wa juu wa TBC na wafanyakazi wengine wa kituo hicho usiku wa kuamkia leo wamefanya kikao cha dharura kuangalia sababu za kudorora kwa kituo hicho kikubwa cha TV ambacho kimemalizika saa 11 alfajiri.
Pamoja na mengine kitu kilichoonesha kuwaumiza kichwa zaidi ni jinsi gani kituo kikubwa kama hicho kinachopata ruzuku kubwa kutoka serikalini kinakuwa na ratings za mwisho huku kikizidiwa na vituo ambavyo havina hata miaka mitano hewani.
Mkurugenzi amesisitiza sana na kuwaomba wafanyakazi wa TBC kama ikitokea rais anapiga tena simu kwenye kituo chochote cha TV basi iwe TBC na ikiwa anatuma kadi ya salamu basi iwe TBC
Ikikosea kaa chini tafakar ni n.a. chukua hatua
 
TBC waache Siasa wafanye kazi kama BBC.Waache kutumika kama chombo cha propaganda cha CCM.Hiyo kazi wawachie Redio uhuru.Hakuna mchawi ni wao wenyewe.Kutwa mzima CCM CCM,nani atapoteza muda kuangalia?
 
Well done, Ndio mumeamka sasa, anyway its good and its time to pull up your socks.

Mkitaka kuwavutia watu kwanza, jitahidini sana kuwavuta watu kwa kuintroduce programs za starehe kama , Episods za TV nzuri nzuri, muwe na Uwezo wa kutengeneza programs zenu wenye , kama TV SERIES, mnaweza kuanza na vitu kama story ya Mkwawa, Kimweri nk.

Translate or Dubbing program za Kihindi au Turkish, ambazo ni very very popular world wide. K.M. Kuna TV Series ya KiTurki inayoitwa MUHANAD , hii ilidubiwa Kiarabu ikawa ime be serialized kupitia MBC, ikawa inaonyeshwa Gulf Countries zote (SAUDIA, QATAR, UAE na OMAN ) Ilipendwa sana hata baada ya miezi kadha, Utalii kutoka nchi hizi kwenda Uturuki Ulipand kwa asilimia 200 ya ilivyokua hapo awali.

A program ambapo Mnafuatilia Maisha ya Ukweli wa Watanzania waliopo Ughaibuni ( Diaspora), na Matatizo yanayo wakumba, hii itasaidia sana kuwafungua macho wadogo zetu wanofikiria kuwa kwenda ulaya ni kuzuri zaidi ya kwao, na pia itawapa ari ya vizuri vingi na fursa nyingi tulizo nazo.

Mnao uwezo wa kuwa the leaders, lazima muliendeshe hilo shirika kibiashara na sio kisiasa.
 
TBC Wakita Wafanyakiwe:
a)Wapunguze Ukada,wawe kama BBC,mambo yakitaifa yawe na kipaumbele!na wafanye coverage ya vyama vyote kwa usawa!
b)Wapunguze "Uzee" na Wakumbatie "Ujana"!Vipindi vyao haviwavutii vijana kutokana na maudhui ya vipindi!
c)Wapunguze kuweka miziki ya kizamani,unakuta toka asubuhi mpaka jioni wanapiga nyimbo za Bongofleva za miaka ya 2005 kushuka chini,mbaya zaidi nyimbo zenyewe mbayaa!
e)Waboreshe Rangi ya vipindi vyao,tena hapa wanakera sana!
 
•NINGALIKUWA MAGUFULI, NINGELIJITOA KUTOA RUZUKU KWA TBC, KWANI RUZUKU NDIYO INAYOIBWETESHA TBC...
• KWA NINI ISIINGIE KWENYE SOKO IKAPAMBANA ?...
 
Back
Top Bottom