Tetesi: TBC wafanya kikao usiku wa manane, kimeisha saa 11 alfajiri

Tetesi: TBC wafanya kikao usiku wa manane, kimeisha saa 11 alfajiri

TBC hata wamiliki wake wenyewe huwa hawaipendi.
Embu fikiria haya, kama..
1/Kama Rais na mke wake wakiwa Ikulu huwa hawaangalii TBC, nani tena aangalie?
2/Waziri Mkuu huwa hataki kuangalia TBC, nani tena aangalie?
3/Kama makada wa CCM hawataki kabisa kuangalia TBC, nani tena aangalie?

Hata kwa kulazimishwa, hakuna mtu ataangalia TBC. Kile kituo kinapaswa kufungwa kabisa, inatumia pesa za walipa kodi bure.
 
Back
Top Bottom