Mwanapropaganda
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,235
- 2,508
Ubunifu wautoe wapi? Watu wameacha kutazama TBC kwa sababu inatumika na chama. Tbc inaendeshwa kwa kodi zetu lakini ikifika kipindi cha kampeni wanajiunga na ccm.Hawana ubunifu, sijui wanasoma chuo gani?