Swagger is alive
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 559
- 467
Hii tbc haina tofauti na vile vipeperushi vya lumumba Uhuru na Mzalendo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TBC1 stop hypocrisy! tatizo mnalijua mnakaa kujadili upuuzi! Huyo PhD hopeless kabisa, hajui kwa nini mko hivyo. Ametoka uraiani anajua fika maana uraiani kuna kila kitu , tunaambizana particularly kama hauko wa kundi la kijani, tunajadili mapungufu!Uonngozi wa juu wa TBC na wafanyakazi wengine wa kituo hicho usiku wa kuamkia leo wamefanya kikao cha dharura kuangalia sababu za kudorora kwa kituo hicho kikubwa cha TV ambacho kimemalizika saa 11 alfajiri.
Pamoja na mengine kitu kilichoonesha kuwaumiza kichwa zaidi ni jinsi gani kituo kikubwa kama hicho kinachopata ruzuku kubwa kutoka serikalini kinakuwa na ratings za mwisho huku kikizidiwa na vituo ambavyo havina hata miaka mitano hewani.
Mkurugenzi amesisitiza sana na kuwaomba wafanyakazi wa TBC kama ikitokea rais anapiga tena simu kwenye kituo chochote cha TV basi iwe TBC na ikiwa anatuma kadi ya salamu basi iwe TBC
Uonngozi wa juu wa TBC na wafanyakazi wengine wa kituo hicho usiku wa kuamkia leo wamefanya kikao cha dharura kuangalia sababu za kudorora kwa kituo hicho kikubwa cha TV ambacho kimemalizika saa 11 alfajiri.
Pamoja na mengine kitu kilichoonesha kuwaumiza kichwa zaidi ni jinsi gani kituo kikubwa kama hicho kinachopata ruzuku kubwa kutoka serikalini kinakuwa na ratings za mwisho huku kikizidiwa na vituo ambavyo havina hata miaka mitano hewani.
Mkurugenzi amesisitiza sana na kuwaomba wafanyakazi wa TBC kama ikitokea rais anapiga tena simu kwenye kituo chochote cha TV basi iwe TBC na ikiwa anatuma kadi ya salamu basi iwe TBC
Wachawi tu hawaAina hii ya vikao vya usiku nimependa sn
TBC Wakita Wafanyakiwe:
a)Wapunguze Ukada,wawe kama BBC,mambo yakitaifa yawe na kipaumbele!na wafanye coverage ya vyama vyote kwa usawa!
b)Wapunguze "Uzee" na Wakumbatie "Ujana"!Vipindi vyao haviwavutii vijana kutokana na maudhui ya vipindi!
c)Wapunguze kuweka miziki ya kizamani,unakuta toka asubuhi mpaka jioni wanapiga nyimbo za Bongofleva za miaka ya 2005 kushuka chini,mbaya zaidi nyimbo zenyewe mbayaa!
e)Waboreshe Rangi ya vipindi vyao,tena hapa wanakera sana!
Daahhh hii siku ina vichekesho sanaunalinganisha tv1 na vitu vya hovyo??
Duniani kote vituo vya Taifa sio rahisi kushindana na vituo vya kibiashara, na sidhani kama hilo ndio lengo.Uonngozi wa juu wa TBC na wafanyakazi wengine wa kituo hicho usiku wa kuamkia leo wamefanya kikao cha dharura kuangalia sababu za kudorora kwa kituo hicho kikubwa cha TV ambacho kimemalizika saa 11 alfajiri.
Pamoja na mengine kitu kilichoonesha kuwaumiza kichwa zaidi ni jinsi gani kituo kikubwa kama hicho kinachopata ruzuku kubwa kutoka serikalini kinakuwa na ratings za mwisho huku kikizidiwa na vituo ambavyo havina hata miaka mitano hewani.
Mkurugenzi amesisitiza sana na kuwaomba wafanyakazi wa TBC kama ikitokea rais anapiga tena simu kwenye kituo chochote cha TV basi iwe TBC na ikiwa anatuma kadi ya salamu basi iwe TBC