Tetesi: TBC wafanya kikao usiku wa manane, kimeisha saa 11 alfajiri

TBC bila shaka ina laana ya Tido. Katika pita yangu kwenye king'amuzi changu nimeona mtangazaji tena wa habari bwana mdogo ana mikengeza ya haja. Kavaa suti ya koti la vifungo viwili, limembana hadi anahema juu juu. Bado siku wataweka mtangazaji chongo au mwenye mipengo fumufumu.
 
Mi mwaka wa 4 huu sijawahi tune tbc...nashukuru wanangu tangu wanazaliwa hawajui ka kuna hii tbc...
Ukiwaambia nataka kuangalia tv ..kama walikuwa wanaangalia cartoon wanabafilisha na kuweka itv.
 
Kama vile kurusha harusi live ndo mambo ya msingi. Kushindwa kurusha matangazo ya laivu ya uchaguzi mkuu, nk
Watanzania wanapenda mambo ya ovyo ovyo na yenye kusisimua hisia zao.TBC ni chombo cha umma lazima kiwe na maadili ya kutoa taarifa lakini zaidi lazima itoe elimu kwa umma,sio miziki na mambo ya ovyo ndio muone inawafaa.
 
Tbc kubadilika? Labda wafanyakazi wake Waache kujikomba kwa watawala. Wamezidi bana agrrh
 
Itakuwa ni masuala ya kadi ya krismas ya clouds. Kama bias mbona na wenyewe wanayo? Kitu wasichoweza kuwafikia favourites ni kutoa matusi ya hapa na pale, kujadili habari na kufanya judgement, kuinyanyua habari isiyokuwa na kichwa wala miguu na kuifanya iwe habari ya mwaka.
 
TBC hakuna atakaeweza kuziba pengo la Tido mhando. Hii ni sawa na kutamani mwanao aongee vizuri kama wengine, huku kila akijitahidi kuongea unamziba mdomo! Ataanzaje kuongea sawa na wenzake!....?! Kisa wewe ndie baba! Unamtimizia mahitaji yote, so hakuna wa kukuuliza juu ya Huyo mwanao!!!.
 
Kuna yule jamaa anajiita mtaalamu WA mangoma bishoo mmoja hivi,huwa najiuliza kile kipindi chake cha kuhojiana na wasanii video zake huwa anarekodi kwa kutumia simu? Na kama simu itakuwa very low quality na kama sio simu basi atakuwa anadownload file za YouTube zile za low quality.Anajitia aibu yani kijana kushindwa kuendesha kipindi kisasa
 
Nimempenda Rais bure amekuwa muwazi hajaipenda tbc, waache unafiki sasa wawe wazi sio kusifia kila kitu.
Halafu clouds ni jina linaanza na Ruge sijui ninwabmkoa gani???[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Anasumbua wafanyakazi bure, kwanini kikao kisifanyike siku nyingine au leo ndiyo ametambua tatizo?
Kuna mtu atakuwa anatakiwa kuachia ngaz kama yule jamaa wa kaskazin kule lupango
 
Hivi Ryoba anajielewa kweli?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anataka wapigiwe sim si kuakazana kuitangaza serikali na CCM tu.
 
Wakati Alipo kuepo Tido Muhando Aliludisha Iman Kwawatazamaji Lkn Alipo Ondoka Wakaludi Ktk Mfumo Wao Kama Chombo Cha Kisiasa Mimi Kwangu Imekua Nikama Mwiko Kutadhama Chombo Icho Mpaka Watakapo Jirekebisha

Sawasawa kabisa.
 
Wamekuwa siyo wabunifu. Wapo kichama sana..ingia ghrama anzeni kuonesha mpira WA uefa usiku, pia ingia mkataba Azam muwe mnaonesha mpira wa miguu WA ligi bara kwa pamoja. Kwenye taarifa za Habari mbalance. Habari zote onesheni za chadema, ccm, act ..
Mnaonekana mpo local sana. Kuna vpind vyenu vya kizamani sana Mfano mwanazuoni kipind cha siku nying kile hakina ubunifu. Watangazaji wenu wapo incapacity sana..au morale ndogo. Wapeni mishahara mizuri. Msipewe ruzuku mjiendeshe kibiashara mtakuwa vizuri sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…