Tetesi: TBC wafanya kikao usiku wa manane, kimeisha saa 11 alfajiri

Tetesi: TBC wafanya kikao usiku wa manane, kimeisha saa 11 alfajiri

ife kabisa siipendi TBCCM.kila nyumba Habari ya saa mbili wanaangalia SUPER BRAND ITV
 
Uonngozi wa juu wa TBC na wafanyakazi wengine wa kituo hicho usiku wa kuamkia leo wamefanya kikao cha dharura kuangalia sababu za kudorora kwa kituo hicho kikubwa cha TV ambacho kimemalizika saa 11 alfajiri.
Pamoja na mengine kitu kilichoonesha kuwaumiza kichwa zaidi ni jinsi gani kituo kikubwa kama hicho kinachopata ruzuku kubwa kutoka serikalini kinakuwa na ratings za mwisho huku kikizidiwa na vituo ambavyo havina hata miaka mitano hewani.
Mkurugenzi amesisitiza sana na kuwaomba wafanyakazi wa TBC kama ikitokea rais anapiga tena simu kwenye kituo chochote cha TV basi iwe TBC na ikiwa anatuma kadi ya salamu basi iwe TBC
Muwekeni Ruge wa clouds mtaona mabadoliko
 
Lakini kwanini rais atume salam clouds aache TV ya taifa?
Kwake yee anaona redio hiyo Ina mvuti kwake kumbuka prezdah anapenda kufagiliwa n'a clouds ndicho wanachomfanyia...

Ova
 
Sasa kama hata anaye soma magazeti habari za upinzani anaziruka hasomi unategemea nani ataangalia upuuzi huo?
 
Watanzania wanapenda mambo ya ovyo ovyo na yenye kusisimua hisia zao.TBC ni chombo cha umma lazima kiwe na maadili ya kutoa taarifa lakini zaidi lazima itoe elimu kwa umma,sio miziki na mambo ya ovyo ndio muone inawafaa.
utakuwa ni mpuuzi fulani mwenye mambo ya kizee ww. Kama ni hivyo mbona ina watazamaji wachache? Mbona kiongozi wa nchi haitumii kama kituo chake kikubwa akipendacho? Hiyo elimu inayotolewa ni ya chama kimoja? Kama inatekeleza na kutoa elimu kwa umma hicho kikao cha usiku wa manane cha nini? Hicho kituo hakina mvuto kwani kinatangaza matakwa ya watu fulani na sio ya umma.
 
Waache kuigeuza TBC kama propaganda Mouthpiece ya Watawala, hapo wataheshimika
Wanaifanya TBC kama RTD ya kipindi kile cha Zidumu fikra za Mwenyekiti,nani anataka hayo?
 
TBC!!!!! hahahaaaa, yaani hawajui kwanini hakipendwii?? Mkurugenzi hayuko serious. Wameacha kuwa chombo cha umma wamekuwa wapambe wa Ccm. Hiyo ndiyo sababu kuu. Kama wanashindwa kuonyesha bunge live lakini wanaweza kuonyesha coverage ya mkuu wa mkoa bado wanauliza kwanini hawapendwi hayo ni maajabu.
Mimi nimezuia familia nzima kuangalia Tbc
 
Mimi nsha idelete kwenye king'amuzi changu iweje telev ya taifa ibague habari za kutangaza za ssihem ndo znaoneshwa wengne wanaonekana sio watz wakt hiyo ni tv ya taifa
 
Haha kwa mwendo huu RYOBA ana kazi kama mtazamo ndiyo huu. Warudishe epl pia Ile tbc2 wapunguze miziki na kuweka vipindi vizuri kama kuonyesha mali asili zetu.
Huyu Ryoba kweli nimeamini kelele zote zile njaa tu utakubali vipi kuchukua kituo wakati unajuwa hakuna uhuru wa habari sasa kawa msemaji wa serikali. Shame on you mtu wa kweli anasimamia msimamo wake sio kama polepole
 
Back
Top Bottom