Tetesi: TBC wafanya kikao usiku wa manane, kimeisha saa 11 alfajiri

Tetesi: TBC wafanya kikao usiku wa manane, kimeisha saa 11 alfajiri

Unataka TBC ibakie na misingi yake hata kama ni ya hovyo? Iendelee na misingi yake hata hakuna mwenye hamu ya kukitazama kituo hicho?

BBC, CNN ni vituo vya TV vya kitaifa lakini vinapendwa na asilimia kubwa ya watu wote Duniani? TBC kama inataka kuwa chombo cha umma, ijifunze kutoka kwa waliofanikiwa kuliko kushikilia misingi isiyo na manufaa kwa umma.

Nini sababu ya viongozi wengi kutumia vituo vya umma kuliko TBC? Jibu ni wazi, kama unataka watu wengi wakusikie unaenda kwenye kituo kinachosikilizwa na watu wengi.

Hata ukiwa na biashara, utakuwa mjinga kama utapeleka tangazo lako la biashara kwenye gazeti la UHURU wakati unajua kuna wasomaji wachache sana wa gazeti hilo, tena wale ambao wanalazimishwa kulinunua.
Masahihisho,CNN sio kituo cha TV cha taifa ama serikali.
 
Lakini c kuna limit yakurusha vitu hewan kwaiyo sizan kama hitakuja kuwa hot sana.
 
Tv station ya Taifa in very poor resolution utafikiri tv za akina kipepe na madenge
 
Unataka TBC ibakie na misingi yake hata kama ni ya hovyo? Iendelee na misingi yake hata hakuna mwenye hamu ya kukitazama kituo hicho?

BBC, CNN ni vituo vya TV vya kitaifa lakini vinapendwa na asilimia kubwa ya watu wote Duniani? TBC kama inataka kuwa chombo cha umma, ijifunze kutoka kwa waliofanikiwa kuliko kushikilia misingi isiyo na manufaa kwa umma.

Nini sababu ya viongozi wengi kutumia vituo vya umma kuliko TBC? Jibu ni wazi, kama unataka watu wengi wakusikie unaenda kwenye kituo kinachosikilizwa na watu wengi.

Hata ukiwa na biashara, utakuwa mjinga kama utapeleka tangazo lako la biashara kwenye gazeti la UHURU wakati unajua kuna wasomaji wachache sana wa gazeti hilo, tena wale ambao wanalazimishwa kulinunua.
Yes!! nimekukubali mkuu!! Nashauri warudi kwa Danstan Tido Mhando awape mbinu kwa sababu alitaka kuipaisha alipoamua kuifanya professional broadcasting company. Ushauri wa bure ni kuwa waache kukumbatia watawala na chama tawala wawasikilize walipa kodi wanaowaendesha. Swali la msingi ni Je Tido alikuwa na makosa gani kwa kuanzisha "mchakato majimboni?" Ayoub Rioba tulitegemea angekuwa more professional lakini basi tu ninyamaze tu
 
Na badooooo.
Television ya taifa tuonyeshwe live yanayojir.
Kwann yafichweeee
 
Unataka TBC ibakie na misingi yake hata kama ni ya hovyo? Iendelee na misingi yake hata hakuna mwenye hamu ya kukitazama kituo hicho?

BBC, CNN ni vituo vya TV vya kitaifa lakini vinapendwa na asilimia kubwa ya watu wote Duniani? TBC kama inataka kuwa chombo cha umma, ijifunze kutoka kwa waliofanikiwa kuliko kushikilia misingi isiyo na manufaa kwa umma.

Nini sababu ya viongozi wengi kutumia vituo vya umma kuliko TBC? Jibu ni wazi, kama unataka watu wengi wakusikie unaenda kwenye kituo kinachosikilizwa na watu wengi.

Hata ukiwa na biashara, utakuwa mjinga kama utapeleka tangazo lako la biashara kwenye gazeti la UHURU wakati unajua kuna wasomaji wachache sana wa gazeti hilo, tena wale ambao wanalazimishwa kulinunua.
TBC itabaki na msingi yake ya kuanzishwa kwake na si vinginevyo au kwa shinikizo lako la hasha hiki ni chombo cha umma na kina taratibu na sheria zake ktk utendaji wake.

CNN ni TV binafsi kama ITV tu huko Marekani na TV ya Serikali yao ni ABC TV ambayo ina mambo muhimu kwa wamerakani.

Tusilizamishe mambo wewe kama hutaki kuangalia TBC angalia hizo TV zako zinakidhi haja zako waache wenye kujua umuhimu wa TBC waendelee kuangalia tatizo liko wapi.Serikali inaijua TBC vizuri sana kuliko unavyoijua mazuri yake na changamoto zake.
 
Kiukwel sidhan kama kuna kijana yeyote nchin anatazama tbc labda kile kipind cha kuchekesha cha fataq,taarifa ya habari watu tubaangalia ITV mpaka viongoz jicho huwa ITV kuna kitu inapswa kukirekebisha
 
Kuna chanel huwa sipend ata kwa king'amuz changu sitaki ziwepo ikiwemo
1.TBC ambayo inaacha kuwa tv ya kwanza kuangalia matatizo ya wananchi wao wanatuwekea vipindi vya cherekochereko ilhali vijini watu wanakufa na kutaaabika kwa kukosa maji safi na salama....sijaona umuhimu wa marepota wake.
2.STARTV
3.REDIO UHURU sijui hili neno uhuru lina maana gani halisi
 
Wanajipendekeza mnoo. Wanatumika Kama toilet paper, wanaachwa bila huruma.
Wakati wa uchaguzi majimbo walioshinda wapinzani walikua hawatangazi, wanatangaza kesho yake wakati tume imetoa Leo matokeo.
Mwenyekiti wa chama tawala anatamani TBC ife kabisa. Anaangalia vituo vingine.
 
Back
Top Bottom