UNo longer at easy ...alisema Chinua Achebe.Leo nimeona mantiki ya maneno yake katika nchi yangu.Tbc haitaonyesha tena bunge live sababu ni kubana matumiz pili et watu watakuwa kwenye shughulizao mchana HAPA KAZI TU....Binafsi sababu ya matumizi haina uzito Tbc ilipoanzishwa tulijua lazima ,tutaingia kwenye matumizi ,hilo li wazi ,kama tunataka kupunguza matumiz Tbc,ifutwe kabisa haina maana ya kuwepo kwasababu inatugharimu .Sababu ya pili eti watu mida ya asubuhi na mchana wapo kwenye kazi mbona mikutano ya ccm ,ilikuwa inaonyeshwa live saa tatu asubuhi ?? au watu kipindi cha kampeni walikuwa hawana kazi ?? baada ya kampeni watanzania wanakazi je wadau ambao ni wananchi wameshirikishwa kuhusu Tbc yao kuwa mzigo kwao katika kuwapasha habari au ni udikteta wa waziri wa habari ?.Serekali ikumbuke demokrasia inagharama zake mojawapo nikuwapa watu habari.Wadau wa habari na wananchi wasipoangalia tutakuwa kama nchi zinazo abudu mifumo ya kidikteta. UHURU WA HANARI NA KUPATA HABARI ANAUZKA NAPE,ila historia itamhukumu.Baada ya miaka mitati mbele tunaweza.kubaki na vyombo vya habari vya chama na serekali kasi ya kupata habari inapunguzwa.Katika dunia ya sayansi ma teknolojia sis tunaabudu bado katika kuwapimia watu habari .Mwisho kabisa kama uhuru wa habari unadidimizwa hivyo tutegemee mafisadi wa chache wa kineemeka kwa kisingozio cha hapa kazi tu.