TBC1 yasitisha kuonesha baadhi ya Mikutano ya Bunge moja kwa moja (Bunge LIVE)

Haina shida, ikiwezekana wazime kabisa matangazo yao, mbona tutaangalia kupitia STAR TV, live wao wanaonyesha

ha ha haaa

Kumbuka TBC tu ndio anaweza kurusha live, hao wengine walikua wanachukulia TBC
 
Walianza kuzuia Mikutano ya Wapinzani kwa kisingizio cha Hapa Kazi Tu....


Tumekaa kimya..

Sasa wameamua kuzuia na Matangazo ya Bunge.


Jakaya alisaini Open Government Partenership... Huu ndio Uwazi ktk Serikali???
walizuia mikutano wakati huohuo majaliwa akafanya mkutano lindi,..
hii nchii doo
 
kwani mikutano ya ccm ilikuwa inalipiwa na serikali? jaribu kuelewa nini kinalengwa kwenye mada.
 
Kipindi cha Kampeni kilikuwa ni muhimu sana, siyo tu kwa mikutano ya CCM bali ya vyama vyote. Sasa hivi hakuna sababu ya kutumia gharama kama hakuna ulazima.


Hivi watu wa Lumumba mnashabikia hata UROJO kisa nini ? Ukereketwa ???????????? Mna boa sana
 
Mheshimiwa spika,
kutokana na hali hii, TBC
imeona ni busara
kubadilisha mfumo wa
utangazaji wa shughuli za
bunge ili kukabiliana na
kupanda kwa gharama za
uendeshaji, hivyo basi, TBC
imeona ni busara kuanzia
mkutano huu wa bunge
iwe inarusha baadhi ya
matangazo ya bunge moja
kwa moja yaani live ikiwa
ni njia ya kubana
matumizi.



==========================


Hapa watakuwa wanachagua mikutano wanaona ina faida kwao na mingine hatutaiona
 
Hapa wabunge wasimamena waimbe nyimbo zote mpaka koeleweke!
 
Mbona ITV hawaonyeshi na hatulalamiki
 
ukiona vyaelea ujue vimeundwa,..
hayo maamuz yamekaliwa chini,..na pengine nape kapokea hoja2 kutoka kwa boss wake,..
yeye katekeleza2,...
ccm nia yao siku zote ni kumbana mtz ili watawale milele,.kwanini wanafanya hivi
alaf wanazuga ni democratic country,...i hate them,...
vipi ITV/AZAM?????????
HAPA NAPATA PCHA ukawa inabidi tuwe na kituo chetu private cha chama
 
Nape ametoa tangazo hilo muda huu!

Baadhi ya matukio ya shughuli za bunge yatarekodiwa na kurushwa kuanzia saa nne usiku!


arab's camel story! Nakumbuka mkutano uliopita baadhi ya wabunge walipendekeza Tbc/Tv zisioneshe kabisa vipindi vya bunge.Kisa wabunge wa upinzani hawana nidhamu! Wenye busara zao wakawaambia mtakua mmewanyima wananchi haki yao ya kikatiba ya kupata habari kutoka kwenye chombo chao.Toka kipindi hicho walikuwa wanatafakari waje na mbinu gani ya kupunguza makali ya wapinzani kuonwa na wananchi.Hiyo ni hatua ya kwanza,hatua ya pili itakuwa ni kufuta kabisa
!
 
Kumbe TBC inaangaliwa zaidi kuliko tv nyingine sasa mbona walikuwa wanaiponda ama kweli ni ukweli na uhakika.
Inaangaliwa kipindi cha bunge....ndo mahali unapata habari kuhusu mbunge wako serekali inapojibu hoja ....za matatizo ya wananchi
 
mikutano ya kampeni za J ilikuwa ikilushwa,..bunge gharama aya bhna fisiem
 
Nape asitake kuendesha hiyo wizara kama anaendesha akaunti yake ya fb kwamba ukimuuzi tu anakbrock
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…