Haina shida, ikiwezekana wazime kabisa matangazo yao, mbona tutaangalia kupitia STAR TV, live wao wanaonyesha
ha ha haaa
walizuia mikutano wakati huohuo majaliwa akafanya mkutano lindi,..Walianza kuzuia Mikutano ya Wapinzani kwa kisingizio cha Hapa Kazi Tu....
Tumekaa kimya..
Sasa wameamua kuzuia na Matangazo ya Bunge.
Jakaya alisaini Open Government Partenership... Huu ndio Uwazi ktk Serikali???
uzamani huo[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji16]HAPA KAZI TU! MUDA WA KUANGALIA BUNGE HAKUNA SUBIRI USIKU! SAFI SANA! WATANZANIA MAENDELEO HULETWA KWA KUFANYA KAZI SI KUANGALIA TV WAKATI WA KAZI.
Mpakq sasa majipu yaloyotumbuliwa yote ni CCMNi kweli kabisa. Naona hawakujua maana ya HAYA NI KAZI TU
Kipindi cha Kampeni kilikuwa ni muhimu sana, siyo tu kwa mikutano ya CCM bali ya vyama vyote. Sasa hivi hakuna sababu ya kutumia gharama kama hakuna ulazima.
Hapa wabunge wasimamena waimbe nyimbo zote mpaka koeleweke!Huu ni uhuni mkubwa sana. Wanaficha madudu yao wakiogopa wataonekana. Kams sababu ni gharama waruhusu tv nyingine idadi yeyote warushe live. Tv inaendeshwa kwa kodi za wananchi anasema gharama kubwa. Hizo binafsi kama azam na star tv wasemeje. Tbc si inafanya biashara kurusha harusi, hii sio haki kabisa. Ameshindwa kutoa sababu za msingi. Magufuli je atakubaliana na hili? Wananchi hatuna haki ya kuwaona tuliowachagua wakituwakilisha bungeni kama wanatutendea haki. Hata hiyo saa nne wasirushe
Mbona ITV hawaonyeshi na hatulalamikiUNo longer at easy ...alisema Chinua Achebe.Leo nimeona mantiki ya maneno yake katika nchi yangu.Tbc haitaonyesha tena bunge live sababu ni kubana matumiz pili et watu watakuwa kwenye shughulizao mchana HAPA KAZI TU....Binafsi sababu ya matumizi haina uzito Tbc ilipoanzishwa tulijua lazima ,tutaingia kwenye matumizi ,hilo li wazi ,kama tunataka kupunguza matumiz Tbc,ifutwe kabisa haina maana ya kuwepo kwasababu inatugharimu .Sababu ya pili eti watu mida ya asubuhi na mchana wapo kwenye kazi mbona mikutano ya ccm ,ilikuwa inaonyeshwa live saa tatu asubuhi ?? au watu kipindi cha kampeni walikuwa hawana kazi ?? baada ya kampeni watanzania wanakazi je wadau ambao ni wananchi wameshirikishwa kuhusu Tbc yao kuwa mzigo kwao katika kuwapasha habari au ni udikteta wa waziri wa habari ?.Serekali ikumbuke demokrasia inagharama zake mojawapo nikuwapa watu habari.Wadau wa habari na wananchi wasipoangalia tutakuwa kama nchi zinazo abudu mifumo ya kidikteta. UHURU WA HANARI NA KUPATA HABARI ANAUZKA NAPE,ila historia itamhukumu.Baada ya miaka mitati mbele tunaweza.kubaki na vyombo vya habari vya chama na serekali kasi ya kupata habari inapunguzwa.Katika dunia ya sayansi ma teknolojia sis tunaabudu bado katika kuwapimia watu habari .Mwisho kabisa kama uhuru wa habari unadidimizwa hivyo tutegemee mafisadi wa chache wa kineemeka kwa kisingozio cha hapa kazi tu.
ITV ni independent television ila TBC inaendeshwa na kodi zetu....Mbona ITV hawaonyeshi na hatulalamiki
Nape ametoa tangazo hilo muda huu!
Baadhi ya matukio ya shughuli za bunge yatarekodiwa na kurushwa kuanzia saa nne usiku!
Kumbe TBC inaangaliwa zaidi kuliko tv nyingine sasa mbona walikuwa wanaiponda ama kweli ni ukweli na uhakika.ITV ni independent television ila TBC inaendeshwa na kodi zetu....
wataonyessha tuuuuuuuuuuuuuuu hamna namnaITV, Azam?
Inaangaliwa kipindi cha bunge....ndo mahali unapata habari kuhusu mbunge wako serekali inapojibu hoja ....za matatizo ya wananchiKumbe TBC inaangaliwa zaidi kuliko tv nyingine sasa mbona walikuwa wanaiponda ama kweli ni ukweli na uhakika.