TBC1 yasitisha kuonesha baadhi ya Mikutano ya Bunge moja kwa moja (Bunge LIVE)

TBC1 yasitisha kuonesha baadhi ya Mikutano ya Bunge moja kwa moja (Bunge LIVE)

Serikali imeona bunge likionyeshwa litamfunika Magufuli ,itaonekana hafanyi kazi, mtashindwa kufuatilia utumbuaji majipu.
 
Bunge LA mipasho tuu ,wala halivutii,waangalie bunge LA kenya
 
Mimi naona ni maamuzi ya busara sana tena sana maana kuna watu hakuna jambo la msingi lakini linaoneshwa live hivyo pesa inatumika bure tuu!
Pia kuonesha bunge live kulikuwa kuna changia vurugu bungeni maana kuna watu wanaligeuza bunge kama sehemu ya kujipatia umaarufu na wengine wanaona ndio sehemu ya kufanyia uhuni!

Sioni sababu ya msingi ya kuonesha bunge live ikiwa kuna kipindi jioni cha bungeni leo!

Mimi napendekeza hata TV binafsi zipigwe marufuku kuonesha bunge live na wafate maelekezo ya TBC na wawe wanachukua kupitia TBC!

Najua hili ni pigo kwa UKAWA kwani wamezoea kufanya vurugu wakijua wanaonekana live.....
Elimu,Elimu,Elimu
 
Kama wako tayari kupunguza kodi ninayolipa ya 13% kufikia 4% kwa mwezi, it is right.
Lakini siyo sawa kama hakuna mabadiliko kwenye kodi ninayolipa monthly kama nilivyoeleza.
 
Hakuna shaka yoyote hili ni jipu la magufuli analilea hataki kulitumbua na asipolitumbua litamletea matatizo
 
Is he really a lawyer?

But, even if he is, who said lawyers were the smartest people?

Many of them are very pedestrian.


nakubaliana na wewe
but nategemea kuna vitu vidogo sana
kama haki ya taarifa na free speech...kwa mtu yeyote yule mwenye ufahamu hata kidogo
kujua hata kama sio lawyer
 
..siyo busara.

..bunge linapaswa kurushwa live, na baadaye kuwa na marudio.

Mzee,

Dhana nzima ya transparency kwenye hii nchi yetu ni jambo geni sana.

Na ndo maana unaona hata mishahara ya viongozi wetu wa umma haijulikani.

Na ukiuliza unaambiwa eti 'mshahara wa mtu ni siri yake na mwajiri wake'.

Sasa unabaki unajiuliza, hivi mwajiri wa hao watumishi/ viongozi wa umma ni nani hasa?

Hapo ndo unagundua kwamba kumbe matatizo ya uelewa wa watu walio wengi nchi ni makubwa kuliko pengine ulivyokuwa unadhania.
 
Ni bora wangeendelea kuonyesha live kuliko hiyo kuficha maana sasa tutakuwa tunaandika tunachojua sisi ya ukweli ya uongo na ya kuchafuliana.
 
Si sahihi watu wana haki ya kujua wabunge wao wanazungumza Kitu gani
 
nakubaliana na wewe
but nategemea kuna vitu vidogo sana
kama haki ya taarifa na free speech...kwa mtu yeyote yule mwenye ufahamu hata kidogo
kujua hata kama sio lawyer

Bossman,

Mimi tokea 2007 nauliza kuhusu mishahara ya viongozi wetu [ambao ni watumishi wetu] lakini majibu ambayo huwa napata si huwa unayaona mwenyewe?

Uelewa wa mambo wa Watanzania walio wengi ni mdogo sana.

Suala la transparency kwa watu wetu ni kama vile rocket science.

Wanaolielewa ni wachache sana.
 
Mzee,

Dhana nzima ya transparency kwenye hii nchi yetu ni jambo geni sana.

Na ndo maana unaona hata mishahara ya viongozi wetu wa umma haijulikani.

Na ukiuliza unaambiwa eti 'mshahara wa mtu ni siri yake na mwajiri wake'.

Sasa unabaki unajiuliza, hivi mwajiri wa hao watumishi/ viongozi wa umma ni nani hasa?

Hapo ndo unagundua kwamba kumbe matatizo ya uelewa wa watu walio wengi nchi ni makubwa kuliko pengine ulivyokuwa unadhania.


Ili hii nchi usije kuwa confused
ni kuungana nao tu na kusema 'hapa kazi tu'

Uamuzi hata uwe wa ajabu vipi
nitakua nasema tu 'Rais wetu mpendwa ni genius na anajua anachokifanya'
infact CCM ni kama malaika na ma genius watupu
 
Naunga mkono kuzuia TBC kurusha matangazo live. Kwa aina ya wabunge waliopo mambo yao hayatakuwa tofauti sana na ile ya mipasho na matusi. Hivyo, wabunge waendee na mijadala yenye hoja kutokurushwa live kinawakaza nini kujadili hoja kama sio promo na kuuza nyago ndo inawasumbua?
 
Katokea Mtama na Boss wake wa Mtama juzi alitoka hadharani kubeza kinachofanywa na Magufuli hivyo sishangai alipokuja na hoja ya kipuuzi kabisa kama hili la kutorusha matangazo ya bunge live .....na shida kubwa yetu vijana wa siku hizi ni we talk when we should be listening ,
 
Naunga mkono kuzuia TBC kurusha matangazo live. Kwa aina ya wabunge waliopo mambo yao hayatakuwa tofauti sana na ile ya mipasho na matusi. Hivyo, wabunge waendee na mijadala yenye hoja kutokurushwa live kinawakaza nini kujadili hoja kama sio promo na kuuza nyago ndo inawasumbua?

Fikiri upya
 
Mimi naona ni maamuzi ya busara sana tena sana maana kuna watu hakuna jambo la msingi lakini linaoneshwa live hivyo pesa inatumika bure tuu!
Pia kuonesha bunge live kulikuwa kuna changia vurugu bungeni maana kuna watu wanaligeuza bunge kama sehemu ya kujipatia umaarufu na wengine wanaona ndio sehemu ya kufanyia uhuni!

Sioni sababu ya msingi ya kuonesha bunge live ikiwa kuna kipindi jioni cha bungeni leo!

Mimi napendekeza hata TV binafsi zipigwe marufuku kuonesha bunge live na wafate maelekezo ya TBC na wawe wanachukua kupitia TBC!

Najua hili ni pigo kwa UKAWA kwani wamezoea kufanya vurugu wakijua wanaonekana live.....

Mwanasheria toka chuo cha kata huwezi kuwa na jibu tofauti na hilo.
 
Inawezekana ikawa inafaida na hasara Ila faida no nyingi zaid tunaitaji bunge lioneshwe live bana ,mimi nilikuwa najifunza mengi sana kutoka mbungen jinsi ya kutetea jambo,jinsi ya kuchambua mambo najifunzaga mengi kutoka kwa wale watu upinzan pigianene live iwepo
 
Back
Top Bottom