TBC1 yasitisha kuonesha baadhi ya Mikutano ya Bunge moja kwa moja (Bunge LIVE)



Lakini sisi wananchi tuliowengi tumekubaliana na uamuzi wa Serikali yetu na kwamba TBC yetu isirushe Bunge muda wa kazi ili tufanye kazi, kwanza ndiyo tulioiomba ifanye hivyo!
 
Pasco haya yote serikali na TBC wanayajua kindakindaki ,shida ni kwamba Nchi imeamua kuendesha kila jambo kama tupo kwenye kampeni za uchaguzi ,ila hili litawatokea serikali puani muda sio mrefu
 
Mtazamo wangu, TV zote zingerusha vipindi vya bunge usiku, baada ya watu kufanya kazi za kujenga taifa. Sababu kubwa watanzania hawafanyi kazi wanatazama bunge, mbaya zaidi wabunge wenyewe wanaotazamwa wanaongea na kufanya vitendo vya ovyo kabisa. Hii inapelekea Tanzania kuwa nchi ya siasa muda wote badala ya kujenga nchi.
 
kwa hiyo toka uzaliwe huu ndo mwaka wako wa kwanza kufanya kazi???,alafu usi claim kuwa kazi zinafanyika mchana tu kama mawazo yako yanakutuma kuwa tv zitafanya watu wasifanye kazi basi zingekuwa zinarusha vipindi vyao usiku tu
Yaelekea wewe ni mmoja was watu ambao hawajui kwamba MAENDELEO popote pale huletwa na kufanya KAZI kwa bidii na maarifa. Kama maarifa kwako ni kuangalia TV wakati wa kazi kwa kisingizio chochote kile ni ujuha!
 
Yaelekea wewe ni mmoja was watu ambao hawajui kwamba MAENDELEO popote pale huletwa na kufanya KAZI kwa bidii na maarifa. Kama maarifa kwako ni kuangalia TV wakati wa kazi kwa kisingizio chochote kile ni ujuha!

Kweli wewe unafikiri kwa ma.ta.k..o Tuambie elimu yako ili tukusamehe unamaanisha watu hawafanyi kazi kwa sababu ya kuangalia tv hasa vipindi vya bunge???? Watanzania sio wajinga kama unavyofikiria
 
Uamuzi WA nape juu ya tbc1 ni pigo kwa ukawa,kwa sababu ukawa walishazoea kujipatia umarufu kupitia drama wanazozifanya wakati WA bunge,vyanzo vyangu vya habari vinasema drama zinazofanyika bungeni zilipangwa kwa ajili ya kutengeneza attetion kwa wanachama,uamuzi WA nape ni Tishio kwa ukawa ndo maama walikua radhi hata kurusha ngumi kupinga uamuzi huo ,hata style ya kutoka nje ya bunge si kwa ajili ya kukutetea maslai ya wanachama la hasha ni kwa ajili ya kuwambia wananchi kua tupo

Maskini chadema ndo inazikwa lasmi
 
Kama unajijua kichwa cha panzi kunywa fanta bangi waachie wenye vichwa vyao naona asubuhi asubuhi kitu kimeshausika ngoja twende makanisani tukakuombee
 
Tulia uandike vizur kwani unakimbizwa ?? Jifunze kuumba herufi...
 
hivi bado upo Namtumbo wewe?????
naona unaendeleza ukilaza wako,..
hivi kwann hubadilikagi wewe ndugu yangu..?????
unanini.........
 
uamuzi wa nape ni pigo kwa watanzania wote wapenda uwazi na uwajibikaji kwa wabunge wao waliowachagua bila kujali vyama vyao. lakini uamuzi huu ni furaha kwa wabunge wote walioingia bungeni kwa ajili ya maslahi binafsi na familia zao. maana wataingia bungeni kwa ajili ya noti na hawatawasilisha matatizo ya wananchi wao serikalini. wengine wanaweza toroka baadhi ya siku na bila umma kujua kama wako bungeni ama hawapo. uamuzi wa nape unaiondoa ccm mioyoni mwa wapenda demokrasia na haki za kupata habari kwa wakati....
 
Inaelekea mtoa post kalala anaiwazia ukawa na kukurupuka kutoa post
 
Ubongo wako ni mwepesi mithili ya viaz mviringo,sijui utakua mhusika mwenyewe.hizi ni cheap politics in 30yrs ago,ni matokeo ya kubebwa na majina ya wazaz pasipo na sifa.I due respect mwigulu umefika hapo kwa political will na wengne waliofika hapo kwa majina ya wazaz wao,ndio mana wanafanya maamuzi ya kichekechea.
 
Ccm imewaharibu sana watanzania walio wengi. Hali hii inaonyesha hata waziri wa kilimo na chakula naye akitoa tamko bungeni la kutaka watanzania wale mlo mmoja tu kwa siku mtasifia na kusema pigo kwa Chadema.
 
Haaaa haaaa Sasa Drama wanazofanya zipi?kuwaambia mpango wa maendeleo wamekosea?Kuifanya Serikali iondoe hoja yake na kwenda kujipanga upya?Kipi Ni drama?Lets be great thinker na tusiwe tu mashabiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…