Halafu watu waje kukupa pole hospitali umelazwa wakuulize unaendeleaje, utawajibuje?ohooooooh [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] hii mambo ndo haifai hivi utashtaki wapi?na umefanywa nini na nani ukiwa wapi? hebu tuone ushahidi!!
Nilikuwa nasikia kama utani ila ni kweli baada watu wengi kukilalamikia kinywaji cha K-vant kuwa kinapoteza kumbu kumbu. Mbona vinywaji vyengine vipo tofauti.
Kuna kitu gani au kufanya ushindani.
unaweza panga safari au unaanza kupekua phone book !!Kabisa.
Inabidi tukinywa tuwe wapole sana.
Sema sasa ikishapanda kichwani, inakupa ma-confidence kama yote
hutumiii kilevi ndo maana tuna pishana .. kawaida ukilewa unaweza ondoka safii mapaka home ila asubuhiii unakuwa umesahau ulifikaje ndo maana mtu akisema hajuii alifikaje sio kwamba ndo kalewa kupindukia, ndo maana watu wameweka maoni yaoo kwenye K-VANT kuwa inashida kidogo na siku hiyoo sio miimi tu hata jamaa walivyo ondoka waliagana vizuriii ila kesho yake tumekutana kila mtu hakumbuki kasoro mmoja tu.mkuu usichukulie personal nimetoa tu opinion na haihusiani na nani kalipa bills na hajalipa ukishafikia state ya kutojitambua anything can happen to you
mimi binafsi situmii kilevi chochote nimekusanua tu drink responsibly usi cherish hiyo tabia ya kutojielewa
aiseeh!!Halafu watu waje kukupa pole hospitali umelazwa wakuulize unaendeleaje, utawajibuje?
Juzi kuna dingi moja likagigida k vant kilichofuata ni kuachia ualo mwanzo mwisho, k vant shikamoo
Pombe zote kwa wanawake zinaleta ashikiYeah...chunguza.
Huwa zinaleta ashki sana.
Me binafsi naipenda.
Vinywaji vingi wanatengeneza bila kufuata tbs standards, wengi wanaathirika sana.Nilikuwa nasikia kama utani ila ni kweli baada watu wengi kukilalamikia kinywaji cha K-vant kuwa kinapoteza kumbu kumbu. Mbona vinywaji vyengine vipo tofauti.
Kuna kitu gani au kufanya ushindani.
Basi usinywe tenahutumiii kilevi ndo maana tuna pishana .. kawaida ukilewa unaweza ondoka safii mapaka home ila asubuhiii unakuwa umesahau ulifikaje ndo maana mtu akisema hajuii alifikaje sio kwamba ndo kalewa kupindukia, ndo maana watu wameweka maoni yaoo kwenye K-VANT kuwa inashida kidogo na siku hiyoo sio miimi tu hata jamaa walivyo ondoka waliagana vizuriii ila kesho yake tumekutana kila mtu hakumbuki kasoro mmoja tu.
na sio kwana sijielewii hapana nafika home nakula vizurii naweka mazingira safe ila niki laza kichwa nikiamkaaa asubuhiii na kuwa nimesahau vitu baadhiii au vyote kabisa na hiii imeanza mwaka huu tu kipindi cha nyuma kulikuwa hamna shida, nikahisiii tatizo ni mimi tu kumbe kuna wengine wengi inawatokea wakiwa wana kunywa K-VANT
Kahaba kaziniYeah...chunguza.
Huwa zinaleta ashki sana.
Me binafsi naipenda.
Sasa hapo unatakiwa na safari tatu za moto ndio unaweza kubaka kabisaAfu kwanini ukinywa lazima uwaze kwenda kufanya ngono.
Sijui ina nini....japo ni nzuri na inachangamsha sana
Ya chuga ilikua ni nyagi Ile.Kvanga ilikuwa poa sana naona wameifeki sana nimerudi zangu kwa Mjaluo saafi Ila nae naona juzi wamekamata fekero kule Arusha, sijui wanataka tunywe nini?