TBS tunaomba kuangalia hiki kinywaji K-vant

Huo ni ushahidi wa feki....
lkn kwa vinywaji vingine kama kv haimaanishi below standard ni feki...
unless una ushahidi
aaaa kama ni below starndad itakuwa ni kweliii hapo sipigi, ni kama valuer miaka ya 2010 huko kuna mda fake zilisambaaa hadi kwenye ma bar wakawa wanakuja wanatangaza kuwa kama una zo fake zitoe tu kuepuka faini na wengine walikkuwa hata hawajuiii na zilikuwa zina uzwa kwa bei moja rahisi sana. yani kama ulizoea kunywa chupa ndogo basi ile ukinywa una waka balaa au unaweza usimalizee
 
Hakuna kujificha, maza mlokole tena mchungaji mzuri tu,Mi kuna kipindi nikiwa home pale ataniona mpolee siongei kabisa anajua tu jamaa hajapata vyombo.
Ataagiza boda alete Nyagi nzima au anatoka anarudi nayo Zinga.
Hapo wee nusu saa tu nikiitwanga Tutapiga Story vibaya mno siku nzima.
 
Daah siyo mara moja ninapigiwa simu kukamilisha tuliyokubaliana usiku baada ya kupiga K-Vant, na nikawa sikumbuki hata moja, hiyo siku naamka nakuta familia imeshajiandaa kuna safari, sijui hata niliwaambia tutaenda wapi...nikamwita dogo nikamuuliza kwa siri, hakukuwa na namna nikawasafirisha wenyewe
 
😀😀😀 Bonge ya mchungaji
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hama nyumbani babu
 
Uzi ukihusu pombe jf unatembea sana pia.🤔
 
Unaona uwongo wako sasa, kumbe una akili timamu mpaka unakuja kuandika porojo hapa - wewe akili yako ilifutika tu kwa bangi uzivutazo si kwa K - Vant.
 
Unaona uwongo wako sasa, kumbe una akili timamu mpaka unakuja kuandika porojo hapa - wewe akili yako ilifutika tu kwa bangi uzivutazo si kwa K - Vant.
natamani sana ninge mjuaa mama yako jina, SIJAWAHII VUTA BANGII WALA SIGARA

kwanii k-vant ikitengenezwa na ikaanza kuwa duplicated/kushuka ubora kwa mwaka ikaleta shida na watu waka gundua kuna tatizo kwani....

kama unasoma vizuri nimesema hivi mwanzoo nilijua hii shida ni mimi tu kwa mwaka huu kumbe wako wengi wana pata changamoto kwenye K-VANT na kuna mdau amesema kuwa mwanzo ilikuwa haina shida ila hivi karibu k-vant haielewek..... saizi nimetulia na konyagii fresh kabisa ............. OVER
 
Usinikumbushe ya kiroba aisee. Enzi nakaa kigeto geto nilienda buchani kununua nyama nusu kilo, nikaamua nipite na bar nishtue kidogo aisee.... Nilikuja kuamka kesho yake na geto sijui nilifikaje mwana mmoja akaniambia njia nzima nilikuwa nakula nyama mbichi dah.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kiroba ilikuwa ni balaa man
 
Mimi niliacha gari bar nikapanda bajaji kurudi home. Hii pombe ichunguzwe

Sent using Jamii Forums mobile app
Bora mkuu ukapanda bajaj, nilibonda mzinga wa kufa mtu na gari baada ya kula Grants sana nikajikuta ICU 2010.na polisi wakaandikisha tumekufa.
Dokta yule kabla hatujapelekwa mochwari katupima akasema hajafa ndio nikawekwa drip kadhaa nikafufuka baada ya siku mbili.
Mpk leo sina hamu mi kupanda Bajaj tu gari sina haja nalo 🙌 .
 

hahahaahah pole sana mkuu
 
hiii nilikuwa navipenda kwakuwa vilikuwa simple sana kuvibeba
Sahivi wamewaletea mapigo mengine kuna- Ambiance, Shimha, Kitoko sijui na takataka gani.. mi nakunywa Konyagi tu hizo zingine nshapiga chini
 
Nimekusamehe bure, endelea kuvuta bangi zako tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…