aaaa kama ni below starndad itakuwa ni kweliii hapo sipigi, ni kama valuer miaka ya 2010 huko kuna mda fake zilisambaaa hadi kwenye ma bar wakawa wanakuja wanatangaza kuwa kama una zo fake zitoe tu kuepuka faini na wengine walikkuwa hata hawajuiii na zilikuwa zina uzwa kwa bei moja rahisi sana. yani kama ulizoea kunywa chupa ndogo basi ile ukinywa una waka balaa au unaweza usimalizeeHuo ni ushahidi wa feki....
lkn kwa vinywaji vingine kama kv haimaanishi below standard ni feki...
unless una ushahidi
Hakuna kujificha, maza mlokole tena mchungaji mzuri tu,Mi kuna kipindi nikiwa home pale ataniona mpolee siongei kabisa anajua tu jamaa hajapata vyombo.Ha haha chizi wewe umenichekesha hapo mwisho. Hebu lewa na mama mkwe siku moja uje kutusimulia, si anakunywa?
Hivi kweli na utu uzima huu nimfiche mtu kuwa sinywi pombe??? No way kwa kweli.
Ila nakuelewa sana..km wazazi wapo hivyo huna budi kujificha usije ukawasononesha.
😀😀😀 Bonge ya mchungajiHakuna kujificha, maza mlokole tena mchungaji mzuri tu,Mi kuna kipindi nikiwa home pale ataniona mpolee siongei kabisa anajua tu jamaa hajapata vyombo.
Ataagiza boda alete Nyagi nzima au anatoka anarudi nayo Zinga.
Hapo wee nusu saa tu nikiitwanga Tutapiga Story vibaya mno siku nzima.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Daah siyo mara moja ninapigiwa simu kukamilisha tuliyokubaliana usiku baada ya kupiga K-Vant, na nikawa sikumbuki hata moja, hiyo siku naamka nakuta familia imeshajiandaa kuna safari, sijui hata niliwaambia tutaenda wapi...nikamwita dogo nikamuuliza kwa siri, hakukuwa na namna nikawasafirisha wenyewe
Mchungaji anachomoa betri,😂😂😂 ye hagusi kitu zaidi ya fanta, ananiambia hiyo ficha huko waumini wasione.😀😀😀 Bonge ya mchungaji
Hama nyumbani babuHakuna kujificha, maza mlokole tena mchungaji mzuri tu,Mi kuna kipindi nikiwa home pale ataniona mpolee siongei kabisa anajua tu jamaa hajapata vyombo.
Ataagiza boda alete Nyagi nzima au anatoka anarudi nayo Zinga.
Hapo wee nusu saa tu nikiitwanga Tutapiga Story vibaya mno siku nzima.
Sikai nyumbani wala sipo bongo, nazungumzia nikienda kusalimia mara chache sana.Hama nyumbani babu
Mimi niliacha gari bar nikapanda bajaji kurudi home. Hii pombe ichunguzweNilipiga K Vant, nikajikuta nimeenda sokoni kufuata gari badala ya gereji ambako nilikuwa nimeipaki
Unaona uwongo wako sasa, kumbe una akili timamu mpaka unakuja kuandika porojo hapa - wewe akili yako ilifutika tu kwa bangi uzivutazo si kwa K - Vant.mimi nina miaka 5 tokea nakunywa ila tatizo limeanza mwaka huu so wewe usishabikie endelea kunywa kuna siku utaelewa maana mimi ilikuwa mbishi kama wewe ila imekuja kujione mwenyewe. saizi nimepuzika kidogo nimerudi kwenye nyagii kwa mda kupisha uchunguzi
natamani sana ninge mjuaa mama yako jina, SIJAWAHII VUTA BANGII WALA SIGARAUnaona uwongo wako sasa, kumbe una akili timamu mpaka unakuja kuandika porojo hapa - wewe akili yako ilifutika tu kwa bangi uzivutazo si kwa K - Vant.
Usinikumbushe ya kiroba aisee. Enzi nakaa kigeto geto nilienda buchani kununua nyama nusu kilo, nikaamua nipite na bar nishtue kidogo aisee.... Nilikuja kuamka kesho yake na geto sijui nilifikaje mwana mmoja akaniambia njia nzima nilikuwa nakula nyama mbichi dah.KIROBA ORIGINAL...
Kwa mara ya kwanza ilikuwa 2012 pale Nyegezi bus terminal,nilikunywa hiyo kiroba original, kipindi hicho illikuwa inauzwa pakti 300, nilikunywa pombe ya shilingi 2700...nikapanda daladala za Igoma badala ya Airport/Ilemela...alafu mbaya zaidi ile pombe ulikuwa ukinywa hulewi hapo hapo ,mziki ni baadae , nilikuja kushtuka konda anasema "Kigereshi" kumbe nilikuwa nimezima, udenda kama wote kwenye shati....
Sasa hao KIROBA ORIGINAL ndio haohao brand ya K-VANT
K-VANT haikopeshi kama una kichwa panzi..
Usinikumbushe ya kiroba aisee. Enzi nakaa kigeto geto nilienda buchani kununua nyama nusu kilo, nikaamua nipite na bar nishtue kidogo aisee.... Nilikuja kuamka kesho yake na geto sijui nilifikaje mwana mmoja akaniambia njia nzima nilikuwa nakula nyama mbichi dah.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora mkuu ukapanda bajaj, nilibonda mzinga wa kufa mtu na gari baada ya kula Grants sana nikajikuta ICU 2010.na polisi wakaandikisha tumekufa.Mimi niliacha gari bar nikapanda bajaji kurudi home. Hii pombe ichunguzwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora mkuu ukapanda bajaj, nilibonda mzinga wa kufa mtu na gari baada ya kula Grants sana nikajikuta ICU 2010.na polisi wakaandikisha tumekufa.
Dokta yule kabla hatujapelekwa mochwari katupima akasema hajafa ndio nikawekwa drip kadhaa nikafufuka baada ya siku mbili.
Mpk leo sina hamu mi kupanda Bajaj tu gari sina haja nalo 🙌 .
Kiroba ilikuwa ni balaa man
Sahivi wamewaletea mapigo mengine kuna- Ambiance, Shimha, Kitoko sijui na takataka gani.. mi nakunywa Konyagi tu hizo zingine nshapiga chinihiii nilikuwa navipenda kwakuwa vilikuwa simple sana kuvibeba
Nimekusamehe bure, endelea kuvuta bangi zako tu.natamani sana ninge mjuaa mama yako jina, SIJAWAHII VUTA BANGII WALA SIGARA
kwanii k-vant ikitengenezwa na ikaanza kuwa duplicated/kushuka ubora kwa mwaka ikaleta shida na watu waka gundua kuna tatizo kwani....
kama unasoma vizuri nimesema hivi mwanzoo nilijua hii shida ni mimi tu kwa mwaka huu kumbe wako wengi wana pata changamoto kwenye K-VANT na kuna mdau amesema kuwa mwanzo ilikuwa haina shida ila hivi karibu k-vant haielewek..... saizi nimetulia na konyagii fresh kabisa ............. OVER