now ni mwamposa akitoka mwamposa anayefuta ni mimi kuwaambisha.Picha ilipigwa 2011 ambapo watu kutoka sehemu mbalimbali walifika kijiji cha Samunge, Loliondo wilayani Ngorongoro mkoani Arusha kupata kikombe cha dawa kutoka kwa Ambilikile Mwasapile maarufu 'Babu wa Loliondo' ambayo watu wengi waliamini kuwa inatibu magonjwa mbalimbali
.
Source: Swahili times
Jeje unakumbuka nini kuhusu Babu wa Loliondo?
Naami gen z wengi wamelisikia tu hili jina kwa juujuu
View attachment 3120588
Sio suala la mshahara wa madaktari tu pia kipindi hicho ndo social media zinaanza kushika kasi (miaka hiyo ndo wengi walianza kufuatilia mitandaoni na ishu za kisiasa zilizoshika kasi sana kipindi hicho ni ishu ya kigogo mmoja wa B. O. T ambaye inasemekana alihusika na wakubwa flani kwenye upigaji wa pesa ndefu kisha alidaiwa kufariki akiwa ughaibuni na kuzikwa huko kimya kimya lakini baada ya siku chache tu zikaibuka taarifa kwamba mwamba yuko hai anakula maisha huko ughaibuni na kuna watu wakajitokeza kudai wanajua mpaka anapolala!
Hilo na mengine mengi ya upigaji kipindi hicho ndo ikabidi itafutwe ishu mbadala ambayo itahamisha upepo wa fikra za wananchi na vyombo vya habari vyote habari kubwa iwe moja
Ndo ukasukwa mpango kabambe wa babu wa loliondo ambapo viongozi wakubwa serikalini ndo walianza kwenda kunywa dawa kwa babu Kisha maelfu ya watu kutoka ndani na nje ya nchi wakafurika kijijini hapo kupata "tiba" hiyo ya mchongo!
Finally deal done.!!! Vyombo vyote vya habari na mitandaoni habari kuu ikawa babu wa Loliondo zile ishu zote za mwanzo ikiwemo ya "marehemu aliyefia ughaibuni kufukuka" zikasahaulika mpaka leo!
Sio walikua bado watanzania wengi sana ni wajingaWalikua wajinga sana
Haina tofauti na foleni ya kwa MwamposaPicha ilipigwa 2011 ambapo watu kutoka sehemu mbalimbali walifika kijiji cha Samunge, Loliondo wilayani Ngorongoro mkoani Arusha kupata kikombe cha dawa kutoka kwa Ambilikile Mwasapile maarufu 'Babu wa Loliondo' ambayo watu wengi waliamini kuwa inatibu magonjwa mbalimbali
.
Source: Swahili times
Jeje unakumbuka nini kuhusu Babu wa Loliondo?
Naami gen z wengi wamelisikia tu hili jina kwa juujuu
View attachment 3120588
Kuna nyakati binadamu anakosa namna ya kutatua tatizo lake kabisa na kinachobaki ni faith, Sasa ukishategemea Faith ujue hakuna kutumia Logic huko.Wachokonozi wanasema watu wenye umri wa miaka 48 na kuendelea ni watu wapumbavu kuwahi kutokea kwenye nchi ya Tanzania.Hao walioenda hapo Samunge kulishwa magome ya miti umri wao ndo huo.
wengi washakufa kwani walikuwa wanaumwa, kama ulikua huumwi huwezi kwenda kule kunywa maji ya mng'ongo pori kwa madai kwamba unatibu ukimwi.Picha ilipigwa 2011 ambapo watu kutoka sehemu mbalimbali walifika kijiji cha Samunge, Loliondo wilayani Ngorongoro mkoani Arusha kupata kikombe cha dawa kutoka kwa Ambilikile Mwasapile maarufu 'Babu wa Loliondo' ambayo watu wengi waliamini kuwa inatibu magonjwa mbalimbali
.
Source: Swahili times
Jeje unakumbuka nini kuhusu Babu wa Loliondo?
Naami gen z wengi wamelisikia tu hili jina kwa juujuu
View attachment 3120588
Hii nchi bhana ...Picha ilipigwa 2011 ambapo watu kutoka sehemu mbalimbali walifika kijiji cha Samunge, Loliondo wilayani Ngorongoro mkoani Arusha kupata kikombe cha dawa kutoka kwa Ambilikile Mwasapile maarufu 'Babu wa Loliondo' ambayo watu wengi waliamini kuwa inatibu magonjwa mbalimbali
.
Source: Swahili times
Jeje unakumbuka nini kuhusu Babu wa Loliondo?
Naami gen z wengi wamelisikia tu hili jina kwa juujuu
View attachment 3120588
Hii ilidhihirisha kuwa watanzania ni wajinga.ukiwaambia hata mkia wa fisi unatibu magonjwa yote ukiula wataamini Hivyo.
Hakuna formula yoyote man, mti wa Moringa ni jamii ya miti dawa inayojulikana kimataifa, ipo kwenye kundi moja na akina aloe vera,mlonge, na mwenzake muarobaini, miti yote hii inatambulika kuwa ni tiba kwa magonjwa mbalimbali ya binaadamu na wanyama na pia ndege, issu iliyokuwepo pale loliondo ilikuwa ni ku exagerate ubora wa tiba hiyo, na kuufanya mti wa moringa kuwa unique kuliko miti hiyo mingine, hata wewe ukiweza kuutangaza muarobaini kwa namna ile utapiga hela vizuri tu.Mzee alikufa bila kutaja formula
Amechambua vizuri sana,lakini mi nakumbuka issue ya ma Dr ilimalizwa na Dr Ulimboka, ndiyo ikaibuka issue ya CDM walikuja na kitu kinaitwa Operation Kimbunga mkoa kwa mkoa, ndiyo sasa wazee wa kazi wakaja na CD ya Babu wa Loliyondo, na kweli wachezaji wote wakahama kutoka maandalizi ya Operation Kimbunga kwenda kwa Babu! Na Operation Kimbunga ikajifia yenyewe!! Enzi ya Jakaya hiyo!!Good analytical -watu Kama nyie mpo wachache Sana hapa Tanzania
Ujinga umewaondoka lini? Sasa hivi wanajazana kwa mwamposa.Picha ilipigwa 2011 ambapo watu kutoka sehemu mbalimbali walifika kijiji cha Samunge, Loliondo wilayani Ngorongoro mkoani Arusha kupata kikombe cha dawa kutoka kwa Ambilikile Mwasapile maarufu 'Babu wa Loliondo' ambayo watu wengi waliamini kuwa inatibu magonjwa mbalimbali
.
Source: Swahili times
Jeje unakumbuka nini kuhusu Babu wa Loliondo?
Naami gen z wengi wamelisikia tu hili jina kwa juujuu
View attachment 3120588
Baba yangu mzazi alikuwa na pressure aliponaWalikua wajinga sana
Watanzania wapuuzi sanaPicha ilipigwa 2011 ambapo watu kutoka sehemu mbalimbali walifika kijiji cha Samunge, Loliondo wilayani Ngorongoro mkoani Arusha kupata kikombe cha dawa kutoka kwa Ambilikile Mwasapile maarufu 'Babu wa Loliondo' ambayo watu wengi waliamini kuwa inatibu magonjwa mbalimbali
.
Source: Swahili times
Jeje unakumbuka nini kuhusu Babu wa Loliondo?
Naami gen z wengi wamelisikia tu hili jina kwa juujuu
View attachment 3120588
Mwamposa huoni alivyowashika watu....nainuka muda si mrefu...tulia hapohapo ๐Kumbe babu alikua mnyakyusa.....