Mhakiki
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 2,385
- 2,101
Mkuu samahani naona msae kabla yake pameandikwaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu samahani naona msae kabla yake pameandikwaje?
AIRMkuu samahani naona msae kabla yake pameandikwaje?
Shukrani mkuu. Kampuny ya Air Msae gari lake liliwahi tumbukia mtoni kama kumbukumbu zangu ni saba basi ni mto Pangani.
Hapo Sasa utapunguza kiwango Cha wwchangiaji.Kizazi hiki wwtauliza huko juu ya basi Kuna nini?Mzigo wa AkidasView attachment 2054666
Hadi leo hamna anayewafikia kwa ubora wake
Mzigo wa AkidasView attachment 2054666
Nangurukulu hapoMzigo wa AkidasView attachment 2054666
Pia No Challenge lilitumbukia mto Wami. Baada ya hapo wakabadilisha jina na kujiita TashrifShukrani mkuu. Kampuny ya Air Msae gari lake liliwahi tumbukia mtoni kama kumbukumbu zangu ni saba basi ni mto Pangani.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo Sasa utapunguza kiwango Cha wwchangiaji.Kizazi hiki wwtauliza huko juu ya basi Kuna nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo kiswele ilikuwa ni balaa nakumbuka kipindi hicho nipo Songea saa 11 jioni tunaanza kupokea wageni kutoka Dar.
Kwa safari za kusiniMzigo wa AkidasView attachment 2054666
Ni kweli mkuu miaka hiyo Niko songea boy's Bado TUKO mitaani unaona vyombo vinaingia kutoka DarHuyo kiswele ilikuwa ni balaa nakumbuka kipindi hicho nipo Songea saa 11 jioni tunaanza kupokea wageni kutoka Dar.