Uchaguzi 2020 TCAA yawajibu CHADEMA, yasikitishwa na upotoshaji wao

.... lakini hiyo article hapo juu imeonyesha baadhi ya Nchi duniani kutokana na upungufu wa pilots katika Nchi zao wameongeza umri huo hadi miaka 67 na Nchi nyingine ziko mbioni kuongeza umri huo.

Sasa wewe kichwa maji unajadili mapendekezo ya sheria au mabadiliko ya sheria au una jadili swala lililo mezani? Sheria yetu hairuhusu na hatujafikia kwenye huo upungufu
 

Hawawezi kuomba radhi kwani hawana maadili yenye kuwakumbusha umuhimu wa kufanya hivyo.

Wanajenga siasa za kitoto za kudeka na anayedeka siku zote anajiona ni mkamilifu.
 

Hizo taasisi hazioni matumizi ya kisukuma kwenye kampeni?
 

Wewe kichwa maji umeshindwa kusoma hata hiyo habari hapo juu sheria hairuhusu kutumia rubani mwenye umri wa zaidi ya miaka 65 ! Mlitaka mkaanguke ili msingizie CCM nyie wenye midomo mirefu
 
Je, TCAA walifanya tathmini ipi ya huyo rubani wa zaidi ya miaka 65 kwamba atahatarisha usalama wa wasafiri?

Mara ya mwisho huyo rubani kurusha helicopter akiwa above 65 YO ilikuwa lini?
Sharia haitaki sio tathimini unatathimini nini wakati sheria hairuhusu?
 
Mbona barua imeweka wazi kuwa rubani aliyekataliwa kibali ana zaidi ya 65!

Uko sahihi sana, je mara ya mwisho huyo rubani kurusha hiyo helikopta ni alipokuwa na miaka 65, na hajawahi kurusha tena?
 
Nimewaelewa Mamlaka ya anga . Sasa huyo rubani mzee kibali huwa anapata wapi au nyie hamuhusiki na vibali vya marubani ? Hamjui kuwa hao watoa huduma za helcopter wana rubani mzee ?

Halafu namshauri tu TL atumie magari tu maana bado tunachanga michango ya kampeni huku kitaa ameanza kukodi helcopter it is not fair πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kisukuma ni mojawapo ya lugha 120 za Tanzania. Ina haki kutumika.

Ingawa naona kama vile umeingiza mada katika uzi tofauti kabisa.

Niliyemqoute kasema taasisi za nchi hii zinasimamia sheria, ndio nikatao mfano wa kuongea kisukuma. Hakuna anayekataa kisukuma kutumika, ila sheria za uchaguzi ni marufuku kutumia kilugha nje ya kiswahili.
 
Mbona barua imeweka wazi kuwa rubani aliyekataliwa kibali ana zaidi ya 65!
Kiinglish wanafahamu wakina matonya tu, Wacha chichi tiliesomea ngumbaru tunyamaze. Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Je, TCAA walifanya tathmini ipi ya huyo rubani wa zaidi ya miaka 65 kwamba atahatarisha usalama wa wasafiri?

Mara ya mwisho huyo rubani kurusha helicopter akiwa above 65 YO ilikuwa lini?
unaelewa lakini au ni ubishi tu, mnataka wabatilishe kanuni na taratibu zilizowekwa? madhara yakitokea mtarudi hapa na lugha nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…