Pombe hanywi?Huyo diamond ndo anatia kinyaa kujifanya muislamu hanywi pombe ila anaimba zinaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pombe hanywi?Huyo diamond ndo anatia kinyaa kujifanya muislamu hanywi pombe ila anaimba zinaa
Video ilishatapakaa utube kila kona unaufungiaje!??Mamlaka ya wa Mawasiliano Tanzania (TCRA), imeufungia video ya wimbo wa Diamond Platnumz na Zuchu unaoitwa "Watasubiri Sana' baada ya kupata taarifa kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kuwa wimbo na video hiyo inaleta ukakasi kwa waumini wa dini na dhehebu fulani.
Wimbo huo unafungiwa licha ya kuwa una mwezi mmoja tangu ulipowekwa YouTube, ukiwa umetamzwa zaidi ya mara milioni 10.2.
Wanajaribu kuhamisha mjadala wa bei ya mafuta na hali ya kiuchumi.Another spinning story, kukicha tushazoea petrol 3300/Litre.
Diamond huwa Abadoni sanaSababu yakufungiwa ni kutokana na maudhui ya kuudhi dhini ya dini ya kikristo,sehemu ambayo inamuonyesha Zuchu akiiacha kwaya na kukimbilia nje kuongea na simu kitu ambacho hakina uhalisia kwa madhehebu ya dini hiyo.
Hii nchi ina viongozi vilaza sana,mi ni mkristo tena RC,nimejaribu kurudia ile sehemu sioni tatizo kabisaaaa halaf hata kama kuna tatizo sawa,mbona video inaonyesha Zuchu alitoka kanisani baada ya kwaya kumalizikaDah hatar
Dharau kwa ukristo huku wote wakiwa ni Muslim..Sababu yakufungiwa ni kutokana na maudhui ya kuudhi dhini ya dini ya kikristo,sehemu ambayo inamuonyesha Zuchu akiiacha kwaya na kukimbilia nje kuongea na simu kitu ambacho hakina uhalisia kwa madhehebu ya dini hiyo.
Hapa najiuliza tu hivi inakuaje Nabii Tito anaendelea kutamba mitaani,na hata clip za sheikh Mazinge zinatamba lakini hakuna tamko lolote la kulaani haya mambo,iweje tu kwa kipande cha wimbo wa domo kilete shida?
Wangeigiza madrasa imefanya hivo tuone kama ingefaa si wao waisilam na wanaijua dini yao why wawafedheeshe wakristo?Hivi Yale si yalikua mazoezi ya kwaya?..wanauhakika Kama wana kwaya hua hawapokei simu au kutoka nje wakati wa mazoezi ya kwaya!!..kazi kweli kweli
Waliotuletea ukristo wenyewe wanatuona mafa.laDharau kwa ukristo huku wote wakiwa ni Muslim..
Wangefanya hivyo kwa imani yao wangelaaniwa na kuombewa hata kifo....
Hii ndio tofaut ya saba mara sabini na jino kwa jino....
Dini Tumeletewa/Mungu hana dini..
Wala gharama za maisha hazichagui mwenye dini au mwenye Mungu[emoji3508]...
Turudi kwenye hoja za msingi kuhusu bei ya mafuta na mfumuko wa bei kwa kila kitu tusitolewe relini na haya mambo ya maigizo ya kizungu pita..
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
sio kwamba amesaidia kueneza ukristo kwa watu takribani milioni 10 duniani?Wangeigiza madrasa imefanya hivo tuone kama ingefaa si wao waisilam na wanaijua dini yao why wawafedheeshe wakristo?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Tamthilia ya Uzalo inayoonyeshwa ITV mchungaji anakula kondoo, anaiba sadaka, anauza mafuta ya upako, nk au kwasababu ni kiingereza!Kaz ya basata ni kufungiaga nyimbo tu
😂😂Tamthilia ya Uzalo inayoonyeshwa ITV mchungaji anakula kondoo, anaiba sadaka, anauza mafuta ya upako, nk au kwasababu ni kiingereza!
Wanajaribu kuhamisha mjadala wa bei ya mafuta na hali ya kiuchumi.