Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Mtoto wa juzi Tanzania imefahamika kimuziki tangu zamani. Domo janja janja nyingi ndo maana mnamuabudu. Huko kenya hata Mr Nice walimtaka,Rose muhando nae. Kila kitu kenya kenya kenya ndo maana wanatudharau
Hata Kenya tu wanamhitaji kwa sana awe Kenya. Hata huko Africa magharibi,hususani Nigeria wanathamini sana vya kwao kwanza. Hata mziki wao wanausapot kwa nguvu.
Tuthamini vya kwetu na tuwe na ya kuvisapo. Tupende tusipende,tukatae tukubali Diamond kaupeleka mbali sana mziki wa bongo. Kaitangaza sana Tanzania nje ya mipaka. Lakini humu kwetu wachawi ni wengi. Hata serikalini wapo wengi tu wachawi wake. Shida ya wengi umasikini unawasumbua. Wana wivu. Kweli nimeamini UMASIKINI NA UCHAWI WANAISHI NYUMBA MOJA.
Pamoja na yote kiukweli nimeshindwa kabisa kuisaport bongo movie,wanacheza mdunguano tu wale kenge. Ndio ujue bongo fever iko vizuri mpaka nimeisapot