Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mkristo hainisumbui, sijali kuhusu hayo.Hivi Yale si yalikua mazoezi ya kwaya?..wanauhakika Kama wana kwaya hua hawapokei simu au kutoka nje wakati wa mazoezi ya kwaya!!..kazi kweli kweli
Ulitaka wafungie kanisa?Ka ni habari ya kweli, na kama sababu ni hiyo iliyoainishwa hapo juu... basi BASATA wako na tatizo pahala
Sidhani kama tatizo ni la Diamond ikiwa kanisa husika limetoa kibali na mibaraka tosha ya kufanya video hiyo ndani ya kanisa
Wenye imani yao wameruhusu imani yao kutumika, BASATA anaingilia vipi ikiwa yeye si msimamizi wa imani hiyo
Kwanini asifanye kuhusu Uislam?Basata ni wapuuzi sana wanamuwinda Diamond kila wakati. Lakini wajue hawawezi kumshusha na hawezi wapigia magoti najua hizi ni hasira za kususiwa tuzo zao zikakosa msisimko.
Wanamuziki kibao na filamu zinafanyiwa makanisani lakini miaka yote leo wamekuja kuona la Diamond.
Cha ajabu wakristo nao wanashangaa tatizo lipo wapi
Hiyo pp yako sasa, ulinasa kwenye 18 za fumanizi na Mke wa Mtu nini [emoji848][emoji1]Kituko kikuu ni cha kufikiri peponi kuna vigori 72 vya kugegeda.
Mudi alikuwa anapenda ngono sana, yani akaona awadanganye kabisa oooh mimi mtume wenu Mudi nimeambiwa na mnyazimungu tukifa basi kule peponi tutakuta mabikira 72 tutasugua sana mbususu, kwani hawa wa4 mnaowabandua tope huku earth hawawatoshi?
E bhana kinyundo penye mshono [emoji375][emoji375] [emoji2][emoji119]Wale wanaoswaki na majini na kufuga majini ndo mashetani
TCRA inataka kujishushia hadhi hapo, mbona ni jambo la kawaida tu siku hizi watu kuchepuka ili kwenda kuongea na simu??!!?? kwenye mazishi watu hufanya hivyo, kwenye ibada watu hufanya hivyo, n.k,n.k. kuna kitu nyuma ya pazia hapoHivi Yale si yalikua mazoezi ya kwaya?..wanauhakika Kama wana kwaya hua hawapokei simu au kutoka nje wakati wa mazoezi ya kwaya!!..kazi kweli kweli
Tcra this time. Jaman uhuru Wetu upo wapi. Hkna maudhui yanayoudhi ni vitu vya kawaida Kabsa. LKn labda wafia dini wameungana kwwnye hilo, ila kuna video nyingi zinafanyika makanisan mbnaBasata ni wapuuzi sana wanamuwinda Diamond kila wakati. Lakini wajue hawawezi kumshusha na hawezi wapigia magoti najua hizi ni hasira za kususiwa tuzo zao zikakosa msisimko.
Wanamuziki kibao na filamu zinafanyiwa makanisani lakini miaka yote leo wamekuja kuona la Diamond.
Cha ajabu wakristo nao wanashangaa tatizo lipo wapi
Nenda Msikitini Leo omba kibali Cha kushoot wimbo then hiyo video ioneshe watu wanaiba kaswida alafu ikatishwe ili mtu apokee simu,Ka ni habari ya kweli, na kama sababu ni hiyo iliyoainishwa hapo juu... basi BASATA wako na tatizo pahala
Sidhani kama tatizo ni la Diamond ikiwa kanisa husika limetoa kibali na mibaraka tosha ya kufanya video hiyo ndani ya kanisa
Wenye imani yao wameruhusu imani yao kutumika, BASATA anaingilia vipi ikiwa yeye si msimamizi wa imani hiyo
Kwani uko kanisani alienda tu kufanya shooting bila kufuata utaratibu?Mbona hajafanyia msikitini angefanyia Yale matendo ya shooting msikitini basi
Kilichofanyika hapo ni usanii tu..Nahisi basata wana bifu na Mond.. mana sioni sababu ya kufungiwa hapo.. video nzuri kabisa hakuna ukakasi wwte. Naongea haya nikiwa mkristo kabisa.
Kisa niniMamlaka ya wa Mawasiliano Tanzania (TCRA), imeufungia video ya wimbo wa Diamond Platnumz na Zuchu unaoitwa "Watasubiri Sana' baada ya kupata taarifa kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kuwa wimbo na video hiyo inaleta ukakasi kwa waumini wa dini na dhehebu fulani.
Wimbo huo unafungiwa licha ya kuwa una mwezi mmoja tangu ulipowekwa YouTube, ukiwa umetamzwa zaidi ya mara milioni 10.2.
Hata Kenya tu wanamhitaji kwa sana awe Kenya. Hata huko Africa magharibi,hususani Nigeria wanathamini sana vya kwao kwanza. Hata mziki wao wanausapot kwa nguvu.Chawa wake wanalia sana huko na kusaga meno.
Anyway haifai kumpa pole ameonywa mara nyingi