Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani kichwa kimeshaelekezwa kiblaNaona polepole wanataka kumu attack
Akome kabisa Bwn. Polepole, na hii iwe fundisho kwa wanasiasa wengine, mnapokuwa na dhamana ya cheo bas msiwaone wengine hawafai!!Kamati ya Maudhui ya TCRA imesema kipindi cha Shule ya Uongozi cha Mbunge Humphrey Polepole kinatolewa pasipo kuzingatia misingi, sheria na kanuni za huduma ya utangazaji. Kamati imeongeza kuwa maudhui ya kipindi ni ya upotoshaji na yanayoweza kusababisha taharuki kwa wananchi. https://t.co/qq7KDtZnZv
Sasa kiki ya penalt tayari, mpira wetu Polepole ana hanjahanja, goli nani analifunga!
Hii itapendeza zaidiCcm hawapendi ukweli ndio ajifunze kua jambo la leo kesho linaweza kua kwako.
Wamfute na uanachama wampe kesi ya kuhujumu uchumi
Bashiru ni msomi aliyetukuka na anayejitambua, ni vile tu alipitiwa na upepo mbaya miaka 4 iliyopitaBado Bashiru
Nanyi pia ni wapotoshaji.Kamati ya Maudhui ya TCRA imesema kipindi cha Shule ya Uongozi cha Mbunge Humphrey Polepole kinatolewa pasipo kuzingatia misingi, sheria na kanuni za huduma ya utangazaji. Kamati imeongeza kuwa maudhui ya kipindi ni ya upotoshaji na yanayoweza kusababisha taharuki kwa wananchi. https://t.co/qq7KDtZnZvView attachment 2047426
🤣🤣Dakika ya 60, Wahuni 3 - Viroboto 0
Polepole anavuna matunda ya kazi yake. Ikiwezekana wasishie kumfungia tu bali wamfunge na yeye mwenyewe.TCRA wanaweza kusibitisha hayo mbele ya sheria?
Naona kama wanampa kiki Polepole tu hapo. Tunamsubiri aje huku tweeter afungua space
Unawaambiaje wale wote walio Madarakani na wenye tabia kama za Polepole???Good wakiwa madarakani wanakuwa wapumbafu sn
Duu!Kwani Henry Kisanduku ameacha kazi? Aje amalizane na huyu kiroboto,mbona kwa Tundu Lissu alifanya fasta?
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app