Mzee Ngonyani
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 1,049
- 2,242
Too late, tunao tayariView attachment 2701756
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) impokea taarifa kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kuzuiya wimbo uitwao "Amkeni" uliopigwa na mwanamuziki Emmanuel Elibariki (Nay wa Mitego) kutopigwa katika mitandao ya kijamii na vombo vya habari.
Aidha, kwa mujibu wa BASATA, maudhui ya wimbo huo yana melekeo wa kutaka wananchi wasiwe na imani na Serikali, kuchochea wananchi kuwa na mapokeo hasi juu ya utekelezaji wa mipango ya Serikali yao kwa ujumla, na kuwa ni wimbo wa uchochezi baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wananchi wake.
Hivyo, kwa barua hi, TCRA inaelekeza chombo chako cha habari kutopiga wimbo huo.
Tafadhali zingatia maelekezo.
Pia soma: Nay wa Mitego aitwa BASATA. Atuma Wanasheria wake
Miziki ina promote ushoga na ujinga ujinga wanaziachiaaaaTCRA nao wanajitoa ufahamu ,minyimbo ya matusi ndiyo yanapewa airtime ,weka mate niteleze kama nyoka pangoni.
Hata wasipopiga, maana tayari vibanda vya kuingiza nyimbo wanao.View attachment 2701756
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) impokea taarifa kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kuzuiya wimbo uitwao "Amkeni" uliopigwa na mwanamuziki Emmanuel Elibariki (Nay wa Mitego) kutopigwa katika mitandao ya kijamii na vombo vya habari.
Aidha, kwa mujibu wa BASATA, maudhui ya wimbo huo yana melekeo wa kutaka wananchi wasiwe na imani na Serikali, kuchochea wananchi kuwa na mapokeo hasi juu ya utekelezaji wa mipango ya Serikali yao kwa ujumla, na kuwa ni wimbo wa uchochezi baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wananchi wake.
Hivyo, kwa barua hi, TCRA inaelekeza chombo chako cha habari kutopiga wimbo huo.
Tafadhali zingatia maelekezo.
Pia soma: Nay wa Mitego aitwa BASATA. Atuma Wanasheria wake
Fear of the unknown...! Maneno ya Mungu yanasema: Mwenye dhambi hana raha..! (Yaani ni mtu wa kujistukia kila wakati)
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii nchi tatizo ina viongozi washamba sana na hawana exposure. Marekani Nipsey Hussle aliwahi kuimba nyimbo ya βF*CK DONALD TRUMPβ na bado hakukuwa na upumbavu wowote. Msikosolewe nyie ni nani..? Mnatembea ulaya huko kila siku ila akili zenu bado zipo fixed, exposure mnayoipata hata haiwasaidii.
Kweli kabisa.kila sehemu ya nchi hii inanuka uozo.huyu hastahili kabisa kuwa ...sema tu ndiyo hivyo katiba iliyowekwa na wabunge punguani imemweka madarakaniMuda wa nchi kuongozwa na mwanamke haujafika imekuwa bahati mbaya rais aliyechaguliwa kafariki. Nchi imeharibiwa sana.
Uliyeharibika ni wewe,kuwa mvivu.Fanyakazi,mtu mvivu kwa kulalamika hawezekani.Leo tunashindwa na wengi wa wachaga na wapemba wanajituma,na wanamaedeleo.Muda wa nchi kuongozwa na mwanamke haujafika imekuwa bahati mbaya rais aliyechaguliwa kafariki. Nchi imeharibiwa sana.
Ukiona humueewi Ney jua ya kuwa wewe si mlengwa kwenye "semi" zake....Ney kazoea kukosoa tuu kipindi cha magufuli alikosoa leo hii tena anasema anamkumbuka magufuli hata sielewi anasimamia wap
Washabiki ndiyo wanasifia bila kukosoa. Watu wanaotafuta ukweli wanasifia na kukosoa.Ney kazoea kukosoa tuu kipindi cha magufuli alikosoa leo hii tena anasema anamkumbuka magufuli hata sielewi anasimamia wap
Ficha ushoga tafadhaliMpumbafu sana kashindwa tumia sanaa kuimba zile ni dharau u arafu wa kijinga sana
Again, tafuta exposure in real life na uachane na kupata exposure yako kwenye mitandao.View attachment 2701993
Viongozi wetu wanatokana na jamii zetu. Viongozi wetu ni matokeo ya jamii zetu.
Hata siku moja nazi haiwezi kuota kwenye mti wa mpera.
Very wrong move ya mamlaka.View attachment 2701756
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imepokea taarifa kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kuzuiya wimbo uitwao "Amkeni" uliopigwa na mwanamuziki Emmanuel Elibariki (Nay wa Mitego) kutopigwa katika mitandao ya kijamii na vombo vya habari.
Aidha, kwa mujibu wa BASATA, maudhui ya wimbo huo yana melekeo wa kutaka wananchi wasiwe na imani na Serikali, kuchochea wananchi kuwa na mapokeo hasi juu ya utekelezaji wa mipango ya Serikali yao kwa ujumla, na kuwa ni wimbo wa uchochezi baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wananchi wake.
Hivyo, kwa barua hi, TCRA inaelekeza chombo chako cha habari kutopiga wimbo huo.
Tafadhali zingatia maelekezo.
Pia soma: Nay wa Mitego aitwa BASATA. Atuma Wanasheria wake
TCRA wasingehangaika kuufungia kwasababu ney mwenyewe na waliomfadhili kuutengeneza, ni yao ilikuwa kuurusha mtandaoni basi na walitarajia muda si mrefu utafungiwa. Matarajio yao hayakuwa uishi hata wiki kwenye vyombo bali urushwe, watu waudake, ufungiwe, ila ujumbe umeshafika.
Ningekuwa mimi ndio TCRA wala nisingehangaika kwenye ulimwengu ambao majority wanamiliki smartphones,wanao kwenye simu.
Na lazima kwa kuufungia kwao watu watatamani wausikilize wajue una nini hadi umefungiwa? Si huwa unaona mtu amepiga picha chafu, tcra imefungia porn ila watu wanatoa hadi pesa waone hiyo porn ipoje. Ndio ushetani,sembuse wimbo tu.