TCRA yapiga stop wimbo wa Nay wa Mitego kuchezwa kwenye vyombo vya habari

TCRA yapiga stop wimbo wa Nay wa Mitego kuchezwa kwenye vyombo vya habari

Hivi viongozi wetu Ina maana walienda shule na Bado hawajaelimika au ni upumbavu wao tu wakuzaliwa

Au sisi wananchi tuonekana kama mazezetata
 
Hili nalifahamu sana tu.

Lakini umeona jina lililotajwa kwenye barua ya TCRA? Barua yenye inaanza na number 2 wakati number moja hakuna? Barua inayosema "KUZUIYA" na sio "KUZUIA"?? Tena ikisainiwa na DG mteule wa Rais anaelipwa hela ndefu tu za kodi zetu?

Umeiona?
hujui uandishi wa barua za serikali.
 
View attachment 2701756

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imepokea taarifa kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kuzuiya wimbo uitwao "Amkeni" uliopigwa na mwanamuziki Emmanuel Elibariki (Nay wa Mitego) kutopigwa katika mitandao ya kijamii na vombo vya habari.

Aidha, kwa mujibu wa BASATA, maudhui ya wimbo huo yana melekeo wa kutaka wananchi wasiwe na imani na Serikali, kuchochea wananchi kuwa na mapokeo hasi juu ya utekelezaji wa mipango ya Serikali yao kwa ujumla, na kuwa ni wimbo wa uchochezi baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wananchi wake.

Hivyo, kwa barua hi, TCRA inaelekeza chombo chako cha habari kutopiga wimbo huo.

Tafadhali zingatia maelekezo.

Pia soma: Nay wa Mitego aitwa BASATA. Atuma Wanasheria wake
Apige YouTube na Spotify hakuna shida hawawezi kuzuia mafuriko kwa viganja
 
Mbona zile nyimbo za machawa wa CCM hawazifungii?
Ama ndo chawa wanaruhusiwa CCM tu[emoji16] ila vyama vingine hapana.
 
Ile hata waisome namba haileti uchochezi na Dhihaka kwa Wapinzani ?!!!
 
Kinachonishangaza mimi ni kwmba wanaokosoa saiv wanajifanya kumtaja magufuli wakati walisem yeye ndo alikua hafai kabisa.

Mimi binafsi napinga anachokifanya huyu mama lkn wapinzani wamekosa agenda na ni wapumbavu. Walimtukana sana jiwe leo wanajifanya kumtaja kinafki
 
Kinachonishangaza mimi ni kwmba wanaokosoa saiv wanajifanya kumtaja magufuli wakati walisem yeye ndo alikua hafai kabisa.

Mimi binafsi napinga anachokifanya huyu mama lkn wapinzani wamekosa agenda na ni wapumbavu. Walimtukana sana jiwe leo wanajifanya kumtaja kinafki
Kabisa
Wapinzani wajipambanie wenyewe bila kutegemea kivuli Cha JPM waliyemtukana kila aina ya tusi na walifurahia sana kifo chake.
 
View attachment 2701756

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imepokea taarifa kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kuzuiya wimbo uitwao "Amkeni" uliopigwa na mwanamuziki Emmanuel Elibariki (Nay wa Mitego) kutopigwa katika mitandao ya kijamii na vombo vya habari.

Aidha, kwa mujibu wa BASATA, maudhui ya wimbo huo yana melekeo wa kutaka wananchi wasiwe na imani na Serikali, kuchochea wananchi kuwa na mapokeo hasi juu ya utekelezaji wa mipango ya Serikali yao kwa ujumla, na kuwa ni wimbo wa uchochezi baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wananchi wake.

Hivyo, kwa barua hi, TCRA inaelekeza chombo chako cha habari kutopiga wimbo huo.

Tafadhali zingatia maelekezo.

Pia soma: Nay wa Mitego aitwa BASATA. Atuma Wanasheria wake
TCRA Wanachekesha kwerikweri. Wafungie YouTube na kwenye simu zetu
 
Maklasimeti Wana maamuzi ya hovyoo wakati mwingine!!
 
Hili nalifahamu sana tu.

Lakini umeona jina lililotajwa kwenye barua ya TCRA? Barua yenye inaanza na number 2 wakati number moja hakuna? Barua inayosema "KUZUIYA" na sio "KUZUIA"?? Tena ikisainiwa na DG mteule wa Rais anaelipwa hela ndefu tu za kodi zetu?

Umeiona?
Kuzuiya hiyo si Mrima wala Mvita. Hiyo kama Unguja pembezoni.
 
Again, tafuta exposure in real life na uachane na kupata exposure yako kwenye mitandao.
Nipsey was never killed kwa sababu za kisiasa, get your fact straight. Na Nipsey FDT haikuwa nyimbo yake ya kwanza kuikosoa serikali, he has several. Kwa nyie msiokuwa na exposure, let us tell you this, in America kufa kwa gunshot ni rahisi kuliko kufa na magonjwa ya aina yeyote. So yes, kufungia nyimbo za artists sababu wamekosoa serikali sounds like a thing did in 10th century huko.

My dear boy, Politics & politicians run the show.

Hizo exposure nimewaachia nyie. Ahsante
 
View attachment 2701756

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imepokea taarifa kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kuzuiya wimbo uitwao "Amkeni" uliopigwa na mwanamuziki Emmanuel Elibariki (Nay wa Mitego) kutopigwa katika mitandao ya kijamii na vombo vya habari.

Aidha, kwa mujibu wa BASATA, maudhui ya wimbo huo yana melekeo wa kutaka wananchi wasiwe na imani na Serikali, kuchochea wananchi kuwa na mapokeo hasi juu ya utekelezaji wa mipango ya Serikali yao kwa ujumla, na kuwa ni wimbo wa uchochezi baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wananchi wake.

Hivyo, kwa barua hi, TCRA inaelekeza chombo chako cha habari kutopiga wimbo huo.

Tafadhali zingatia maelekezo.

Pia soma: Nay wa Mitego aitwa BASATA. Atuma Wanasheria wake
Lakini ngoma inaujumbe wa moto!
 
Back
Top Bottom