The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 880
- 1,985
Hivi viongozi wetu Ina maana walienda shule na Bado hawajaelimika au ni upumbavu wao tu wakuzaliwa
Au sisi wananchi tuonekana kama mazezetata
Au sisi wananchi tuonekana kama mazezetata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hujui uandishi wa barua za serikali.Hili nalifahamu sana tu.
Lakini umeona jina lililotajwa kwenye barua ya TCRA? Barua yenye inaanza na number 2 wakati number moja hakuna? Barua inayosema "KUZUIYA" na sio "KUZUIA"?? Tena ikisainiwa na DG mteule wa Rais anaelipwa hela ndefu tu za kodi zetu?
Umeiona?
Apige YouTube na Spotify hakuna shida hawawezi kuzuia mafuriko kwa viganjaView attachment 2701756
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imepokea taarifa kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kuzuiya wimbo uitwao "Amkeni" uliopigwa na mwanamuziki Emmanuel Elibariki (Nay wa Mitego) kutopigwa katika mitandao ya kijamii na vombo vya habari.
Aidha, kwa mujibu wa BASATA, maudhui ya wimbo huo yana melekeo wa kutaka wananchi wasiwe na imani na Serikali, kuchochea wananchi kuwa na mapokeo hasi juu ya utekelezaji wa mipango ya Serikali yao kwa ujumla, na kuwa ni wimbo wa uchochezi baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wananchi wake.
Hivyo, kwa barua hi, TCRA inaelekeza chombo chako cha habari kutopiga wimbo huo.
Tafadhali zingatia maelekezo.
Pia soma: Nay wa Mitego aitwa BASATA. Atuma Wanasheria wake
Ndio wanakoseaga majina hivyo?hujui uandishi wa barua za serikali.
KabisaKinachonishangaza mimi ni kwmba wanaokosoa saiv wanajifanya kumtaja magufuli wakati walisem yeye ndo alikua hafai kabisa.
Mimi binafsi napinga anachokifanya huyu mama lkn wapinzani wamekosa agenda na ni wapumbavu. Walimtukana sana jiwe leo wanajifanya kumtaja kinafki
TCRA Wanachekesha kwerikweri. Wafungie YouTube na kwenye simu zetuView attachment 2701756
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imepokea taarifa kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kuzuiya wimbo uitwao "Amkeni" uliopigwa na mwanamuziki Emmanuel Elibariki (Nay wa Mitego) kutopigwa katika mitandao ya kijamii na vombo vya habari.
Aidha, kwa mujibu wa BASATA, maudhui ya wimbo huo yana melekeo wa kutaka wananchi wasiwe na imani na Serikali, kuchochea wananchi kuwa na mapokeo hasi juu ya utekelezaji wa mipango ya Serikali yao kwa ujumla, na kuwa ni wimbo wa uchochezi baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wananchi wake.
Hivyo, kwa barua hi, TCRA inaelekeza chombo chako cha habari kutopiga wimbo huo.
Tafadhali zingatia maelekezo.
Pia soma: Nay wa Mitego aitwa BASATA. Atuma Wanasheria wake
Kuzuiya hiyo si Mrima wala Mvita. Hiyo kama Unguja pembezoni.Hili nalifahamu sana tu.
Lakini umeona jina lililotajwa kwenye barua ya TCRA? Barua yenye inaanza na number 2 wakati number moja hakuna? Barua inayosema "KUZUIYA" na sio "KUZUIA"?? Tena ikisainiwa na DG mteule wa Rais anaelipwa hela ndefu tu za kodi zetu?
Umeiona?
Again, tafuta exposure in real life na uachane na kupata exposure yako kwenye mitandao.
Nipsey was never killed kwa sababu za kisiasa, get your fact straight. Na Nipsey FDT haikuwa nyimbo yake ya kwanza kuikosoa serikali, he has several. Kwa nyie msiokuwa na exposure, let us tell you this, in America kufa kwa gunshot ni rahisi kuliko kufa na magonjwa ya aina yeyote. So yes, kufungia nyimbo za artists sababu wamekosoa serikali sounds like a thing did in 10th century huko.
AahaaaaUkweli ni kama rafiki atembeaye uchi, hakuna atakayemchangamkia. Wote watajifanya hawamfahamu, wasionekane wana rafiki kichaa
Aisee noma sanaTCRA kuna vilaza aisee, hawako makini. Hawajui hata waliemfungia anaitwa nani. Ndio maana tunashindwaga kesi mbalimbali kwa kukosa umakini.
Jina halisi la Nay wa Mitego ni EMMANUEL ELIBARIKI MUNISI. Huyo waliemtaja hapo labda ni mbunge wa Singida Magharibi.View attachment 2701762
Lakini ngoma inaujumbe wa moto!View attachment 2701756
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imepokea taarifa kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kuzuiya wimbo uitwao "Amkeni" uliopigwa na mwanamuziki Emmanuel Elibariki (Nay wa Mitego) kutopigwa katika mitandao ya kijamii na vombo vya habari.
Aidha, kwa mujibu wa BASATA, maudhui ya wimbo huo yana melekeo wa kutaka wananchi wasiwe na imani na Serikali, kuchochea wananchi kuwa na mapokeo hasi juu ya utekelezaji wa mipango ya Serikali yao kwa ujumla, na kuwa ni wimbo wa uchochezi baina ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wananchi wake.
Hivyo, kwa barua hi, TCRA inaelekeza chombo chako cha habari kutopiga wimbo huo.
Tafadhali zingatia maelekezo.
Pia soma: Nay wa Mitego aitwa BASATA. Atuma Wanasheria wake
NAAM BARUA IMEANDALIWA NA WATAALAMU, WANAOFANYA KAZI KWA NIABA YA WATANZANIA.Nay - Emmanuel Elibariki Munisi
Mb - Elibariki Emmanuel Kingu
NAAM BARUA IMEANDALIWA NA WATAALAMU, WANAOFANYA KAZI KWA NIABA YA WATANZANIA.
KAMA VIPI KAZI YA BASATA WAPEWE DP WORLD