TCU imevurunda kumpeleka mwanafunzi wa HKL kwenda kusoma Udakitari

TCU imevurunda kumpeleka mwanafunzi wa HKL kwenda kusoma Udakitari

Status
Not open for further replies.
Watanzania tunapenda sifa sana,watu wanafkr university of Dar es salaam ndo chuo pekee hapa Tanzania na hii imewagharimu wanafunzi wengi waliojipendekeza kukichagua wakati ufauru wao hauzid hata ponti 6 tena kwenye course zenye ushindani na mwisho wa siku hawakuchaguliwa kabsa.yupo kijana mmoja mm namwita n mpumbavu ni graduate (B.A Hons ) katka tawi la chuo kikuu cha Dar es salaam sitolitaja.nilikutana naye kipnd fulani akiwa katika mafunzo kwa vitendo wao wanaita field. nanukuu maneno yake "Nyie mliosoma vyuo vingne tofauti na University of Dar es salaam hamna sifa kabisa kile ndo chuo pekee angalia hata identity card yangu Imeandikwa univesity of Dar es salaam japo nasoma kwenye tawi la chuo kikuu cha Dar es salaam lakin nkimaliza ntapewa cheti kutoka main cumpus"sasa ndugu zangu watu kama hawa ndo wanawalisha sumu wadogo zetu hadi kufikia hatua ya kukosa nafasi kwa kun'gan'gania kuchagua hicho chuo wanahisi vyuo vingne havina sifa.

Mkuu vijana wanaona chuo ni UD, Mzumbe na Sua.
 
kwakweli mimi mwenyewe ni muhanga katika hilo nimechaguliwa chuo ambacho sikutegemea...sasa ivi nafuta ushauri kama inawezekana kuhama chuo na course...nlisoma pcm nkapata B-PHY C-MATHS AND B*(PLUS)-CHEM Ambayo ni divition two point tisa nlipangwa sua bachelor of science in water management and irigation engrneering sasa nlitaka kusoma civil au petrolium au artitecture at udzm even ardhi msaada jaman....
kwa hizo cozi unazotaka pale ud huwezi ufaulu wako haukuruhusu kumbuka mwaka huu wenu wa BRN div one zipo nyingi sana so ww na hiyo div 2 huwezi ukaingia pale. kuna mwana hiyo ya petroleum katemwa na alikuwa na div one ya 10
 
kwa mfano wengine wamevijua vingine baada ya round ya pili! Kwa mfano teku ila sababu ni nini kwa mfano,,,

Sawa mkuu lakini maisha popote but ktk kuchagua kozi la ushindani ni muhimu kuzingatiwa.
 
kwa hizo cozi unazotaka pale ud huwezi ufaulu wako haukuruhusu kumbuka mwaka huu wenu wa BRN div one zipo nyingi sana so ww na hiyo div 2 huwezi ukaingia pale. kuna mwana hiyo ya petroleum katemwa na alikuwa na div one ya 10

Mkuu safari hii hapakuwa na divI-10.
 
kwa hizo cozi unazotaka pale ud huwezi ufaulu wako haukuruhusu kumbuka mwaka huu wenu wa BRN div one zipo nyingi sana so ww na hiyo div 2 huwezi ukaingia pale. kuna mwana hiyo ya petroleum katemwa na alikuwa na div one ya 10

kwa mfano division one ya kumi unamaanisha nini?
 
kwakweli mimi mwenyewe ni muhanga katika hilo nimechaguliwa chuo ambacho sikutegemea...sasa ivi nafuta ushauri kama inawezekana kuhama chuo na course...nlisoma pcm nkapata B-PHY C-MATHS AND B*(PLUS)-CHEM Ambayo ni divition two point tisa nlipangwa sua bachelor of science in water management and irigation engrneering sasa nlitaka kusoma civil au petrolium au artitecture at udzm even ardhi msaada jaman....

mbna maksi zako ndogo sana mdg wangu.....msipende kulazimisha mambo...wewe ni kilaza UDSM utaishia kudisco tu
 
Watanzania tunapenda sifa sana,watu wanafkr university of Dar es salaam ndo chuo pekee hapa Tanzania na hii imewagharimu wanafunzi wengi waliojipendekeza kukichagua wakati ufauru wao hauzid hata ponti 6 tena kwenye course zenye ushindani na mwisho wa siku hawakuchaguliwa kabsa.yupo kijana mmoja mm namwita n mpumbavu ni graduate (B.A Hons ) katka tawi la chuo kikuu cha Dar es salaam sitolitaja.nilikutana naye kipnd fulani akiwa katika mafunzo kwa vitendo wao wanaita field. nanukuu maneno yake "Nyie mliosoma vyuo vingne tofauti na University of Dar es salaam hamna sifa kabisa kile ndo chuo pekee angalia hata identity card yangu Imeandikwa univesity of Dar es salaam japo nasoma kwenye tawi la chuo kikuu cha Dar es salaam lakin nkimaliza ntapewa cheti kutoka main cumpus"sasa ndugu zangu watu kama hawa ndo wanawalisha sumu wadogo zetu hadi kufikia hatua ya kukosa nafasi kwa kun'gan'gania kuchagua hicho chuo wanahisi vyuo vingne havina sifa.

Watu kama hao ni ulimbukeni ndio unawasumbua halafu hata humu wapo wengi sanaa!!!
 
mimi sio mfanyakazi tcu mimi ni mhitim tu wa 4m6 ila majina nimeyaona na kozi yangu nimeiona nikawangalizia na wengine wengi

waacheni hao wasioamini wataamini majina yao yakitolewa siku 3 kabla ya chuo husika kufungua
 
Mr Emmy hivi tu kisema we mzushi kupindukia tuna kosea?. hebu we evidence wa hayo maneno yako hapa tuone. la sivyo wewe ndio unapotosha uma kwa kutoa thread za uwongo. jamani tumkemee huyu. official results tumeambiwa ni baada ya kikao cha joint admission 22/9 hayo mingine ni uzushi tu.
 
Last edited by a moderator:
dah..kwakweli mimi aya ndio machaguo yangu vinginevyo ctaweza kwasababu nategemea chuo cha serikali kutokana na unafuu wa ada ukizingatia hali ya uwezo wa familia ntokayo...labda kama kunamtu anaye ifaham vizur iyo koz ya irrigation and water resources engeneering ya Sua kama ni marketable

Ulisoma shule gani A-level?
 
kwa hizo cozi unazotaka pale ud huwezi ufaulu wako haukuruhusu kumbuka mwaka huu wenu wa BRN div one zipo nyingi sana so ww na hiyo div 2 huwezi ukaingia pale. kuna mwana hiyo ya petroleum katemwa na alikuwa na div one ya 10

One ya point kumi ya mwaka gani?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom