Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Na sisi waenda kwa Miguu festival yetu ni lini.Mambo vipi Wakuu!
Team Land Rover wako njiani kuelekea Chuga wakitokea Dar es Salaam, na hivi ndivyo walivyopitia Mwenge, kuelekea Arusha ambako wanataka kwenda kuandika historia Jumamosi hii kwenye tukio la Land Rover Festival 2024, tamasha la kwanza la aina yake katika viwanja vya Magereza Ground, Kisongo, jijini Arusha.
Soma, Pia: Huyu Nabii Geordavie ana utajiri kiasi gani? Ampa Paul Makonda Land Rover zaidi ya 10 huko jijini Arusha!
Unahangaika kweli na Makonda. Kwenye hio hio festival kuna fursa nyingi tu watu watapata.Sikatai hizi festivals kuwepo, ila zinapaswa kuratibiwa na wanazi na wapenzi wa magari, sio mkuu wa mkoa, bado tuna matatizo mengi sana ila viongozi wetu mpaka mkuu wa nchi wanawaza ma festival tu
Ili muungue tuanze kuwaonea huruma πππNgoja na sisi wa Nissan tuanze kujipanga sasa
Biashara ya vyakula na Lodge + vinywaji so kuna biashara itafanyikaUnahangaika kweli na Makonda. Kwenye hio hio festival kuna fursa nyingi tu watu watapata.
Haaaaaaa! nimecheka mpaka watu wananishangaaIli muungue tuanze kuwaonea huruma πππ
Dualis?Ngoja na sisi wa Nissan tuanze kujipanga sasa
Ili swali nili jiuliza pia mkuu wa mkoa ana tumia mda mwingi ku promote festival badala ya kufanya vitu vya msingiSikatai hizi festivals kuwepo, ila zinapaswa kuratibiwa na wanazi na wapenzi wa magari, sio mkuu wa mkoa, bado tuna matatizo mengi sana ila viongozi wetu mpaka mkuu wa nchi wanawaza ma festival tu
Mkuu wa mkoa ndiyo Rais wa mkoa na amezungukwa na wataalamu wote unaowajua wwe,hadi wadudu wapo kwa office ya mkuu wa Mkoa kwa kazi maalumu!!Ili swali nili jiuliza pia mkuu wa mkoa ana tumia mda mwingi ku promote festival badala ya kufanya vitu vya msingi
No Nissan SafariDualis?
Jamaa anavyopenda makiki usikute hizo Rondo katafuta yeye na kawalipa fedha ya kukaa hizo siku tano na gharama za wese juu yake maana jamaa ni BILIONEA.Mambo vipi Wakuu!
Team Land Rover wako njiani kuelekea Chuga wakitokea Dar es Salaam, na hivi ndivyo walivyopitia Mwenge, kuelekea Arusha ambako wanataka kwenda kuandika historia Jumamosi hii kwenye tukio la Land Rover Festival 2024, tamasha la kwanza la aina yake katika viwanja vya Magereza Ground, Kisongo, jijini Arusha.
Soma, Pia: Huyu Nabii Geordavie ana utajiri kiasi gani? Ampa Paul Makonda Land Rover zaidi ya 10 huko jijini Arusha!