TEC jitokezeni mapema kutoa ufafanuzi juu ya huu upotoshaji unaoendelea duniani, na pia nchini mwetu kuhusu kauli ya Papa.

TEC jitokezeni mapema kutoa ufafanuzi juu ya huu upotoshaji unaoendelea duniani, na pia nchini mwetu kuhusu kauli ya Papa.

Mam*ae nyinyi ndio mashoga wengi zaidi wewe angalia kwa mabwana zenu huko Ulaya ana marekani ujio ee wanavyooana hadharani tena na papaa flansis ameisha ruhusu
JE, EWE KAFIRIIIIIIIIIII UMEISHA PATA BWANA? NA UKABARIKIWA KWENYE GENGE LA USHOGA A. K. A KANISANI???
Nimekuuliza maswali yangu, umeshindwa kuyajibu! Na badala yake umeonesha kukiri kiaina, halafu ukahamisha magoli na kuanza tena kubwabwaja vitu visivyo eleweka.

All in all, unatakiwa kutambua suala la ushoga ni tatizo linaloikumba jamii yote kwa ujumla. Na ufahamu pia lilikuwepo tangu enzi na enzi. Kwa sasa linaonekana kama linashamiri, ni kwa sababu nchi zilizoendelea zimeamua kulipa kipaumbele na pia kuliingiza kwenye haki zao za binadamu.

Kwa hiyo siyo sahihi kuwashutumu watu wa imani fulani, na wakati tatizo linawahusu mpaka wale wasio na dini. Ni ushauri tu lakini. Kama una akili timamu, utanielewa.
 
Nimekuuliza maswali yangu, umeshindwa kuyajibu! Na badala yake umeonesha kukiri kiaina, halafu ukahamisha magoli na kuanza tena kubwabwaja vitu visivyo eleweka.

All in all, unatakiwa kutambua suala la ushoga ni tatizo linaloikumba jamii yote kwa ujumla. Na ufahamu pia lilikuwepo tangu enzi na enzi. Kwa sasa linaonekana kama linashamiri, ni kwa sababu nchi zilizoendelea zimeamua kulipa kipaumbele na pia kuliingiza kwenye haki zao za binadamu.

Kwa hiyo siyo sahihi kuwashutumu watu wa imani fulani, na wakati tatizo linawahusu mpaka wale wasio na dini. Ni ushauri tu lakini. Kama una akili timamu, utanielewa.
KAFIRIIII NAONA POVU TAYARI
JE USHAPATA BWANA EWE KAFIRI?
 
Mam*ae nyinyi ndio mashoga wengi zaidi wewe angalia kwa mabwana zenu huko Ulaya ana marekani ujio ee wanavyooana hadharani tena na papaa flansis ameisha ruhusu
JE, EWE KAFIRIIIIIIIIIII UMEISHA PATA BWANA? NA UKABARIKIWA KWENYE GENGE LA USHOGA A. K. A KANISANI???
Endapo kama utakuwa mkweli wa dhati kabisa na wala siyo mnafiki, utakubaliana nami kwamba Hakuna nchi au dini hata moja hapa duniani kwa sasa ambayo inaweza kujinasibu kwamba haina mashoga ndani yake. Hakuna kabisa. Hakuna nchi wala dini ambayo imenusurika na janga hili kwa sasa. Na huu ndio ukweli mchungu.
 
Endapo kama utakuwa mkweli wa dhati kabisa na wala siyo mnafiki, utakubaliana nami kwamba Hakuna nchi au dini hata moja hapa duniani kwa sasa ambayo inaweza kujinasibu kwamba haina mashoga ndani yake. Hakuna kabisa. Hakuna nchi wala dini ambayo imenusurika na janga hili kwa sasa. Na huu ndio ukweli mchungu.
Kwani wapi nimesema hamna nchi wala dini isiyokuwa na mashoga?
Ila mtambue kwamba huko Ulaya ndio kuna mashoga tena hadharani na papa Francis ameisha ruhusu kuwabariki wakristu, ila na wewe kuwa mkweli kwamba dini yenu imeruhusu mashoga naomba usinitajie dhehebu wala nini wakristu ni wakristu na wote mnamuamini Yesu kama Mungu wenu
 
Kwani wapi nimesema hamna nchi wala dini isiyokuwa na mashoga?
Ila mtambue kwamba huko Ulaya ndio kuna mashoga tena hadharani na papa Francis ameisha ruhusu kuwabariki wakristu, ila na wewe kuwa mkweli kwamba dini yenu imeruhusu mashoga naomba usinitajie dhehebu wala nini wakristu ni wakristu na wote mnamuamini Yesu kama Mungu wenu
Wazungu wengi kwa kiasi kikubwa siyo Wanafiki, hawajivungi na wanaishi ktk Uhalisia tofauti sana na watu wa races zingine kama vile Waafrika au Waarabu.
Nchi nyingi za ki-Afrika, Kiarabu na Asia kwa ujumla ambako Waislamu ni wengi zaidi, kuna idadi kubwa ya watu mashoga. Hawajulikani hadharani kutokana na sababu ya mfumo wao wa maisha kuwa wa kinafiki, watu ni wanafiki sana karibu ktk nyanja zao zote za maisha.
 
KAFIRIIII NAONA POVU TAYARI
JE USHAPATA BWANA EWE KAFIRI?
Ni utoto tu ndiyo unaokusumbua. Ukikua utaacha. Ni bahati mbaya pia nimechelewa kugundua kumbe najibizana na dogo ambaye yuko kwenye foolisha age.
 
Mmliki wa katoloki ndio keshasema wao waseme nini tena
 
Chonde chonde Baraza la Maaskofu Katoliki nchini Tanzania (TEC)! Jitokezeni mapema kutoa ufafanuzi juu ya kauli ya Papa ya kuwaruhusu Mapadre wetu kubariki watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja.

Hiyo kauli yake pamoja na huo waraka wake alioutoa bila shaka mnafahamu ni kwa namna gani umeleta mtafaruku duniani kote. Na ndani ya nchi yetu mnaona ni kwa namna gani maadui wa Kanisa wanavyoitumia hiyo kauli yake kulichafua Kanisa la Mungu!

Rai yangu kwenu ni kuwaomba mjitokeze haraka na kutoa ufafanuzi wa kina. Maana mnatambua fika imani yetu, na pia mila na desturi zetu kwa ujumla wake; hazitambui vitendo vya aina hiyo.

Hivyo kama itabainika ni kweli Papa anahamasisha kuwatambua Mashoga na Wasagaji kwenye Kanisa Katoliki, ni bora tukajitenga tu na kuanzisha Kanisa letu; kama ilivyo kwa wenzetu wa KKKT.

Mwisho kabisa naamini hili ni jaribu dogo sana kwa Kanisa, ukikinganisha na majaribu mengine makubwa ambayo Kanisa lilipitia huko nyuma. Hivyo nikiwa kama muumini wa Kanisa, naamini tutalishinda.
Tumsifu Yesu Kristu.
Ni mimi Tate Mkuu, Padre niliyekimbia kiapo cha Useja. Naomba kuwasilisha.[emoji3578][emoji120]
Hilo sio Kanisa la Mungu ni Kanisa la Papa hivyo yupo huru kuamua atakavyo na Kanisa lake.
"Usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako"
 
Ni utoto tu ndiyo unaokusumbua. Ukikua utaacha. Ni bahati mbaya pia nimechelewa kugundua kumbe najibizana na dogo ambaye yuko kwenye foolisha age.
Screenshot_20231219-141950_Gallery.jpg

Umri wa baba yako ni sawa na mjukuu wangu alafu unaniita mtoto?
 
Wazungu wengi kwa kiasi kikubwa siyo Wanafiki, hawajivungi na wanaishi ktk Uhalisia tofauti sana na watu wa races zingine kama vile Waafrika au Waarabu.
Nchi nyingi za ki-Afrika, Kiarabu na Asia kwa ujumla ambako Waislamu ni wengi zaidi, kuna idadi kubwa ya watu mashoga. Hawajulikani hadharani kutokana na sababu ya mfumo wao wa maisha kuwa wa kinafiki, watu ni wanafiki sana karibu ktk nyanja zao zote za maisha.
Screenshot_20231219-141950_Gallery.jpg

Pumbav nilijua utaongea point kumbe unaleta siasa hapa za kujitetea
Umejuaje kama wanajificha na ni mashoga? Au uwa unajumuika nao kwenye kunyanduana?
 
Ujinga mtupu
Wapiga kelele kwenye hili sakata la Papa ni Waislamu utafikiri kwao ni salama, Quran 2:223 isemayo wanawake ni konde zenu zieendeeni konde zenu kama mpendavyo tafsiri ya Kitabu Sabulus-Salam juzuu 3 inasema Mtume Muhammad alisema Aya hii imeteremshwa kwa ajili ya wanaume kuwaingilia wake zao tupu zao za nyuma, Aya inahalalisha ulawiti, kumbuka ni Aya kabisa, lakini kimyaaaa, kama hawapo. Leo eti wao ndio wachangiaji wakubwa sakata la Papa wakitaka kuaminisha watu kuwa kwao kuzuri! Papa hatakiwi kusikilizwa akienda kinyume, wa kusikilizwa ni mwanzilishi wa Imani ya Kikristo Yesu Kristo ambayo msimamo wa ndoa ni mme/mke, siyo zaidi ya hapo.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sahihi kabisa. Na Mapadre/Maaskofu waruhusiwe kuoa. Huku Watawa nao wakiruhusiwa kuolewa. Haya mambo ya useja kwa mwanaume aliyekamilika, ni kudanganyana tu.


Kwamba ushoga kwa binaadam unasababishwa na useja/utawa?


Humans are just savages, and Sex is too overrated.
 
Mam*ae nyinyi ndio mashoga wengi zaidi wewe angalia kwa mabwana zenu huko Ulaya ana marekani ujio ee wanavyooana hadharani tena na papaa flansis ameisha ruhusu
JE, EWE KAFIRIIIIIIIIIII UMEISHA PATA BWANA? NA UKABARIKIWA KWENYE GENGE LA USHOGA A. K. A KANISANI???
Usiangalie Ulaya, angalia kitabu Cha Quran kimeruhusu ulawiti,Tena kwa aya kabisa Quran 2:223 isemayo wanawake ni konde zenu, zieendeeni konde zenu kama mpendavyo, tafsiri ya Kitabu Sabulus-Salam juzuu 3 inasema Mtume wa Allah alisema, Aya hii imeteremshwa kwa ajili ya wanaume kuwaingilia wake zao tupu zao za nyuma. Mbona hujaandamana kupinga? Tena Quran 33:50 inaruhusu Mtume Muhammad kuzini na wanawake wote wa Kiislamu wanaojitoa Bure kwake, hiyo ni Aya kabisa, mbona huandamani kupinga?Hili la Papa ni lake, mwongozo wa Wakristo ni Biblia, hakuna Aya kwenye Biblia inayoruhusu ushoga, Ila kwenye Quran kumejaa Aya za uzinifu, ulawiti,wizi, uporaji, mauaji, lakini mpo tu mnaimba Takbir!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Dhumuni la kuwabariki wapenzi wa jinsia moja ni lipi haswa?

Wadhambi katika kanisa katoliki hupewa baraka pale ambapo hutubu makosa yao kwa kuyaungama, kuyajutia na kukiri kuachana nayo.

Je mashoga wakisha ombewa na kupewa baraka wata tengana na kuachana?

Au wata endelea kupokea baraka katika hali hiyo hiyo ya ushoga siku zote?

Wezi, wazinzi, waongo, wauaji, makahaba, wasengenyaji n.k Hukiri matendo yao kwa kuyaungama na kuyajutia na kisha kukiri kuto endelea nayo.

Mashoga waki enda kuungamishwa na kupewa baraka, Je wata tengana na kuacha mapenzi yao ya jinsia moja?


Hawa wezi, wazinzi, waongo, wauwaji, makahaba, wasengenyaji n.k, ni nani huwa anawafuatilia na kuhakiki mienendo yao mpaka vifo vyao baada ya kuungama?
 
Kwani wapi nimesema hamna nchi wala dini isiyokuwa na mashoga?
Ila mtambue kwamba huko Ulaya ndio kuna mashoga tena hadharani na papa Francis ameisha ruhusu kuwabariki wakristu, ila na wewe kuwa mkweli kwamba dini yenu imeruhusu mashoga naomba usinitajie dhehebu wala nini wakristu ni wakristu na wote mnamuamini Yesu kama Mungu wenu
Ushoga umeruhusiwa kwenye Quran Tena kwa aya kabisa, tufafanulie Quran 2:223 wanawake ni konde zenu, zieendeeni konde zenu kama mpendavyo.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hebu acheni kujiuma uma humu jamvini!!

Mtatetea Dini zenu Hadi lini!

Mungu kawafunulia ukweli kwamba mlikua mnsali kwenye madhabahu ya joka,Sasa mnabatilisha ufunuo was mungu Ili iweje !

Hamtaki kupona!

Hizi nyuzi za kauli ya papa haziishi jamvini Kila saa mnatetea eti kauli ibatilishwe Ili mpate nini!!?

Huo ndio ukweli na papa kaweka wazi kwamba mashoga wakiwa kwenye uhusiano ndoa yao itabarikiwa kama za kawaida vile!!

Kubalini ukweli!!


Ukweli ukipokelewa kirahisi na mapema hivi movie itakua imeishia katikati, bado kuna characters hawajaingia kucheza nafasi zao.

Scenes zijazo zitakua za moto sana.



Pedophiles washaanza kupasha misuli nao wanataka haki zao kutambuliwa.


Tunaishi katika nyakati muhimu sana. Tutunze kumbukumbu.
 
Kwamba ushoga kwa binaadam unasababishwa na useja/utawa?


Humans are just savages, and Sex is too overrated.
Hapa umechanganya madesa. Mimi ni muumini wa Kanisa Katoliki, ambalo haliruhusu Maaskofu, Mapadre na Watawa wake (wanaume) kuoa, na wale watawa wa kike (kuolewa).

Na hivyo tamaa yangu ni kuona hawa watu wanaishi kama binadamu wengine wenye sifa ya kuishi na wenza wao. Hayo maelezo yangu yanahusu maboresho! Na haya uhusiano na huo ushoga.
 
Back
Top Bottom