TEC jitokezeni mapema kutoa ufafanuzi juu ya huu upotoshaji unaoendelea duniani, na pia nchini mwetu kuhusu kauli ya Papa.

TEC jitokezeni mapema kutoa ufafanuzi juu ya huu upotoshaji unaoendelea duniani, na pia nchini mwetu kuhusu kauli ya Papa.

Wapiga kelele kwenye hili sakata la Papa ni Waislamu utafikiri kwao ni salama, Quran 2:223 isemayo wanawake ni konde zenu zieendeeni konde zenu kama mpendavyo tafsiri ya Kitabu Sabulus-Salam juzuu 3 inasema Mtume Muhammad alisema Aya hii imeteremshwa kwa ajili ya wanaume kuwaingilia wake zao tupu zao za nyuma, Aya inahalalisha ulawiti, kumbuka ni Aya kabisa, lakini kimyaaaa, kama hawapo. Leo eti wao ndio wachangiaji wakubwa sakata la Papa wakitaka kuaminisha watu kuwa kwao kuzuri! Papa hatakiwi kusikilizwa akienda kinyume, wa kusikilizwa ni mwanzilishi wa Imani ya Kikristo Yesu Kristo ambayo msimamo wa ndoa ni mme/mke, siyo zaidi ya hapo.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hao watu wana tatizo kubwa la unafiki, kutamani kuwa nguvu kubwa duniani kama ilivyo kwa Kanisa Katoliki, na pia inferiority complex.
 
Wapiga kelele kwenye hili sakata la Papa ni Waislamu utafikiri kwao ni salama, Quran 2:223 isemayo wanawake ni konde zenu zieendeeni konde zenu kama mpendavyo tafsiri ya Kitabu Sabulus-Salam juzuu 3 inasema Mtume Muhammad alisema Aya hii imeteremshwa kwa ajili ya wanaume kuwaingilia wake zao tupu zao za nyuma, Aya inahalalisha ulawiti, kumbuka ni Aya kabisa, lakini kimyaaaa, kama hawapo. Leo eti wao ndio wachangiaji wakubwa sakata la Papa wakitaka kuaminisha watu kuwa kwao kuzuri! Papa hatakiwi kusikilizwa akienda kinyume, wa kusikilizwa ni mwanzilishi wa Imani ya Kikristo Yesu Kristo ambayo msimamo wa ndoa ni mme/mke, siyo zaidi ya hapo.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Waraka unahusu makasisi, baraka na kupakuana sjaona popote papa kasema kuhusu waislamu ndo maana nasema huna akili kabsa
 
Back
Top Bottom