TEC jitokezeni mapema kutoa ufafanuzi juu ya huu upotoshaji unaoendelea duniani, na pia nchini mwetu kuhusu kauli ya Papa.

Nimekuuliza maswali yangu, umeshindwa kuyajibu! Na badala yake umeonesha kukiri kiaina, halafu ukahamisha magoli na kuanza tena kubwabwaja vitu visivyo eleweka.

All in all, unatakiwa kutambua suala la ushoga ni tatizo linaloikumba jamii yote kwa ujumla. Na ufahamu pia lilikuwepo tangu enzi na enzi. Kwa sasa linaonekana kama linashamiri, ni kwa sababu nchi zilizoendelea zimeamua kulipa kipaumbele na pia kuliingiza kwenye haki zao za binadamu.

Kwa hiyo siyo sahihi kuwashutumu watu wa imani fulani, na wakati tatizo linawahusu mpaka wale wasio na dini. Ni ushauri tu lakini. Kama una akili timamu, utanielewa.
 
KAFIRIIII NAONA POVU TAYARI
JE USHAPATA BWANA EWE KAFIRI?
 
Endapo kama utakuwa mkweli wa dhati kabisa na wala siyo mnafiki, utakubaliana nami kwamba Hakuna nchi au dini hata moja hapa duniani kwa sasa ambayo inaweza kujinasibu kwamba haina mashoga ndani yake. Hakuna kabisa. Hakuna nchi wala dini ambayo imenusurika na janga hili kwa sasa. Na huu ndio ukweli mchungu.
 
Kwani wapi nimesema hamna nchi wala dini isiyokuwa na mashoga?
Ila mtambue kwamba huko Ulaya ndio kuna mashoga tena hadharani na papa Francis ameisha ruhusu kuwabariki wakristu, ila na wewe kuwa mkweli kwamba dini yenu imeruhusu mashoga naomba usinitajie dhehebu wala nini wakristu ni wakristu na wote mnamuamini Yesu kama Mungu wenu
 
Wazungu wengi kwa kiasi kikubwa siyo Wanafiki, hawajivungi na wanaishi ktk Uhalisia tofauti sana na watu wa races zingine kama vile Waafrika au Waarabu.
Nchi nyingi za ki-Afrika, Kiarabu na Asia kwa ujumla ambako Waislamu ni wengi zaidi, kuna idadi kubwa ya watu mashoga. Hawajulikani hadharani kutokana na sababu ya mfumo wao wa maisha kuwa wa kinafiki, watu ni wanafiki sana karibu ktk nyanja zao zote za maisha.
 
KAFIRIIII NAONA POVU TAYARI
JE USHAPATA BWANA EWE KAFIRI?
Ni utoto tu ndiyo unaokusumbua. Ukikua utaacha. Ni bahati mbaya pia nimechelewa kugundua kumbe najibizana na dogo ambaye yuko kwenye foolisha age.
 
Mmliki wa katoloki ndio keshasema wao waseme nini tena
 
Hilo sio Kanisa la Mungu ni Kanisa la Papa hivyo yupo huru kuamua atakavyo na Kanisa lake.
"Usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako"
 

Pumbav nilijua utaongea point kumbe unaleta siasa hapa za kujitetea
Umejuaje kama wanajificha na ni mashoga? Au uwa unajumuika nao kwenye kunyanduana?
 
Ujinga mtupu
Wapiga kelele kwenye hili sakata la Papa ni Waislamu utafikiri kwao ni salama, Quran 2:223 isemayo wanawake ni konde zenu zieendeeni konde zenu kama mpendavyo tafsiri ya Kitabu Sabulus-Salam juzuu 3 inasema Mtume Muhammad alisema Aya hii imeteremshwa kwa ajili ya wanaume kuwaingilia wake zao tupu zao za nyuma, Aya inahalalisha ulawiti, kumbuka ni Aya kabisa, lakini kimyaaaa, kama hawapo. Leo eti wao ndio wachangiaji wakubwa sakata la Papa wakitaka kuaminisha watu kuwa kwao kuzuri! Papa hatakiwi kusikilizwa akienda kinyume, wa kusikilizwa ni mwanzilishi wa Imani ya Kikristo Yesu Kristo ambayo msimamo wa ndoa ni mme/mke, siyo zaidi ya hapo.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sahihi kabisa. Na Mapadre/Maaskofu waruhusiwe kuoa. Huku Watawa nao wakiruhusiwa kuolewa. Haya mambo ya useja kwa mwanaume aliyekamilika, ni kudanganyana tu.


Kwamba ushoga kwa binaadam unasababishwa na useja/utawa?


Humans are just savages, and Sex is too overrated.
 
Usiangalie Ulaya, angalia kitabu Cha Quran kimeruhusu ulawiti,Tena kwa aya kabisa Quran 2:223 isemayo wanawake ni konde zenu, zieendeeni konde zenu kama mpendavyo, tafsiri ya Kitabu Sabulus-Salam juzuu 3 inasema Mtume wa Allah alisema, Aya hii imeteremshwa kwa ajili ya wanaume kuwaingilia wake zao tupu zao za nyuma. Mbona hujaandamana kupinga? Tena Quran 33:50 inaruhusu Mtume Muhammad kuzini na wanawake wote wa Kiislamu wanaojitoa Bure kwake, hiyo ni Aya kabisa, mbona huandamani kupinga?Hili la Papa ni lake, mwongozo wa Wakristo ni Biblia, hakuna Aya kwenye Biblia inayoruhusu ushoga, Ila kwenye Quran kumejaa Aya za uzinifu, ulawiti,wizi, uporaji, mauaji, lakini mpo tu mnaimba Takbir!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 


Hawa wezi, wazinzi, waongo, wauwaji, makahaba, wasengenyaji n.k, ni nani huwa anawafuatilia na kuhakiki mienendo yao mpaka vifo vyao baada ya kuungama?
 
Ushoga umeruhusiwa kwenye Quran Tena kwa aya kabisa, tufafanulie Quran 2:223 wanawake ni konde zenu, zieendeeni konde zenu kama mpendavyo.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 


Ukweli ukipokelewa kirahisi na mapema hivi movie itakua imeishia katikati, bado kuna characters hawajaingia kucheza nafasi zao.

Scenes zijazo zitakua za moto sana.



Pedophiles washaanza kupasha misuli nao wanataka haki zao kutambuliwa.


Tunaishi katika nyakati muhimu sana. Tutunze kumbukumbu.
 
Kwamba ushoga kwa binaadam unasababishwa na useja/utawa?


Humans are just savages, and Sex is too overrated.
Hapa umechanganya madesa. Mimi ni muumini wa Kanisa Katoliki, ambalo haliruhusu Maaskofu, Mapadre na Watawa wake (wanaume) kuoa, na wale watawa wa kike (kuolewa).

Na hivyo tamaa yangu ni kuona hawa watu wanaishi kama binadamu wengine wenye sifa ya kuishi na wenza wao. Hayo maelezo yangu yanahusu maboresho! Na haya uhusiano na huo ushoga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…