Kwenye muhimu za kanisa ambazo wao wanasubiriwa kama kutoa statement kuhusu Hilo tamko la Papa wameshindwa kuwa wamoja kutoa tamko wanakuwa wamoja petty issues za kisiasa kama hizo za tume ya uchaguzi shame to themHilo wataishia kutoa matamko ya Askofu mmoja mmoja individual
Sina shida kama wangetoa statements Kwa issue Zote mbili
Kuna shida huko TEC huhitaji kuwa mtaalamu wa Rocket Science kuwa Kuna shida TEC yaani TEC yote iitishe mkutano kukiwa na Crisis kubwa kanisani ya Tamko la Papa halafu wanaishia kutoa Tamko la Tume ya uchaguzi sadaka za waumini wamezila Bure kusafiririshwa nk hawajawatendea Haki waumini na sadaka zao zilizogharimia huo mkutano wa TEC
Hawako vizuri