Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulislma wapi kubariki jinsia moja.Tamko Kwa waumini kuhusu alichosoma Papa kuhusu kubariki wapenzi wa jinsia moja Hilo Baraza la Maaskofu TEC watatoa lini ?
Waumini wanasubiri nimekuja mbio nilikijua wametoa Hilo tamko
Umeweka mifano rahisi kiasi hata ng'ombe anaweza kuelewa , Asante sanaHuna hoja, na yaelekea moyo wako umejaa uovu.
Baraza la Maaskofu TEC linachosisitiza ni uchaguzi kusimamiwa na watu wasio wanachama wa chama chochote ili kuwepo na haki. Na huo ni utaratibu wa kawaida, ndiyo maana timu ya Tanzania ikicheza na Kenya, refa hawezi kutoka Tanzania wala Kenya. Kwenye dhamira hiyo kuna ubaya gani? Bila shaka moyoni mwako umejaa dhuluma na uovu ndiyo maana kauli yoyote inayotuongoza kwenye haki, kwako ni tatizo.
Nadhani hapendi siasa ila anapenda HakiJamaa anapenda politiki sana
Kuna lots of injustice kwenye ukatoliki, jumuiya na communityNadhani hapendi siasa ila anapenda Haki
Hauko sahihiKuna lots of injustice kwenye ukatoliki, jumuiya na community
He is inclined to vyama tu
Pia ni addicted to camera
Poa kitimaHauko sahihi
Nishakuwa Kitima mara hii ?Poa kitima
Wana maoni gani kuhusu kubariki mashoga?Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu wa TEC Padri Kitima, leo 8/01/2024 Ametoa maoni ya Baraza la Maaskofu wa Kikatoliki ndani ya Bunge la Tanzania, kama Mchango wa Kanisa hilo kwenye Miswada ya Sheria za Uchaguzi.
TEC imesema kwamba Viongozi wa Serikali hawapaswi na iwe mwiko kwao kusimamia uchaguzi wowote , Kazi hiyo inapaswa kufanywa na Tume ya Uchaguzi tu.
Taarifa kamili hii hapa
Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limeshauri Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutowatumia viongozi wa Serikali katika kusimamia uchaguzi na badala yake wahusike wenyewe katika uchaguzi mkuu na wa serikali za mitaa.
Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu wa TEC, Padre Charles Kitima baada ya kutoa maoni yake kwa Bunge kuhusu miswada ya sheria za uchaguzi leo Jumatatu, Januari 8, 2024, Bungeni jijini Dodoma.
Kaa kimya hakuna unachojua. Wangekuwa watu wema DRC kungekuwa na utulivu. Kanisa lina kashfa ya kushiriki vita ya Biafra. Uhuru na mshikamano gani unaousema wewe?Na Tanzania hii ilikombolewa na hao hao mapadre hata bara la Afrika mapadre wamesaidia nchi nyingi kupata uhuru na kuleta umoja na mshikamano kwenye hizo nchi.
Jikite kwenye madaWana maoni gani kuhusu kubariki mashoga?
Unaona eh.Na posho yake refa alishapewa !!😅🙏
Acha ujinga pumbavu.TEC waandike waraka umfikie Boss pale Vatikanii kuwa ndoa za jinsia moja ni chukizo mbele za Mungu.
Charity begins at HOME.
Unajua nini wewe?Hata wimbo wa Taifa tunaouimba kila siku wewe huwa haukufundishi kitu?Sekondari kama zote kubwa kubwa za Tanzania zilijengwa na hao hao mapadre unawaopuuza baada ya Mama Samiah kuwa Rais.Na usitake twende mbali sana wewe mhafidhina wa kujilipua mabomu ili uende mbinguni.Mmejaa ujinga na mmejazwa ujinga na upumbavu kwa vitu ambavyo viko wazi kabisa.Unanilazimisha nikae kimya kisa unajinasibu kama Mama Samiah pumbavu,unafikiri mimi ni mtoto mdogo?DRC wanapigana kwa sababu ya kuendekeza ukabila,kwao kuna makabila ambayo ni mahsusi na ambayo siyo mahsusi.Kaa kimya hakuna unachojua. Wangekuwa watu wema DRC kungekuwa na utulivu. Kanisa lina kashfa ya kushiriki vita ya Biafra. Uhuru na mshikamano gani unaousema wewe?
Mbona Hawajamshauri Papa aachana na swala la kubariki ndoa za mashogaTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu wa TEC Padri Kitima, leo 8/01/2024 Ametoa maoni ya Baraza la Maaskofu wa Kikatoliki ndani ya Bunge la Tanzania, kama Mchango wa Kanisa hilo kwenye Miswada ya Sheria za Uchaguzi.
TEC imesema kwamba Viongozi wa Serikali hawapaswi na iwe mwiko kwao kusimamia uchaguzi wowote , Kazi hiyo inapaswa kufanywa na Tume ya Uchaguzi tu.
Taarifa kamili hii hapa
Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limeshauri Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutowatumia viongozi wa Serikali katika kusimamia uchaguzi na badala yake wahusike wenyewe katika uchaguzi mkuu na wa serikali za mitaa.
Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu wa TEC, Padre Charles Kitima baada ya kutoa maoni yake kwa Bunge kuhusu miswada ya sheria za uchaguzi leo Jumatatu, Januari 8, 2024, Bungeni jijini Dodoma.
Acha ujinga pumbavu.
Uko nje maada,Maada inahusu Tume ya uchaguzi,kama vipi anzisha maada mpya kuhusu Papa,Kwa kifupi sana wewe ni mpumbavu sanaKwenye muhimu za kanisa ambazo wao wanasubiriwa kama kutoa statement kuhusu Hilo tamko la Papa wameshindwa kuwa wamoja kutoa tamko wanakuwa wamoja petty issues za kisiasa kama hizo za tume ya uchaguzi shame to them
Sina shida kama wangetoa statements Kwa issue Zote mbili
Kuna shida huko TEC huhitaji kuwa mtaalamu wa Rocket Science kuwa Kuna shida TEC yaani TEC yote iitishe mkutano kukiwa na Crisis kubwa kanisani ya Tamko la Papa halafu wanaishia kutoa Tamko la Tume ya uchaguzi sadaka za waumini wamezila Bure kusafiririshwa nk hawajawatendea Haki waumini na sadaka zao zilizogharimia huo mkutano wa TEC
Hawako vizuri