Pre GE2025 TEC yashauri Viongozi wa Serikali wasiwe wasimamizi wa Uchaguzi

Pre GE2025 TEC yashauri Viongozi wa Serikali wasiwe wasimamizi wa Uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbona Hawajamshauri Papa aachana na swala la kubariki ndoa za mashoga
Mwaka huu 2024 January Papa amesema wazi kuwa,"Mungu hajawahi bariki dhambi,hivyo basi Kanisa Katoliki halina mamlaka ya kubariki dhambi kwa sababu lilisimikwa na Mungu mwenyewe ambaye ndiye mwasisi wa ndoa.Na ndoa ni muunganiko watu wawili Mwanaume na Mwanamke na si vinginevyo"
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu wa TEC Padri Kitima, leo 8/01/2024 Ametoa maoni ya Baraza la Maaskofu wa Kikatoliki ndani ya Bunge la Tanzania, kama Mchango wa Kanisa hilo kwenye Miswada ya Sheria za Uchaguzi.

TEC imesema kwamba Viongozi wa Serikali hawapaswi na iwe mwiko kwao kusimamia uchaguzi wowote , Kazi hiyo inapaswa kufanywa na Tume ya Uchaguzi tu.

Taarifa kamili hii hapa


Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limeshauri Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutowatumia viongozi wa Serikali katika kusimamia uchaguzi na badala yake wahusike wenyewe katika uchaguzi mkuu na wa serikali za mitaa.

Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu wa TEC, Padre Charles Kitima baada ya kutoa maoni yake kwa Bunge kuhusu miswada ya sheria za uchaguzi leo Jumatatu, Januari 8, 2024, Bungeni jijini Dodoma.
Na tume yenyewe eti inachaguliwa na Rais ambaye naye ni mgombea, HIKI ni kichekesho.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Na tume yenyewe eti inachaguliwa na Rais ambaye naye ni mgombea, HIKI ni kichekesho.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Watu wengine wameanza kuleta matusi na kujaribu kuibadilisha mada hii,
Mimi nadhani tatizo linalojadiliwa hapa ni kutokewepo usawa na haki katika chaguzi zetu zinazopelekea upande mmoja kujiona wao ndio wanastahili kupata haki zote mpaka Za kuchagua marefarii wa kusimamia na kuuchezesha mchezo husika !!
Hapo ndipo linapokuja dai la mleta mada kwamba mbona hatuheshimiani kwenye chaguzi zetu ??!
 
Watu wengine wameanza kuleta matusi na kujaribu kuibadilisha mada hii,
Mimi nadhani tatizo linalojadiliwa hapa ni kutokewepo usawa na haki katika chaguzi zetu zinazopelekea upande mmoja kujiona wao ndio wanastahili kupata haki zote mpaka Za kuchagua marefarii wa kusimamia na kuuchezesha mchezo husika !!
Hapo ndipo linapokuja dai la mleta mada kwamba mbona hatuheshimiani kwenye chaguzi zetu ??!
Ndiyo maana yake, huwezi kuwa refa wa timu yako.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Unajua nini wewe?Hata wimbo wa Taifa tunaouimba kila siku wewe huwa haukufundishi kitu?Sekondari kama zote kubwa kubwa za Tanzania zilijengwa na hao hao mapadre unawaopuuza baada ya Mama Samiah kuwa Rais.Na usitake twende mbali sana wewe mhafidhina wa kujilipua mabomu ili uende mbinguni.Mmejaa ujinga na mmejazwa ujinga na upumbavu kwa vitu ambavyo viko wazi kabisa.Unanilazimisha nikae kimya kisa unajinasibu kama Mama Samiah pumbavu,unafikiri mimi ni mtoto mdogo?DRC wanapigana kwa sababu ya kuendekeza ukabila,kwao kuna makabila ambayo ni mahsusi na ambayo siyo mahsusi.
Nikupe mafano tu Rais Magufuri alipofanikiwa tu kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alianza kuingiza ukabila taratibu taratibu kwa kuwa ana chembe chembe za kutoka huko.Hata nchi za Burundi,Rwanda,Uganda,na Mkoa wa Kagera Tanzania ni sehemu ambazo hutanguliza maslahi ya kabila kuliko umoja wa nchi.Kwa hiyo kulisingizia Kanisa Katoliki ni kukosa maarifa kama vile maandiko yanavyosema,"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"
Nimesoma comment yako sijaona hoja yoyote hapa zaidi ya kunililia utadhani mimi ni baba yako. Nikuulize unajua nini kuhusu Biafra war?
 
Umekumbwa na nini? Hujawasikia wanalalamika wapo tayari kuyabariki mawe na si ndoa za jinsia moja? Ikiwa ndivyo waandike waraka uende kwa Boss kuonesha kuchukizwa na hilo.
Mimi naamini tamko la Vatican ambalo limetolewa na Papa mwenyewe kuwa,"Mungu hajawahi bariki dhambi hivyo sisi kama Kanisa Katoliki hatuna mamalaka ya kubariki dhambi maana ndoa ni taasisi iliyojengwa na Mungu mwenyewe baina ya Mwanamume na Mwanamke."
 
Imedhihirika pasi na shaka watumishi wa umma hawana maadili ya kusimamia uchaguzi. Wao imekuwa kiungo muhimu wa chaguzi zote za kishenzi ndani ya nchi hii.
I can confirm to you without fear of contradictions mawazo na mtazamo wa tec pamoja na yako ni mazuri ila si muhimu.....

Uchaguzi utasimamiwa na waTanzania kupitia tume huru ya uchaguzi bila mbambamba za yeyeote
 
I can confirm to you without fear of contradictions mawazo na mtazamo wa tec pamoja na yako ni mazuri ila si muhimu.....

Uchaguzi utasimamiwa na waTanzania kupitia tume huru ya uchaguzi bila mbambamba za yeyeote
Zamani walisema hivi "JEURI YA CHAMA IYEBAAAA "
 
Zamani walisema hivi "JEURI YA CHAMA IYEBAAAA "
sasa hivi tunakwendra uchaguzi ukizira kaa kando, ukijifanya mjuaji na kujipa umuhimu zaidi like Moise katumbi, Martin Fayulu, Denis Mukwebe and others mtaomba poo matokeo yakitoka 🐒
 
Mwaka huu 2024 January Papa amesema wazi kuwa,"Mungu hajawahi bariki dhambi,hivyo basi Kanisa Katoliki halina mamlaka ya kubariki dhambi kwa sababu lilisimikwa na Mungu mwenyewe ambaye ndiye mwasisi wa ndoa.Na ndoa ni muunganiko watu wawili Mwanaume na Mwanamke na si vinginevyo"
Tuwekee link
 
Back
Top Bottom