Jibane utajirike...umeona sasa?Atakuwa alipaliwa na mfupa, anyways kifo hakina huruma jamani! Pamoja na CV kubwa namna hio ila still Israel kafanya yake...Hapo hamna jinsi zaidi ya kumu wish mapumziko mema!
Wale mnaosema siri ya utajiri ni kula dagaa endeleeni tu! Acha wengine tuendelee kula kuku tu kama ipo ipo! Kifo kipo mpaka mahotelini 5 star
Eh bana eeh, we acha tu yani! Mie kujitesa hapana kabisa...sitaki kuja kunung’unika kaburini mie!Jibane utajirike...umeona sasa?
Ukisema inasaidia nini?Nimekudharau....ungeandika bila kutumia lugha ngumu na ya kuhudhi ungepungukiwa nini. Sawa mimi mshamba nimesema kutokana ninavyomjua kuwa ananyumba nzuri. Angekuwa na kiwanda ningesema pia.
Hahaha....tufarijianeAtakuwa alipaliwa na mfupa, anyways kifo hakina huruma jamani! Pamoja na CV kubwa namna hio ila still Israel kafanya yake...Hapo hamna jinsi zaidi ya kumu wish mapumziko mema!
Wale mnaosema siri ya utajiri ni kula dagaa endeleeni tu! Acha wengine tuendelee kula kuku tu kama ipo ipo! Kifo kipo mpaka mahotelini 5 star
Futari hyo ichekiwe kwan
Kama was a plan hutaona hata salio la kupeleka maabara.Futari hyo ichekiwe kwanza
Hongera kwenu!Ndo ukiskia wanawake ni multipurpose ndo hii sasa..kwa wanawake easy tu mkuu
Alikuwa amefunga,kwani Teddy ni jina la kiislamu...?Nafikiri ,itakuwa heart attack,kutokana na kufunga Siku nzima.Mwili umekaa bila chakula siku nzima.Unapoonza kula lazima ,kuna mshituko wa mishipa na moyo utatokea.Kabla wengi hawajafunga ni muhimu kupima afya .
Una chuki na Rais ,eti vingereza vya mama Suluhu, mnaumia sababu magufuli kingereza kilimshinda kabisa kabisa, alitamani kingekuwa mtu akipe case ya money launderingWangemkimbiza Muhimbili. Aga Khan is overrated..
Kikwete ndio aliiboresha muhimbili,Watu wanapadharau muhimbili sababu ya reputation ya nyuma. Ila kipindi cha magufuri, muhimbili imewekwa sawa.
Acha ushamba,kwani kujumuika kula futari mpka uwe muislamu Dada yanguAlikuwa amefunga,kwani Teddy ni jina la kiislamu...?
[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Una chuki na Rais ,eti vingereza vya mama Suluhu, mnaumia sababu magufuli kingereza kilimshinda kabisa kabisa, alitamani kingekuwa mtu akipe case ya money laundering
George Washington alijenga white house ya marekani,lakini hakulalamo,heri hata huyu aliishi ndani ya hilo jumba.He!!!!! Aisee wewe bonge la mshamba what is Nyumba!??watu wanakufa wanaacha viwanda wewe unaongelea nyumba!!