Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Mbona wameandika wasifu wake au kusoma ni shida?Ndo nani huyu?
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wameandika wasifu wake au kusoma ni shida?Ndo nani huyu?
Atakuwa alipaliwa na mfupa, anyways kifo hakina huruma jamani! Pamoja na CV kubwa namna hio ila still Israel kafanya yake...Hapo hamna jinsi zaidi ya kumu wish mapumziko mema!Kaumwa ghafla daah
Duh sidhani kama ni rahisi hivyo! Kwanini wamtilie sumu na ni hotelini! Huenda ni heart attack tuWazee wa kuandaa Iftar wamemfanyizia, sumu hiyo mazee
Aga Khan sijui watu wanapapendea nini! Pale hamna shughuli sikuhizi zaidi ya biashara tu! Hospitali yenye majengo makubwa ila madaktari hamna kabisa! Vijana vijana ni wengi ambao hata uzoefu hawana.Wangemkimbiza Muhimbili. Aga Khan is overrated.
Emergency room ya Aga Khan wamejaa watoto wanafanya residence, bado wako shule! Na si kwamba kuna supervisor mbobezi anawaangalia hapana, hao vijana ndio wame take over hapo reception desk ndio wanakupokea na kuku handle mwanzo mwisho na Viingereza vya Mama Suluhu, usipokufa ndio utamwona daktari wa ukweli anapita saa nne usiku...
Halafu kila daktari kijana anaepita pita ukimhoji kuhusu hali ya mgonjwa na response ya matibabu anakwambia maamuzi ya kubadili dawa /approach ni mpaka daktari wako apite kesho asubuhi! Sasa wewe umejipitisha kufanya nini?
Yeah MNH ipo on track sahizi! Ma Specialist wote wako pale! Watu wanakimbilia Aga Khan kwa sababu ya reputation yake ya miaka ya 90 ila kwa sasa hamna lolote pale zaidi ya money wasting!Watu wanapadharau muhimbili sababu ya reputation ya nyuma. Ila kipindi cha magufuri, muhimbili imewekwa sawa.
Nafikiri ,itakuwa heart attack,kutokana na kufunga Siku nzima.Mwili umekaa bila chakula siku nzima.Unapoonza kula lazima ,kuna mshituko wa mishipa na moyo utatokea.Kabla wengi hawajafunga ni muhimu kupima afya .
ile hospitali ya wahindi waswahili mnaenda kufuata nini?Wangemkimbiza Muhimbili. Aga Khan is overrated.
Emergency room ya Aga Khan wamejaa watoto wanafanya residence, bado wako shule! Na si kwamba kuna supervisor mbobezi anawaangalia hapana, hao vijana ndio wame take over hapo reception desk ndio wanakupokea na kuku handle mwanzo mwisho na Viingereza vya Mama Suluhu, usipokufa ndio utamwona daktari wa ukweli anapita saa nne usiku..
Hahahaa wangari una dhambi weweeJobu Ndugai
Tutajuaje kama kuna mbaya kamwekea sumu.ILA siku hizi maradhi mengi Yanaua ghafla tusihukumu...
Tutajuaje kama kuna mbaya kamwekea sumu.
Unaambiwa kaja mzima kala ghafla nkaanza kuzidiwa.
Tutajuaje kama kuna mbaya kamwekea sumu.
Unaambiwa kaja mzima kala ghafla nkaanza kuzidiwa.
Anakera...bora asepeHahahaa wangari una dhambi wewee
Yes..enzi zile za kina kibonge walikua wanamualika sana .ripNimemjua kwa kumuona na kumsikia Sana clouds...daah kaondoka ghafla
Kwangu Mimi muhimbili ni best hospital ever in TZ ingawa mlolongo unakuwa mrefu lakin diagnosis ya uhakika .....huku kwingine unakutana na watoto ndo wako field sijui .....wengine wenye basics za mambo ya afya anapokushaur unaona kabsa huyu hajaivaNaskikia katika kipindi cha miaka mitano iliyopita Muhimbili imeimarika kuliko hospitali yoyote nchini. Nadhani Aga Khan bado inatumiwa kwa sababu ya pride tu kuwa anayekwenda pale ni mtu mwenye hela!
Duuh Mungu noma.Kifo hakifai kabisa kaacha bonge la jumba. Huyu ndio alishinda tenda ya kutengeneza na kuandaa majukwaa kipindi cha Hayati JPM.