TANZIA Teddy Mapunda Afariki Dunia hospitali ya Aga Khan Dar

TANZIA Teddy Mapunda Afariki Dunia hospitali ya Aga Khan Dar

Nauliza tu Mkuu
Kwani ni nani huyu
Alijua kujipamba kwa pete na mikufu
Kula futari Serena Hotel well Mungu tumwogope
Amemaliza mwendo
Aliwahi fanya kazi dstv ,tbl, kama sikosei..alikua meneja masoko..so kwenye media alitrend sana
 
Nani ana namba ya Simu ya aliyekuwa Waziri wa Utalii ( aliyetumbuliwa ) ambaye pia ni Mbunge wa Nzega Hamis Kigangwalla?

Nina shida nae kubwa nataka anielekeze wapi naweza kupata Sumu Kali ya Kuua Viuwatilifu vya Mashambani kutokea huko Nzega Jimboni Kwake.
 
R.I.P dada. Ikute uliwekewa sumu kwenye sahani yako.
 
Good. Death is just natural. Spermatozoa die every second. Human eggs die every second too. All the biliions of combinations possible of spermatozoa and human eggs should not be an exception to the natural laws.
 
Back
Top Bottom