TANZIA Teddy Mwanambilimbi hatunaye tena

TANZIA Teddy Mwanambilimbi hatunaye tena

Status
Not open for further replies.
Yawezekana Uko sahihi. Nadhani pia hujui mfumo wa Elimu Tanzania. Sina Elimu ya kuunga unga. Ni mtazamo wako finyu tu. Those good old days ukichaguliwa (Siyo ukifauli maana katika wilaya mnaweza mkafaulu watu 200 lakini wilaya husika inatengewa nafasi say 40), ulikuwa aidha unapelekwa Tech.schools kama Ifunda, Moshi and Mtwara Tech.secondary schools au Unachaguliwa kwenda Rungwe, Njoss, Tosa etc. Ukifaulu toka tech. Schools unachaguliwa kwenda Arusha, Dar es salaam or Mbeya Technical colleges for three yrs. Wakati mchepuo wa pili unachaguliwa kwenda Form five and six for two years. Iliwezekana pia mifumo yote kuingiliana. Technical school leavers to join form five and vice versa kutegemeana na ufaulu wako na jinsi ulivyo jaza kwenye SELL FORM. Then you meet at Usdm for Engineering course.
Lutifya, hawa ni watoto wa juzi! I can see your english is good! Ni kipimo kimoja wapo kuwa ulisoma enzi zetu!
 
Uko sahihi. Baada ya kufukuzwa shule Ifunda alitafutiwa shule Moshi Tech.sec school. Baba yake mzee Mwanambilimbi alikuwa Mkurugenzi wa Kampuni fulani ya Umma by then....
Namfahamu mno kwani tulikuwa wote bweni 27 wing ya mkwawa na darasa moja. How could I forget him mtu aliyekuwa anakusuport sukari na colget pamoja na sabuni na mafuta ya Vaseline badala ya shanti?
 
Jina Baya umponza mwenye nalo utaitaje kiwanda Nyumbu kwanza ethics za nyumbu kwanza!!....hivyo kiwanda kingekufa mambo ya kujifanya uzalendo na kutukuza mbuga ni upofu.
Mkuu jina siyo baya ila tatizo wewe umefananisha na wale wafuasi wanaoitwa nyumbu.
 
Namfahamu mno kwani tulikuwa wote bweni 27 wing ya mkwawa na darasa moja. How could I forget him mtu aliyekuwa anakusuport sukari na colget pamoja na sabuni na mafuta ya Vaseline badala ya shanti?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hata Ifunda chumbani kwake ilikuwa sherehe mikate ya Siha haikosekani wakati wengine mnapanga foleni ya Nyuka a.k.a uji usio kuwa na sukari. Essentially he was quite a humble guy.....
 
Uko sahihi. Baada ya kufukuzwa shule Ifunda alitafutiwa shule Moshi Tech.sec school. Baba yake mzee Mwanambilimbi alikuwa Mkurugenzi wa Kampuni fulani ya Umma by then....
Pia aliwahi kuwa mkuu wa wilaya mzee mwanambilimbi
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hata Ifunda chumbani kwake ilikuwa sherehe mikate ya Siha haikosekani wakati wengine mnapanga foleni ya Nyuka a.k.a uji usio kuwa na sukari. Essentially he was quite a humble guy.....
Mwenye taarifa za wapi msiba ulipo au mazishi yatafanyika lini atujuze tukatoe heshima za mwisho.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom