Wazo zuri. Lakini kumbuka mradi uko chini ya JWTZAnzisha Uzi utupe hiki Kisa mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazo zuri. Lakini kumbuka mradi uko chini ya JWTZAnzisha Uzi utupe hiki Kisa mkuu.
Msiba uko Mbezi Beach Jogoo nyumbani kwake..Ratiba ya mazishi imebadilika..Itakuwa Jumatano na yatafanyika Goba kwa mzee MwanambilimbiMsiba uko Goba kwa mzee Mwanambilimbi. Wanazika Jumanne
hahaha wewe jamaa upo very smart.....umemweka wazi kuwa project ipo chini ya JWTZ ili asipate confidence ya kuhoji zaidi.Wazo zuri. Lakini kumbuka mradi uko chini ya JWTZ
Wewe hiyo ni philosophy ya kihaya, not universal! (Eibara libi lita nyinalyo)
Kwan uongo,walijitahid lakin.....mzee wangu alikuja nacho cku moja kutoka jeshini akikunja huku kinakunja kule.....Mna bahati tuko JF, tungekuwa ukumbi wa VETA Mwanza mgenitambua na kejeli hizi.
Baba yao ndio Felix Mwanambilimbi?1987 to 1990 Automotive Engineering tulikuwa Darasa moja na Teddy -RIP akiwa ametokea kazini nadhani Ikulu...
Absolutely. ...Baba yao ndio Felix Mwanambilimbi?
Umenichekesha sana Mkuu!Ndio maana humu ninakuwaga macho kujibizana na mtu. Kuna UPE wengi sana!
Uko Mbezi Beach, ila ukifika Tanki Bovu uliza tu, wanajulikana sana kule..Mwenye taarifa za wapi msiba ulipo au mazishi yatafanyika lini atujuze tukatoe heshima za mwisho.
Wewe umejuaje kama naishi mbezi beach? Anyway, isiwe kesi nitafika tu kwani penye msiba hapajifichi! Asante kwa maelekezo.Uko Mbezi Beach, ila ukifika Tanki Bovu uliza tu, wanajulikana sana kule..
Jamaa kakuambia msiba upo Mbezi beachWewe umejuaje kama naishi mbezi beach? Anyway, isiwe kesi nitafika tu kwani penye msiba hapajifichi! Asante kwa maelekezo.
Kwa Mzee wa konyagi, Pembe, Kunguru, Kanisani Katoliki, mpaka kwa kwa marehemu..baba yao alikuwa ni Mkurugenzi wa Shirika la Umma ( wako wachache sana), hakuiba wala kufanya Ufisadi wa aina yoyote, wametulia kule...Mzee wa goba
Kumbe wewe n muhengaDuuh RIP Teddy. Nimesoma naye Ifunda Tech. Sec. School Ingawa alifukuzwa then tukakutana naye Arusha Tech. College
aka ganiDuuh RIP Teddy. Nimesoma naye Ifunda Tech. Sec. School Ingawa alifukuzwa then tukakutana naye Arusha Tech. College