Tegeta, Dar: Maafisa wa TRA washambuliwa na wananchi kwa mawe

Tegeta, Dar: Maafisa wa TRA washambuliwa na wananchi kwa mawe

View attachment 3170006View attachment 3170007

Maeneo ya Tegeta kwa Ndevu jijini Dar, Watu waliojitambulisha kuwa ni maafisa wa TRA wakiwa kwenye gari aina ya Toyota Landcruizer, wameblock gari binafsi aina ya BMW X6 yenye namba za usajili T 229 DHZ na kumtaka dereva ashuke wanamhitaji.

Dereva wa BMW amegoma kushuka na kuamua kufunga vioo na milango yote. Kwa kuwa gari lililodaiwa ni la TRA lilikua limemblock ulitokea msongamano mkubwa eneo hilo. Dereva wa BMW alipiga kelele kuwa watu hao wanataka kumteka, ndipo wananchi walipoanza kuishambilia kwa mawe gari hiyo iliyodaiwa kuwa ni ya TRA.

Walipoona mawe yamezidi wakaamua kunusuru roho zao kwa kukimbia lakini inasemekana wamegonga mtoto mdogo. Hali hiyo imezidisha hasira kwa wananchi ambao wameendelea kuishambulia gari hiyo kwa mawe na kujeruhi waliomo ndani hadi Polisi walipofiia kuwanusuru.

Inadaiwa kumetoka vifo katika tukio hilo, japo bado haijathibitishwa.!
Land Cruiser Mkonga ilienda kublock BMW X6 ,inasemekana jamaa alikuwa na "MPUNGA" ndani ya X6 ,ila aligoma kushuka akapiga YOWE kwamba wanataka kumteka ,raia wakaanza kujaa...Kulikuwa na watu watano waliojifanya ni TRA ,walivyoona raia wanazidi kujaa watatu wakakimbia wakabakia wawili dereva wa STL na mwenzake.

Nao waliobakia walivyoona shazi la watu wamepanda mori wakaondoa gari kwa kasi kwa nyuma wakawagonga boda boda na bajaji kisha akaenda mbele akaenda kugonga mawe yale yaliyoweka kuonyesha ujenzi wa mwendokasi unaendelea ,Land cruiser ikagoma kwenda baada ya kugonga jiwe hapo raia wakaanza kuwashambulia wale so called TRA officers na kuvunja vioo vya gari.

Polisi wamefika baada kama ya saa hivi na kukuta so called officer wa TRA wamechapika kisawasawa ,ila kabla ya kufika polisi alikuja jamaa inaonekana ni "Mtoto wa mama kizimkazi na hapa ipo" ndiyo akafanya michakato ya kuwakimbiza TRA officers hospital ila kwa hali waliokuwa nayo ni 50 /50 kupona.

Ili liwe funzo kwa polisi wanaokuja kukamata raia kiholela holela bila kufuata taratibu ,msitegemee sana "MIKWAJU" aka "MAGITAA" yenu kutishia raia ,raia akichafuka wanakunyang'anya huo mkwaju na kulala nanyi kiulalo ulalo.
Land Cruiser Mkonga ilienda kublock BMW X6 ,inasemekana jamaa alikuwa na "MPUNGA" ndani ya X6 ,ila aligoma kushuka akapiga YOWE kwamba wanataka kumteka ,raia wakaanza kujaa...Kulikuwa na watu watano waliojifanya ni TRA ,walivyoona raia wanazidi kujaa watatu wakakimbia wakabakia wawili dereva wa STL na mwenzake.

Nao waliobakia walivyoona shazi la watu wamepanda mori wakaondoa gari kwa kasi kwa nyuma wakawagonga boda boda na bajaji kisha akaenda mbele akaenda kugonga mawe yale yaliyoweka kuonyesha ujenzi wa mwendokasi unaendelea ,Land cruiser ikagoma kwenda baada ya kugonga jiwe hapo raia wakaanza kuwashambulia wale so called TRA officers na kuvunja vioo vya gari.

Polisi wamefika baada kama ya saa hivi na kukuta so called officer wa TRA wamechapika kisawasawa ,ila kabla ya kufika polisi alikuja jamaa inaonekana ni "Mtoto wa mama kizimkazi na hapa ipo" ndiyo akafanya michakato ya kuwakimbiza TRA officers hospital ila kwa hali waliokuwa nayo ni 50 /50 kupona.

Ili liwe funzo kwa polisi wanaokuja kukamata raia kiholela holela bila kufuata taratibu ,msitegemee sana "MIKWAJU" aka "MAGITAA" yenu kutishia raia ,raia akichafuka wanakunyang'anya huo mkwaju na kulala nanyi kiulalo ulalo.
Land Cruiser Mkonga ilienda kublock BMW X6 ,inasemekana jamaa alikuwa na "MPUNGA" ndani ya X6 ,ila aligoma kushuka akapiga YOWE kwamba wanataka kumteka ,raia wakaanza kujaa...Kulikuwa na watu watano waliojifanya ni TRA ,walivyoona raia wanazidi kujaa watatu wakakimbia wakabakia wawili dereva wa STL na mwenzake.

Nao waliobakia walivyoona shazi la watu wamepanda mori wakaondoa gari kwa kasi kwa nyuma wakawagonga boda boda na bajaji kisha akaenda mbele akaenda kugonga mawe yale yaliyoweka kuonyesha ujenzi wa mwendokasi unaendelea ,Land cruiser ikagoma kwenda baada ya kugonga jiwe hapo raia wakaanza kuwashambulia wale so called TRA officers na kuvunja vioo vya gari.

Polisi wamefika baada kama ya saa hivi na kukuta so called officer wa TRA wamechapika kisawasawa ,ila kabla ya kufika polisi alikuja jamaa inaonekana ni "Mtoto wa mama kizimkazi na hapa ipo" ndiyo akafanya michakato ya kuwakimbiza TRA officers hospital ila kwa hali waliokuwa nayo ni 50 /50 kupona.

Ili liwe funzo kwa polisi wanaokuja kukamata raia kiholela holela bila kufuata taratibu ,msitegemee sana "MIKWAJU" aka "MAGITAA" yenu kutishia raia ,raia akichafuka wanakunyang'anya huo mkwaju na kulala nanyi kiulalo ulalo.

Je, Ni Maafisa wa Forodha wa TRA au Undercovers wa Abduction Squad ambao wamekuwa infiltrated ndani ya TRA ili to conceal their real identities in their illicit activities??? Siyo kwamba hivyo vyeo vya huko TRA vinatumika tu kama 'Cover' ya hizo kazi zao za Siri?
Siyo kwamba hilo lilikuwa jaribio la utekaji lililofeli? Not a failed attempt of abduction
 
Je, Ni Maafisa wa Forodha wa TRA au Undercovers wa Abduction Squad ambao wamekuwa infiltrated ndani ya TRA ili to conceal their real identities in their illicit activities??? Siyo kwamba hivyo vyeo vya huko TRA vinatumika tu kama 'Cover' ya hizo kazi zao za Siri?
Siyo kwamba hilo lilikuwa jaribio la utekaji lililofeli? Not a failed attempt of abduction
Hio ni Camouflage mzee
 
Hivi kwa gari lolote la serikali tena la mamlaka nyeti kama TRA kwa nini cover la tairi lake la spea lililowekwa liwe la kampuni ya watu binafsi badala y kuwekewa cover yenye nembo na ujumbe unaohusu TRA yenyewe?
That was a well and planned organized crime. Huyo mtu wanamjua na walimlia timming ili wamtemeshe bunda na kumteka.
 
Gari ya serikali namba STL 9923, Usiku huu imeshambuliwa kwa mawe na wananchi wenye hasira butu, na watumishi waliokuwemo ndani wameumizwa.

Chanzo cha kizaa zaa hicho inasemekana hilo gari la serikali lilikua linaifuatilia gari nyingine ndogo aina ya BMW.

Baada ya kufika maeneo ya tegeta kwa ndevu, ile gari ya serikali ika buloku ile BMW.

Wananchi walipotaka kujua kulikoni, maana stori za utekaji zimekua nyingi, jamaa wakajitetea wao ni watumishi wa serikali kitengo cha T.R.A na wapo kazini wakitekeleza majukumu yao.

Basi bwana, katika vuta nikuvute, Wananchi wakahoji, kama mpo kazini mbona usiku? Na tena bila escort ya polisi mwenye gwanda?

Jamaa walipoona Wananchi wamekaza na wanazidi kuongezeka(bodaboda walipaki kwa mbele na nyuma ya cluza hilo la serekali) ikabidi waliondoe gari kwa nguvu na hivyo kuishia kugonga bodaboda zilizokua zimewabuloku.

Wananchi kuona hivyo nao wakaanza kutimiza wajibu wao.

BADO HAIJADHIBITIKA KAMA NI KWELI WATEKAJI AU NI WATUMISHI

Hii stori mwenyewe nimekuta imeshatokea msije kunitafuta mimi ni raia mwema na ninampenda rais Samia.

Pia Soma: Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam
Da!!!!........raia wamechoka sana aisee!!!,,,,,,msumbiji walianza mdogomdogo kama ivi!!!
 
Wameshindwana malipo hao.
Watu wa magendo wananguvu sana kwenye hizo njia wengine hununua njia, wengine hununua askari inategemea.
Kwa mara ya kwanza nilishuhudia askari polisi wa kata ya KUNDUCHI pale MTONGANI akilambwa vibao hadharani na watu wa magendo kisha wakaondoka zao bila kufanywa lolote. Yule afande mfupi mkurya alikuwa na kanyota kamoja hivi
Hahahaaa!!

Yule kinyota ni muoga balaa, akikukama we mkazie anaogopa, yaani nilikuaga namshangaa sana, akikukamata na gari anadaka hata buku, sasa kinyota unadakaje buku, askari wa kawaida adake ngapi?

Kuna siku nimepakia magendo natokea Africana ile nakunja tu mataa ya mbuyuni kuelekea mtongani akanipiga mkono, akili ikawaza fasta nikasema hapa sisimami, mie huyoooo, akakodi bodaboda kunifukuzia, aliponifikia akaniangalia(hapo chuma inatembea) nikamwabia narudi akageuza akaniacha niende.

Ile nimerudi nikamkunjia buku mbili akacheka tu akaniruhusu. Ila siku hizi simuoni sijui amestaafu, ila mzee pisi sana yule.
 
Hapo sheria gani haijafuatwa boss wangu?
Unakujaje ofisini kwangu saa 2 usiku nafunga, siwezi kukuruhusu mkuu hata kama ni mtumishi wa umma. Njoo mda wa kazi. Hufuati utaratibu, unakuja tu kama mhalifu kisa tu upo na gari ya serikali, kwa nini usionyeshe uhusika wako na kazi yako?
 
DHZ imeingia 2016 huko, kuna kiswaswadu cha 2016 namba zake zinaendana na hiyo. Najiuliza tu toka 2016 jamaa kaingiza gari hadi leo 2024 bado walikuwa wakiifuatilia? Iliingia kimagendo and for all those yrs walikuwa wanaifatilia?
 
DHZ imeingia 2016 huko, kuna kiswaswadu cha 2016 namba zake zinaendana na hiyo. Najiuliza tu toka 2016 jamaa kaingiza gari hadi leo 2024 bado walikuwa wakiifuatilia? Iliingia kimagendo and for all those yrs walikuwa wanaifatilia?
Sijui kwa nini hii issue ya plate number inawasumbua. Kwani hujafikiria kuwa plate namba inaweza kuwa fake ndio maana waliishitukia? Kwani hujafikiria kuwa plate number inaweza kuwa imechomolewa kwenye gari jingine na kubandikwa hapo? Kwa nini watanzania tunakuwa wavivu wa kufikiria?
 
Unakujaje ofisini kwangu saa 2 usiku nafunga, siwezi kukuruhusu mkuu hata kama ni mtumishi wa umma. Njoo mda wa kazi. Hufuati utaratibu, unakuja tu kama mhalifu kisa tu upo na gari ya serikali, kwa nini usionyeshe uhusika wako na kazi yako?
Hujafikiria kuwa labda huo muda waliokuja ndio muda muafaka kwao kukipata wanachokitafuta, hujafikiria kuwa wakikubali kuja kesho unaweza kukihamisha au kupoteza ushahidi wa kile wanachokitafuta?
 
Kwasasa WATEKAJI wawe makini jamaa wamevurugwa akil kwa mkichwa ,,, et wat wasiojulikana ,,,
 
Sijui kwa nini hii issue ya plate number inawasumbua. Kwani hujafikiria kuwa plate namba inaweza kuwa fake ndio maana waliishitukia? Kwani hujafikiria kuwa plate number inaweza kuwa imechomolewa kwenye gari jingine na kubandikwa hapo? Kwa nini watanzania tunakuwa wavivu wa kufikiria?
Kuna sehemu nimesoma ushahidi wa hiyo gari same plate number kuwa imelipia hadi bima. Kwa nini wewe ukiwaza positively ukosoe wanaowaza negatively.? Haya mambo ya kutekana yameota mizizi, ndio maana hata raia wakaona wasaidie, unadhani nao wajinga?
 
Back
Top Bottom