Tegeta, Dar: Maafisa wa TRA washambuliwa na wananchi kwa mawe

Tegeta, Dar: Maafisa wa TRA washambuliwa na wananchi kwa mawe

Land Cruiser Mkonga ilienda kublock BMW X6 ,inasemekana jamaa alikuwa na "MPUNGA" ndani ya X6 ,ila aligoma kushuka akapiga YOWE kwamba wanataka kumteka ,raia wakaanza kujaa...Kulikuwa na watu watano waliojifanya ni TRA ,walivyoona raia wanazidi kujaa watatu wakakimbia wakabakia wawili dereva wa STL na mwenzake.

Nao waliobakia walivyoona shazi la watu wamepanda mori wakaondoa gari kwa kasi kwa nyuma wakawagonga boda boda na bajaji kisha akaenda mbele akaenda kugonga mawe yale yaliyoweka kuonyesha ujenzi wa mwendokasi unaendelea ,Land cruiser ikagoma kwenda baada ya kugonga jiwe hapo raia wakaanza kuwashambulia wale so called TRA officers na kuvunja vioo vya gari.

Polisi wamefika baada kama ya saa hivi na kukuta so called officer wa TRA wamechapika kisawasawa ,ila kabla ya kufika polisi alikuja jamaa inaonekana ni "Mtoto wa mama kizimkazi na hapa ipo" ndiyo akafanya michakato ya kuwakimbiza TRA officers hospital ila kwa hali waliokuwa nayo ni 50 /50 kupona.

Ili liwe funzo kwa polisi wanaokuja kukamata raia kiholela holela bila kufuata taratibu ,msitegemee sana "MIKWAJU" aka "MAGITAA" yenu kutishia raia ,raia akichafuka wanakunyang'anya huo mkwaju na kulala nanyi kiulalo ulalo.
Hapo mwisho taarifa imekaa vizuri, hatuombei vifo ila kuna namna wenye mamlaka wamekuwa waovu sana, wapate stahiki yao. Raia wema wa Tegeta tunawapa kongole kwa kazi yao nzuri.
 
Sheria ipi inayompa mamlaka Afisa wa TRA kufanya arrest
Sheria ya EACCMA, 2004 inampa Afisa wa Customs mamlaka yafuatayo. 155. Power to search persons, 156. Power of arrest 157. Power to search premises
 

Attachments

  • Screenshot_20241206-095533_OneDrive.jpg
    Screenshot_20241206-095533_OneDrive.jpg
    238.6 KB · Views: 2
Mkuu napita Africana hapa nakuja hapo kuwaokoa watumishi... dk 0 tu
Wameshindwana malipo hao.
Watu wa magendo wananguvu sana kwenye hizo njia wengine hununua njia, wengine hununua askari inategemea.
Kwa mara ya kwanza nilishuhudia askari polisi wa kata ya KUNDUCHI pale MTONGANI akilambwa vibao hadharani na watu wa magendo kisha wakaondoka zao bila kufanywa lolote. Yule afande mfupi mkurya alikuwa na kanyota kamoja hivi
 
Sheria ya EACCMA, 2004 inampa Afisa wa Customs mamlaka yafuatayo. 155. Power to search persons, 156. Power of arrest 157. Power to search premises
Uzuri ni kwamba hao maafisa wenyewe hawafati utaratibu kutimiza wajibu wao. Wapate stahiki yao, wala hakuna anayewahurumia. Mifano ni mingi sana huku mitaani, jamaa yangu anauza vinywaji jumla, walimzukia mda wa kufunga, akawakatalia katakata, kama wanahitaji waje kesho, wakalazimisha ila walinzi waliwatoa baru.
 
Uzuri ni kwamba hao maafisa wenyewe hawafati utaratibu kutimiza wajibu wao. Wapate stahiki yao, wala hakuna anayewahurumia. Mifano ni mingi sana huku mitaani, jamaa yangu anauza vinywaji jumla, walimzukia mda wa kufunga, akawakatalia katakata, kama wanahitaji waje kesho, wakalazimisha ila walinzi waliwatoa baru.
Hapo sheria gani haijafuatwa boss wangu?
 
Gari ya serikali namba STL 9923, Usiku huu imeshambuliwa kwa mawe na wananchi wenye hasira butu, na watumishi waliokuwemo ndani wameumizwa.

Chanzo cha kizaa zaa hicho inasemekana hilo gari la serikali lilikua linaifuatilia gari nyingine ndogo aina ya BMW.

Baada ya kufika maeneo ya tegeta kwa ndevu, ile gari ya serikali ika buloku ile BMW.

Wananchi walipotaka kujua kulikoni, maana stori za utekaji zimekua nyingi, jamaa wakajitetea wao ni watumishi wa serikali kitengo cha T.R.A na wapo kazini wakitekeleza majukumu yao.

Basi bwana, katika vuta nikuvute, Wananchi wakahoji, kama mpo kazini mbona usiku? Na tena bila escort ya polisi mwenye gwanda?

Jamaa walipoona Wananchi wamekaza na wanazidi kuongezeka(bodaboda walipaki kwa mbele na nyuma ya cluza hilo la serekali) ikabidi waliondoe gari kwa nguvu na hivyo kuishia kugonga bodaboda zilizokua zimewabuloku.

Wananchi kuona hivyo nao wakaanza kutimiza wajibu wao.

BADO HAIJADHIBITIKA KAMA NI KWELI WATEKAJI AU NI WATUMISHI

Hii stori mwenyewe nimekuta imeshatokea msije kunitafuta mimi ni raia mwema na ninampenda rais Samia.

Pia Soma: Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam
Iwe fundsho kwa wahuni wengine
 
Ningekuwepo Mimi ningetoa fundisho Kwa Hawa watumishi wasiozingatia miongozo ya utumishi wao.Ningehakikisha nawaachia ulemavu wa maisha Yao yote na kulichoma moto Hilo gari linalokula Kodi zetu bila faida yeyote
 
Kuna somo.kubwa.hapa.kwa.hawa.wanaoteka.watu.wakiwa. na pingu bunduki na magari yafananayo na ya.serikali. wananchi kila.siku.wanasikia watu.wanatekwa marehemu Ally mohd kibao alitekwa tegeta kibaoni na.msiba.wake.umewagusa sana watu.wa.hali ya.chini hasa waislamu hawaongei lakini ukiingia vijiwe vya misikitini kama temeke. Kigogo watu hawakuelewa kabisa kwanini kibao alitobolewa macho.

Waliotenda walidhani haitakuwa na madhara lakini madhara ni hayo ukipigiwa kelele unateka mtu basi wajiandae na sanda kukuzika wananchi wamekosa majibu na wamechoka na issue za utekaji wameamua kuchukua hatua stahiki. Sipati picha eneo kama temeke wapigiwe kelele wanamteka mtu halafu waone au tandika
 
Wameshindwana malipo hao.
Watu wa magendo wananguvu sana kwenye hizo njia wengine hununua njia, wengine hununua askari inategemea.
Kwa mara ya kwanza nilishuhudia askari polisi wa kata ya KUNDUCHI pale MTONGANI akilambwa vibao hadharani na watu wa magendo kisha wakaondoka zao bila kufanywa lolote. Yule afande mfupi mkurya alikuwa na kanyota kamoja hivi
😀😅😀we jamaa muongo sana
 
Gari ya serikali namba STL 9923, Usiku huu imeshambuliwa kwa mawe na wananchi wenye hasira butu, na watumishi waliokuwemo ndani wameumizwa.

Chanzo cha kizaa zaa hicho inasemekana hilo gari la serikali lilikua linaifuatilia gari nyingine ndogo aina ya BMW.

Baada ya kufika maeneo ya tegeta kwa ndevu, ile gari ya serikali ika buloku ile BMW.

Wananchi walipotaka kujua kulikoni, maana stori za utekaji zimekua nyingi, jamaa wakajitetea wao ni watumishi wa serikali kitengo cha T.R.A na wapo kazini wakitekeleza majukumu yao.

Basi bwana, katika vuta nikuvute, Wananchi wakahoji, kama mpo kazini mbona usiku? Na tena bila escort ya polisi mwenye gwanda?

Jamaa walipoona Wananchi wamekaza na wanazidi kuongezeka(bodaboda walipaki kwa mbele na nyuma ya cluza hilo la serekali) ikabidi waliondoe gari kwa nguvu na hivyo kuishia kugonga bodaboda zilizokua zimewabuloku.

Wananchi kuona hivyo nao wakaanza kutimiza wajibu wao.

BADO HAIJADHIBITIKA KAMA NI KWELI WATEKAJI AU NI WATUMISHI

Hii stori mwenyewe nimekuta imeshatokea msije kunitafuta mimi ni raia mwema na ninampenda rais Samia.

Pia Soma: Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam
Matokeo ya kuzorota kwa Utawala Bora
 
Gari ya serikali namba STL 9923, Usiku huu imeshambuliwa kwa mawe na wananchi wenye hasira butu, na watumishi waliokuwemo ndani wameumizwa.

Chanzo cha kizaa zaa hicho inasemekana hilo gari la serikali lilikua linaifuatilia gari nyingine ndogo aina ya BMW.

Baada ya kufika maeneo ya tegeta kwa ndevu, ile gari ya serikali ika buloku ile BMW.

Wananchi walipotaka kujua kulikoni, maana stori za utekaji zimekua nyingi, jamaa wakajitetea wao ni watumishi wa serikali kitengo cha T.R.A na wapo kazini wakitekeleza majukumu yao.

Basi bwana, katika vuta nikuvute, Wananchi wakahoji, kama mpo kazini mbona usiku? Na tena bila escort ya polisi mwenye gwanda?

Jamaa walipoona Wananchi wamekaza na wanazidi kuongezeka(bodaboda walipaki kwa mbele na nyuma ya cluza hilo la serekali) ikabidi waliondoe gari kwa nguvu na hivyo kuishia kugonga bodaboda zilizokua zimewabuloku.

Wananchi kuona hivyo nao wakaanza kutimiza wajibu wao.

BADO HAIJADHIBITIKA KAMA NI KWELI WATEKAJI AU NI WATUMISHI

Hii stori mwenyewe nimekuta imeshatokea msije kunitafuta mimi ni raia mwema na ninampenda rais Samia.

Pia Soma: Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam
Je, Ni Maafisa wa Forodha wa TRA au Undercovers wa Abduction Squad ambao wamekuwa infiltrated ndani ya TRA ili to conceal their real identities in their illicit activities??? Siyo kwamba hivyo vyeo vya huko TRA vinatumika tu kama 'Cover' ya hizo kazi zao za Siri?
Siyo kwamba hilo lilikuwa jaribio la utekaji lililofeli? Not a failed attempt of abduction??
 
Hapo sheria gani haijafuatwa boss wangu?
Mkuu usikariri kama kasuku. Kwamba umebandika hako kakifungu unaona umemaliza. Sheria inasomwa kwa cross referencing. Arresting officer anaye exercise power of arrest ni lazima acomply na Sheria za ukamataji. Anyway mjadala unaweza kuwa mrefu ngoja niishie hapa
 
TRA kuanzia lini wakafanya kazi hizo za kukimbizana na walipa kodi mtaani?
Wana malengo ya kukusanya za krismas na mwaka mpya. Hapo nadhani wamevuka mipaka ya utendaji, kufuzana mitaani na kutumia nguvu ni polisi tu ndie ana Hilo jukumu.
 
Back
Top Bottom