Tegeta, Dar: Maafisa wa TRA washambuliwa na wananchi kwa mawe

Tegeta, Dar: Maafisa wa TRA washambuliwa na wananchi kwa mawe

Gari ya serikali namba STL 9923, Usiku huu imeshambuliwa kwa mawe na wananchi wenye hasira butu, na watumishi waliokuwemo ndani wameumizwa.

Chanzo cha kizaa zaa hicho inasemekana hilo gari la serikali lilikua linaifuatilia gari nyingine ndogo aina ya BMW.

Baada ya kufika maeneo ya tegeta kwa ndevu, ile gari ya serikali ika buloku ile BMW.

Wananchi walipotaka kujua kulikoni, maana stori za utekaji zimekua nyingi, jamaa wakajitetea wao ni watumishi wa serikali kitengo cha T.R.A na wapo kazini wakitekeleza majukumu yao.

Basi bwana, katika vita nikuvute, Wananchi wakahoji, kama mpo kazini mbona usiku? Na tena bila escort ya polisi mwenye gwanda?

Jamaa walipoona Wananchi wamekaza na wanazidi kuongezeka(bodaboda walipaki kwa mbele na nyuma ya cluza hilo la serekali) ikabidi waliondoe gari kwa nguvu na hivyo kuishia kugonga bodaboda zilizokua zimewabuloku.

Wananchi kuona hivyo nao wakaanza kutimiza wajibu wao.

BADO HAIJADHIBITIKA KAMA NI KWELI WATEKAJI AU NI WATUMISHI

Hii stori mwenyewe nimekuta imeshatokea msije kunitafuta mimi ni raia mwema na ninampenda rais Samia.

Pia Soma: Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam
View attachment 3169961View attachment 3169963View attachment 3169967
Wameyataka wenyewe haya,kutekana sio kuzuri

Raia wanakosa imani
 
Gari ya serikali namba STL 9923, Usiku huu imeshambuliwa kwa mawe na wananchi wenye hasira butu, na watumishi waliokuwemo ndani wameumizwa.

Chanzo cha kizaa zaa hicho inasemekana hilo gari la serikali lilikua linaifuatilia gari nyingine ndogo aina ya BMW.

Baada ya kufika maeneo ya tegeta kwa ndevu, ile gari ya serikali ika buloku ile BMW.

Wananchi walipotaka kujua kulikoni, maana stori za utekaji zimekua nyingi, jamaa wakajitetea wao ni watumishi wa serikali kitengo cha T.R.A na wapo kazini wakitekeleza majukumu yao.

Basi bwana, katika vita nikuvute, Wananchi wakahoji, kama mpo kazini mbona usiku? Na tena bila escort ya polisi mwenye gwanda?

Jamaa walipoona Wananchi wamekaza na wanazidi kuongezeka(bodaboda walipaki kwa mbele na nyuma ya cluza hilo la serekali) ikabidi waliondoe gari kwa nguvu na hivyo kuishia kugonga bodaboda zilizokua zimewabuloku.

Wananchi kuona hivyo nao wakaanza kutimiza wajibu wao.

BADO HAIJADHIBITIKA KAMA NI KWELI WATEKAJI AU NI WATUMISHI

Hii stori mwenyewe nimekuta imeshatokea msije kunitafuta mimi ni raia mwema na ninampenda rais Samia.

Pia Soma: Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam
View attachment 3169961View attachment 3169963View attachment 3169967
Hii imekaa vzr, ipo siku kizimkazi atakimbia magogoni au chamwino, akiwa kavaa gagulo tu
 
Tunakoelekea hakuna afya sana
Wahuni wachache wa CCM wanaiharibu nchi yetu, wanaachia utekaji ufanyike.

Kitakachotokea, wananchi hawataheshimu magari ya serikali wala polisi, itakuwa ni kupiga mawe, Ndio wajinga wachache, wanaofumbia macho utekaji wanataka nchi yetu ifike.

Tena kwa sababu ya upumbavu tu, mtu kama Abdul Nondo mnamteka! Hivi Nondo atamuondoa nani madarakani hadi mnamteka...

Upumbavu wa hali ya juu.
 
Gari ya serikali namba STL 9923, Usiku huu imeshambuliwa kwa mawe na wananchi wenye hasira butu, na watumishi waliokuwemo ndani wameumizwa.

Chanzo cha kizaa zaa hicho inasemekana hilo gari la serikali lilikua linaifuatilia gari nyingine ndogo aina ya BMW.

Baada ya kufika maeneo ya tegeta kwa ndevu, ile gari ya serikali ika buloku ile BMW.

Wananchi walipotaka kujua kulikoni, maana stori za utekaji zimekua nyingi, jamaa wakajitetea wao ni watumishi wa serikali kitengo cha T.R.A na wapo kazini wakitekeleza majukumu yao.

Basi bwana, katika vita nikuvute, Wananchi wakahoji, kama mpo kazini mbona usiku? Na tena bila escort ya polisi mwenye gwanda?

Jamaa walipoona Wananchi wamekaza na wanazidi kuongezeka(bodaboda walipaki kwa mbele na nyuma ya cluza hilo la serekali) ikabidi waliondoe gari kwa nguvu na hivyo kuishia kugonga bodaboda zilizokua zimewabuloku.

Wananchi kuona hivyo nao wakaanza kutimiza wajibu wao.

BADO HAIJADHIBITIKA KAMA NI KWELI WATEKAJI AU NI WATUMISHI

Hii stori mwenyewe nimekuta imeshatokea msije kunitafuta mimi ni raia mwema na ninampenda rais Samia.

Pia Soma: Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam
View attachment 3169961View attachment 3169963View attachment 3169967
Ilitakiwa lipigwe moto
 
Gari ya serikali namba STL 9923, Usiku huu imeshambuliwa kwa mawe na wananchi wenye hasira butu, na watumishi waliokuwemo ndani wameumizwa.

Chanzo cha kizaa zaa hicho inasemekana hilo gari la serikali lilikua linaifuatilia gari nyingine ndogo aina ya BMW.

Baada ya kufika maeneo ya tegeta kwa ndevu, ile gari ya serikali ika buloku ile BMW.

Wananchi walipotaka kujua kulikoni, maana stori za utekaji zimekua nyingi, jamaa wakajitetea wao ni watumishi wa serikali kitengo cha T.R.A na wapo kazini wakitekeleza majukumu yao.

Basi bwana, katika vita nikuvute, Wananchi wakahoji, kama mpo kazini mbona usiku? Na tena bila escort ya polisi mwenye gwanda?

Jamaa walipoona Wananchi wamekaza na wanazidi kuongezeka(bodaboda walipaki kwa mbele na nyuma ya cluza hilo la serekali) ikabidi waliondoe gari kwa nguvu na hivyo kuishia kugonga bodaboda zilizokua zimewabuloku.

Wananchi kuona hivyo nao wakaanza kutimiza wajibu wao.

BADO HAIJADHIBITIKA KAMA NI KWELI WATEKAJI AU NI WATUMISHI

Hii stori mwenyewe nimekuta imeshatokea msije kunitafuta mimi ni raia mwema na ninampenda rais Samia.

Pia Soma: Ufafanuzi kuhusu shambulio la gari la watumishi wa TRA eneo la Tegeta, Dar es Salaam
View attachment 3169961View attachment 3169963View attachment 3169967
Ukweli kuna kauli imenichefuà sâna kwenye hii taarifa yako.
Kumbe chàwa.
 
Land Cruiser Mkonga ilienda kublock BMW X6 ,inasemekana jamaa alikuwa na "MPUNGA" ndani ya X6 ,ila aligoma kushuka akapiga YOWE kwamba wanataka kumteka ,raia wakaanza kujaa...Kulikuwa na watu watano waliojifanya ni TRA ,walivyoona raia wanazidi kujaa watatu wakakimbia wakabakia wawili dereva wa STL na mwenzake.

Nao waliobakia walivyoona shazi la watu wamepanda mori wakaondoa gari kwa kasi kwa nyuma wakawagonga boda boda na bajaji kisha akaenda mbele akaenda kugonga mawe yale yaliyoweka kuonyesha ujenzi wa mwendokasi unaendelea ,Land cruiser ikagoma kwenda baada ya kugonga jiwe hapo raia wakaanza kuwashambulia wale so called TRA officers na kuvunja vioo vya gari.

Polisi wamefika baada kama ya saa hivi na kukuta so called officer wa TRA wamechapika kisawasawa ,ila kabla ya kufika polisi alikuja jamaa inaonekana ni "Mtoto wa mama kizimkazi na hapa ipo" ndiyo akafanya michakato ya kuwakimbiza TRA officers hospital ila kwa hali waliokuwa nayo ni 50 /50 kupona.

Ili liwe funzo kwa polisi wanaokuja kukamata raia kiholela holela bila kufuata taratibu ,msitegemee sana "MIKWAJU" aka "MAGITAA" yenu kutishia raia ,raia akichafuka wanakunyang'anya huo mkwaju na kulala nanyi kiulalo ulalo.
Wangewachoma moto tuu tusherehekee ushindi. Siyo kila siku watekaji wao tuu ndo waue.
 
Back
Top Bottom