konda msafi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 1,696
- 8,763
Kumbe haupo makini japo umesoma. Hebu rudi tena usome vizuri hiyo bima. Hiyo bima ni ya sijui nisani patrol sijui daladala. Means hiyo BMW ilikuwa inatumia namba za gari nyingine. Kumbuka hao ni maafisa wa Customs, wao ndio wenye mifumo ya kuangalia usajili wa gari, kutambua imeingiaje nchini.Kuna sehemu nimesoma ushahidi wa hiyo gari same plate number kuwa imelipia hadi bima. Kwa nini wewe ukiwaza positively ukosoe wanaowaza negatively.? Haya mambo ya kutekana yameota mizizi, ndio maana hata raia wakaona wasaidie, unadhani nao wajinga?
🤣🤣! Kule Kunduchi Beach ndo chimbo kuu la magendo!Wameshindwana malipo hao.
Watu wa magendo wananguvu sana kwenye hizo njia wengine hununua njia, wengine hununua askari inategemea.
Kwa mara ya kwanza nilishuhudia askari polisi wa kata ya KUNDUCHI pale MTONGANI akilambwa vibao hadharani na watu wa magendo kisha wakaondoka zao bila kufanywa lolote. Yule afande mfupi mkurya alikuwa na kanyota kamoja hivi
Possible maana jamaa wana mbinu nyingi.Je, Ni Maafisa wa Forodha wa TRA au Undercovers wa Abduction Squad ambao wamekuwa infiltrated ndani ya TRA ili to conceal their real identities in their illicit activities??? Siyo kwamba hivyo vyeo vya huko TRA vinatumika tu kama 'Cover' ya hizo kazi zao za Siri?
Siyo kwamba hilo lilikuwa jaribio la utekaji lililofeli? Not a failed attempt of abduction
Sema hao Watu walikuwa ni Watekaji, hilo ni jaribio la utekaji liliiloshindwa.Possible maana jamaa wana mbinu nyingi.
WATEKAJI hao, acha kutetea us3ng3 wewe. Na huu ni mwanzo tu, kuna mengi yakufurahisha WASIOJULIKANA huko mbeleniHapo sheria gani haijafuatwa boss wangu?
Achana na mambo ya utekaji wewe, ukiendelea kushupaza shingo kuna siku wananchi WATAKUCHOMA MOTO MZIMA MZIMA..Hujafikiria kuwa labda huo muda waliokuja ndio muda muafaka kwao kukipata wanachokitafuta, hujafikiria kuwa wakikubali kuja kesho unaweza kukihamisha au kupoteza ushahidi wa kile wanachokitafuta?