Tegeta, Dar: Maafisa wa TRA washambuliwa na wananchi kwa mawe

Tegeta, Dar: Maafisa wa TRA washambuliwa na wananchi kwa mawe

Kuna sehemu nimesoma ushahidi wa hiyo gari same plate number kuwa imelipia hadi bima. Kwa nini wewe ukiwaza positively ukosoe wanaowaza negatively.? Haya mambo ya kutekana yameota mizizi, ndio maana hata raia wakaona wasaidie, unadhani nao wajinga?
Kumbe haupo makini japo umesoma. Hebu rudi tena usome vizuri hiyo bima. Hiyo bima ni ya sijui nisani patrol sijui daladala. Means hiyo BMW ilikuwa inatumia namba za gari nyingine. Kumbuka hao ni maafisa wa Customs, wao ndio wenye mifumo ya kuangalia usajili wa gari, kutambua imeingiaje nchini.
 
Wameshindwana malipo hao.
Watu wa magendo wananguvu sana kwenye hizo njia wengine hununua njia, wengine hununua askari inategemea.
Kwa mara ya kwanza nilishuhudia askari polisi wa kata ya KUNDUCHI pale MTONGANI akilambwa vibao hadharani na watu wa magendo kisha wakaondoka zao bila kufanywa lolote. Yule afande mfupi mkurya alikuwa na kanyota kamoja hivi
🤣🤣! Kule Kunduchi Beach ndo chimbo kuu la magendo!
 
Je, Ni Maafisa wa Forodha wa TRA au Undercovers wa Abduction Squad ambao wamekuwa infiltrated ndani ya TRA ili to conceal their real identities in their illicit activities??? Siyo kwamba hivyo vyeo vya huko TRA vinatumika tu kama 'Cover' ya hizo kazi zao za Siri?
Siyo kwamba hilo lilikuwa jaribio la utekaji lililofeli? Not a failed attempt of abduction
Possible maana jamaa wana mbinu nyingi.
 
Safi sana, hawa WAPUUZI wamevuna walichokipanda. WASIOJULIKANA wataendelea kujulikana sasa kama serikali yaa CCM haitacha haya mambo ya utekaji.
 
Hujafikiria kuwa labda huo muda waliokuja ndio muda muafaka kwao kukipata wanachokitafuta, hujafikiria kuwa wakikubali kuja kesho unaweza kukihamisha au kupoteza ushahidi wa kile wanachokitafuta?
Achana na mambo ya utekaji wewe, ukiendelea kushupaza shingo kuna siku wananchi WATAKUCHOMA MOTO MZIMA MZIMA..
 
Back
Top Bottom