Tego la usinga; uchawi uliotoweka

Na dawa ambayo inapiga counter inaitwaje incase usinase na wala usipigwe shoti hata kama mtu ametega
 

Wanaume tuko waoga sana kugededewa sijui wanawake wao hawana hofu ya watu wao kugegeda kwingine,je wanawake walikuwa hawawategi watu wao
 
Wanaume tuko waoga sana kugededewa sijui wanawake wao hawana hofu ya watu wao kugegeda kwingine,je wanawake walikuwa hawawategi watu wao
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji80] [emoji80] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 


Huu uchawi/kinga bado ipo.....kuna mze mmoja kule Tanga maeneo ya Kisimatui bado anafanya haya, na mimi nimeshamshughulikia mke wangu kitambo na yeye hajijuwi.
 
Huu uchawi/kinga bado ipo.....kuna mze mmoja kule Tanga maeneo ya Kisimatui bado anafanya haya, na mimi nimeshamshughulikia mke wangu kitambo na yeye hajijuwi.
[emoji80] [emoji80] [emoji87] [emoji87] [emoji15] [emoji779] [emoji781] Mmh...chunga sana kama una mtoto wa kiume
 
Mkuu umenikumbusha 2010 kuna binti wa kimakonde ameolewa Na msambaa nikataka kuingia bahati nzuri nilimshirikisha rafiki yangu wa kisambaa ndio akanipa hiyo stori sikutaka tena hata mazoea nae! Wanadai kuna hadi kukojoa dagaa kama ukinaswa ila ukimlia chumbani kwake haina shida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…