Tekashi 6ix9ine ameachiwa huru kutokana na hofu ya Corona Virus

Tekashi 6ix9ine ameachiwa huru kutokana na hofu ya Corona Virus

huku nje pia ni hatari kwa maisha yake maana alivujisha siri za makundi makubwa ya uhalifu kama makubaliano na waendesha mashataka ili apunguziwe adhabu.
 
[emoji91]
Screenshot_20200509-194202.jpg


YGM
 
Kuna huyu wanamuita young lunya, yani mpaka wimbo unaisha ye anapayuka tu lakini bado kuna watu wanamfagilia
[/QUOTE
Mi mwenyewe huwa nawashangaa wanaomkubali lunya kila ngoma flow ile ile
 
Mi nimemjua kwenye yes bana challenge,,,yaani kaimba hovyo kinoma anaunga unga vina tu
 
Back
Top Bottom