Tekashi 6ix9ine ameachiwa huru kutokana na hofu ya Corona Virus

Tekashi 6ix9ine ameachiwa huru kutokana na hofu ya Corona Virus

Bro nakupinga,,Mumble rappers ni wale wanaorap kama wananong'ona,,yaani ni ngumu kuskia wanachokiongea had ucheze na Lyrics kama Kodak Black,,ila Migos,6ix9ine,Lil Pump,DaBaby,21 Savage, na mnyama wangu kabisa mwenye Travee Scowise(Travis Scotty) sio Mumble rappers coz wanachoimba unakiskia
Mumble rappers everywhere![emoji107]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hopefully R Kelly naye watamuachia kabla ya corona haijamshambulia.

Najua tukio hili wengi hatujalisikia kutokana na corona kuwa trend kiasi cha kuzima habari nyingi ili isikike yenyewe

Mapema ya mwezi april tarehe 2 Msanii wa muziki wa hip hop (trapper) TEKASHI al maarufu kwa jina la 6ix9ine aliachiwa huru ambapo alikua akitumikia kifungo kwa miezi mingi.

Mwanasheria wake ambae amekua akitafuta namna ya kumtoa jamaa kwa muda mrefu lakini kutokana na uzito wa kesi haikua rahisi kuachiwa. Jamaa alikua na kesi mbili "conspiracy to murder" na "armed robbery"

Lakini mwanasheria kaja na hoja ambayo inaonesha kua 6ix9ine ana magonjwa mengi ambayo ni tishio endapo atapata virus vya corona kama "asthma", ambayo yatamuweka kwenye risk kubwa ya kitengo cha kuumwa corona.

Mwanzoni huyo mwanasheria serikali ilimkazia kwa hoja hiyo lakini ghafla baada ya muda wakamruhusu, so jamaa yuko nje uraiani mpaka muda huu. Lakini bado hajawa huru rasmi moja kwa moja nadhani hii ni kama kifungo cha nje kapewa.

Pia kapewa masharti kua akae miezi minne ndani kwake bila kwenda sehemu nyingine yeyote isipokua kukutana na wakili wake au kupata huduma za kitabibu katika hospitali au maduka ya dawa, lakini hii kwake itakua ni bora zaidi kuliko jela.

Japo jamaa kapigwa ban asiende ku record wala kufanya mizunguko kinyume na hizo sehemu mbili alizoruhusiwa, jumanne ya wiki hili Tekashi ali-post kwenye IG kua atakua na interview yake leo ijumaa. Bila shaka atakua live kupitia instagram sidhani kama ni media
View attachment 1444109View attachment 1444110

It's Scars
 
Hahahaha had Post Malone!!Aya bhana nimekuelewa Mumble rapper Scars
Mumble rappers ni wasanii ambao nyimbo zao hazihitaji critical thinking kwamba ukisikiliza kuna la kujifunza. J cole ndo maana aliwachana yaani wao wanaongelea vitu vinne pesa, malaya, madawa na ukabaji (robbers). Flow zao ni dabbs na vimbwengele mbwengele vingine kama "skrrt" ili kuongeza urefu wa nyimbo

Lil baby pure cocaine, humu hakuna kilichoimbwa wanajizungusha tu kupoteza muda ili mradi tu

Lil pump kaimba gucci gang lakini hakuna lryrical mle huwezi kumfananisha na dax kwenye book of revelations

Future ndo kabisa hata ukisikiliza ile nyimbo yake na drake "life is good" utagundua nyimbo ilianza kupoteza ladha alipoanza kuimba "future"

21savage huyu sio wa kumtetea labda kama hujaiskia ngoma yake ya "bank account" anarudia rudia tu maneno na kuhesabu namba yani kiufupi alichokiimba ni meaningless na ndio maana tunawaita mumble rappers na kuna cypher moja wako mumble rappers karibia wote na aliyeharibu kwenye hiyo cypher kushinda wenzake ni Uzi na kodak

Ni wengi mzee hao wote ni talentless na ndio maana Quavo walikua wanamdiss sana kua ana sauti nzuri ila anaimba trash, ndo maana kwenye Narcos akajitetea kua "this is real rap no mumble" lakini bado ni trash
 
Hopefully R Kelly naye watamuachia kabla ya corona haijamshambulia.
Kwani ana matatizo ya kiafya?

Tekashi alikua ana pumu ndo maana kaachiwa ila hata hivyo walichukua mda sana kumruhusu atoke baada ya ombi lake la mwanzo kukataliwa japo kua wakili wake alilalamika kua jamaa ni mgonjwa
 
Hahahaha had Post Malone!!,,Bro ata chuoni huwa tunaonywa sana kutafuta reference kwenye Wikipedia,,Bali bora tutumie PDF ishu za kitaaluma maana Wikipedia kila raia ana uwezo wa ku'apload anachoona kipo sahihi kwa upande wake atakama sio cha ukweli,,Sasa unaleta list ya Wikipedia chaliangu WTF!!l
Unataka source ya kuhusu mumble rappers uitoe billboard au BBC?
 
Mumble rappers ni wasanii ambao nyimbo zao hazihitaji critical thinking kwamba ukisikiliza kuna la kujifunza. J cole ndo maana aliwachana yaani wao wanaongelea vitu vinne pesa, malaya, madawa na ukabaji (robbers). Flow zao ni dabbs na vimbwengele mbwengele vingine kama "skrrt" ili kuongeza urefu wa nyimbo

Lil baby pure cocaine, humu hakuna kilichoimbwa wanajizungusha tu kupoteza muda ili mradi tu

Lil pump kaimba gucci gang lakini hakuna lryrical mle huwezi kumfananisha na dax kwenye book of revelations

Future ndo kabisa hata ukisikiliza ile nyimbo yake na drake "life is good" utagundua nyimbo ilianza kupoteza ladha alipoanza kuimba "future"

21savage huyu sio wa kumtetea labda kama hujaiskia ngoma yake ya "bank account" anarudia rudia tu maneno na kuhesabu namba yani kiufupi alichokiimba ni meaningless na ndio maana tunawaita mumble rappers na kuna cypher moja wako mumble rappers karibia wote na aliyeharibu kwenye hiyo cypher kushinda wenzake ni Uzi na kodak

Ni wengi mzee hao wote ni talentless na ndio maana Quavo walikua wanamdiss sana kua ana sauti nzuri ila anaimba trash, ndo maana kwenye Narcos akajitetea kua "this is real rap no mumble" lakini bado ni trash
This real rap no mumble yeyeyeyeh,,straight out the jungle,,,Future kweli kazingua kwenye life iz good..Ebu nambie ngoma ipi Post Malone kaimba vitu havieleweki?check Better now,Go flex,Rock star,Good bye, Psycho, zote zina mantiki hajaimba kuhusu madawa,Malaya wala magari.
 
This real rap no mumble yeyeyeyeh,,straight out the jungle,,,Future kweli kazingua kwenye life iz good..Ebu nambie ngoma ipi Post Malone kaimba vitu havieleweki?check Better now,Go flex,Rock star,Good bye, Psycho, zote zina mantiki hajaimba kuhusu madawa,Malaya wala magari.
Halafu huyu malone yuko kwenye genre ya pop na R&B wala sio rapper ye ni singer. Ukiangalia hata hizi latest songs alizofanya kama "thousands hundred" times na "circle" hizi nyimbo zote hakuna alipo rap zote kaimba
 
Halafu huyu malone yuko kwenye genre ya pop na R&B wala sio rapper ye ni singer. Ukiangalia hata hizi latest songs alizofanya kama "thousands hundred" times na "circle" hizi nyimbo zote hakuna alipo rap zote kaimba
White Iverson ipo kwenye category ya Hip-hop.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu huyu malone yuko kwenye genre ya pop na R&B wala sio rapper ye ni singer. Ukiangalia hata hizi latest songs alizofanya kama "thousands hundred" times na "circle" hizi nyimbo zote hakuna alipo rap zote kaimba
Sasa mbona kwenye list yako ya Wikipedia yupo?,,I told U men Wikipedia mhhhhh
 
Mumble rappers ni wasanii ambao nyimbo zao hazihitaji critical thinking kwamba ukisikiliza kuna la kujifunza. J cole ndo maana aliwachana yaani wao wanaongelea vitu vinne pesa, malaya, madawa na ukabaji (robbers). Flow zao ni dabbs na vimbwengele mbwengele vingine kama "skrrt" ili kuongeza urefu wa nyimbo

Lil baby pure cocaine, humu hakuna kilichoimbwa wanajizungusha tu kupoteza muda ili mradi tu

Lil pump kaimba gucci gang lakini hakuna lryrical mle huwezi kumfananisha na dax kwenye book of revelations

Future ndo kabisa hata ukisikiliza ile nyimbo yake na drake "life is good" utagundua nyimbo ilianza kupoteza ladha alipoanza kuimba "future"

21savage huyu sio wa kumtetea labda kama hujaiskia ngoma yake ya "bank account" anarudia rudia tu maneno na kuhesabu namba yani kiufupi alichokiimba ni meaningless na ndio maana tunawaita mumble rappers na kuna cypher moja wako mumble rappers karibia wote na aliyeharibu kwenye hiyo cypher kushinda wenzake ni Uzi na kodak

Ni wengi mzee hao wote ni talentless na ndio maana Quavo walikua wanamdiss sana kua ana sauti nzuri ila anaimba trash, ndo maana kwenye Narcos akajitetea kua "this is real rap no mumble" lakini bado ni trash
pia Mumble ni vile wanaimba vitu kama hawatamki maneno sawa sawa, unakuta mtu anaimba Pruuuuurakatatatattatatpupu paah yani hamna cha kueleweka [emoji28][emoji28] mziki unaniudhi mimi huo..
Migos /Young Thug /Future hata wakiimba hujui who is who vitu ni meaning less kama unavyosema mkuu
 
Back
Top Bottom