Televisheni ya Sh400,000 yawapeleka miaka 30 jela

Huyu hakimu
 
It's craze mkuu na hawa watawala wanatuchukulia sisi ni mizuzu, hukumu gani hii huu ni ushenzi wa hakimu kwa kuonea vidagaa huku mipapa ikivuruga nchi, hukumu ya kipumbavu
Wewe utakuwa panya Road

Mtu anachuka TV hata ingekuwa ya elfu 10.halafu anamkata na mapanga aliyemwibia unamwita kidagaa muuaji kama huyo?

Huyo ni jambazi sugu linalotumia silahaiwe panga,shoka kisu,Wembley nk

Muuaji.huwezi ita kidagaa

Wewe utakuwa panya road au kiongozi wa panya road
 
Watu wanne mnaenda kumkata mtu mapanga mumuibie tv ya laki 4 kweli?
Mkigawana kila mmoja anachukua laki upumbavu gani huo.
Mnakamatwa mnafungwa miaka 30.
Miaka 30 hao watakula ugali maharage bure kodi zetu.
Bora wanyongwe tu
 
Watu wanne mnaenda kumkata mtu mapanga mumuibie tv ya laki 4 kweli?
Mkigawana kila mmoja anachukua laki upumbavu gani huo.
Mnakamatwa mnafungwa miaka 30.
Miaka 30 hao watakula ugali maharage bure kodi zetu.
Bora wanyongwe tu
Tv laki nne, Bei ya kimtaa inaweza uzwa hta 150000 c unajua tena wazee wa Kazi hawana muda wa kupoteza??
 
Hukumu haiko sawa!
Kati ya hao wanne ni yupi hasa alitumia panga? Huyo ndio ale 30.
Ikiwa wote walitumia panga ni sawa watumikie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…