Televisheni ya Sh400,000 yawapeleka miaka 30 jela

Panya Roads ndani ya JF!!!
 
Ibeni mabilion kwa mamilion

Hamtafungwa

Ova
 
Mwendo wameumaliza hao, ripoti ya CAG waliokwapua billions of money wanabadilishwa vitengo wanadunda mtaani
Serikali Tanzania:

1.Raia mwizi wa TV, miaka 30 jela.

2.Raia Fisadi wa mabillioni ya serikali, mnaohusika naombeni mtupishe.
Kwa hiyo wezi wanaoiba kwa kutumia silaha waachwe kisa ripoti ya CAG?

Mbona siasa zinawatoa akili kiasi hiki
 
It's craze mkuu na hawa watawala wanatuchukulia sisi ni mizuzu, hukumu gani hii huu ni ushenzi wa hakimu kwa kuonea vidagaa huku mipapa ikivuruga nchi, hukumu ya kipumbavu
Nenda kawakatie rufaa, uwaambie wana haki ya kuiba na kukata watu mapanga sababu serikali pia inaiba
 
Wangeiba tu ningewatetea. Lakini kitendo cha kumkata panga wanastahili hiyo adhabu. Wapumbavu kabisa. Lakini pia-kwa nini wajitetee wenyewe, si wanasema kama huna wakili serikali inakupatia!!? Au ni habari ya majuu tu huko?
 
Hilo panga ndio limewapa miaka 30, TV peke yake wangepewa miezi sita tuu na kuilipa
 
...Yaani ni Kila Mwizi anfungwa Miaka 30 yake ? Au ni Miaka 30 gawanya Kwa Wahalifu Wanna ambapo Kila mmoja atatumikia Miaka Saba na Nusu ? Au....?
 
Hukumu haiko sawa!
Kati ya hao wanne ni yupi hasa alitumia panga? Huyo ndio ale 30.
Ikiwa wote walitumia panga ni sawa watumikie
Sio kazi ya mahakama kujua yupi alitumia panga wewe utakuwa panya road

Vitani kikosi cha jeshi chaweza au defender yaweza kuwa na bunduki moja humo.ndani kuna kamanda ,msaidizi wa kamanda ,koplo nk waelekeza mtu apige na apige wapi

Panya Road huwa kikosi kamili

Kikosi chai chote kilitakiwa kunyongwq sema wewe kama umenusurika shukuru

Lakini iko siku utadakwa tu kwa kuwemo hicho kikosi cha panya road waliokuwemo kwenye hilo tukio wakasepa

Ili uunganishwe kwenye hukumu
 
Serikali Tanzania:

1.Raia mwizi wa TV, miaka 30 jela.

2.Raia Fisadi wa mabillioni ya serikali, mnaohusika naombeni mtupishe.
Fisadi anaumiza nchi, kibaka anaumiza mtu.
Fisadi atazungusha hela itarudi mtaani SAsa kibaka ana faida gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…