Kamyamya
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 560
- 572
Hapo brother kachemka japo
Hapo brother kachemka ,,nadhani ni idhaa mbili tofauti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo brother kachemka japo
Hapo brother kachemka ,,nadhani ni idhaa mbili tofauti.
kwasisi tunaoona live 8 za azam tv kwenye mpira tunaruhusiwa kucoment??Wanabodi
Kwanza wale wenye access, Watch, TBC 1 na TBC 2...shuhudia...!.
Kwa watu wasiojua what it takes kurusha matangazo ya TV live mubashara kutoka sehemu mbili tofauti kwa wakati mmoja, mnaweza msielewe, hapa ninashangaa nini!.
Kiukweli kituo cha Television ya Taifa, TBC, kimetisha!. Kitendo cha kurusha matangazo ya moja kwa moja, Live Mubashara kutoka maeneo mawili tofauti kwa wakati mmoja, sio jambo dogo!. Hongera sana Dr. Ayub Rioba na timu yako.
Live moja ni kutokea jijini ya Dodoma kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Posta Duniani, live hiyo iko live on TBC1. Wakati huo huo, yaani at the same time, kuna Live ya pili ikitokea Arusha, kwenye uzinduzi wa maonyesho ya Utalii ya Africa Mashariki ambayo iko TBC2- maarufu Safari Channel.
Matangazo ya moja kwa moja ya Redio au TV yanaitwa OB, au Outside Broadcasting.
Ili kituo cha TV kiweze kurusha live, lazima uwe na dude kama hili.
View attachment 1969159TBC Yafanya Kweli!, Yashusha OB Van ya Kufa Mtu!, Ina Kamera 12!. Itarusha HDV Signal Kama DSTV.
Wanabodi, Heri ya Pasaka, Mara moja moja huwa ninatembelea Kituo cha TBC kwa shughuli zangu, leo Jumapili ya Pasaka nimepita pale na kuushuhudia bonge la OB Van mpya ya Kufa Mtu ikitua TBC!, kwa maelezo ya juu juu, OB Van hii, ina Kamera 12!, na moja ya camera hizo ni camera ya slow motion...www.jamiiforums.com
Hilo dubwana, lione tuu kwa nje kama lori tuu, humo ndani shughuli yake sio mchezo!.
View attachment 1969177
Hii inamaanisha sasa TBC inayo hii midude zaidi ya moja.
Leo ndio mara yangu ya kwanza kushuhudia live mbili concurrently zikirushwa na kituo kimoja cha TV. Kwa nchini Tanzania, ukiondoa live za DSTV, na zile za Azam, TBC ndio imefungua pazia la live mbili kwa wakati mmoja. Huu ni uthibitisho TBC ndio TV kiongozi nchini Tanzania.
Hongera sana TBC.
TBC Baba Lao.
Paskali
Tatizo lako siyo mshahara. Tatizo lako ni teuzi katika nafasi za juu.Mimi Paskali Mayalla ni mtangazaji wa kujitegemea kwa kujitolea, sijawahi kutaka nafasi yoyote, wala sijawahi kutafuta uteuzi wowote.
Tafuta Ikama ya TBC, uangalie mshahara wa DG wa TBC, halafu Kama una mtu unamjua TRA, mwambie akuangalizie Tin Number ya mtu aitwae Pascal Andrew Mayalla, analipa kodi kiasi gani, kisha linganisha na ule mshahara!. Ukipata majibu, naomba yafanye ni siri yako!.
P
Teuzi katika nafasi za juu ili nikafanye nini?!. Tuendeleeni tuu kufahamiana hivi hivi ki jf, if, lakini watu wote wanaonifahamu the real me, wanajua Pasco Mayalla hatafuti uteuzi wowote.Tatizo lako siyo mshahara. Tatizo lako ni teuzi katika nafasi za juu.
Okay...... (TBC Pekee)Ili kituo chochote kiweze kurusha live mbili simultaneously, lazima kituo hicho kiwe na Channel zaidi ya moja. Kwa Tanzania, Kituo cha TV, cha FTA, chenye Channel zaidi ya moja ni TBC pekee.
Sawa....Azam TV ni cable kama ilivyo DSTV.
Duh mkuu sasa ITV ni Cable !!??? Mbona logically argument yako kama inaukakasi !!???ITV pia wanazo Channel 3, yaani ITV, EATV na Capital TV, lakini ITV haijawahigi kumiliki OB Van hata moja.
Kutangaza live mbili sio jambo dogo.
P
Asante kunisemea hili.Thread Imekosa Neno Moja Tu Ambalo Ni Hili
Haijawahi Kutokea Hii Isipokuwa Awamu Ya 6
Haa Haa, Mambo Mengine Ni Kinyaa Sana
Pongezi Ziende Awamu Hi Tuliyonayo
Yaani uko mulemule mkuuWashauri safari channel watafte ama kutengeneza documentary mpya, kila siku ni kisiwa cha Rubondo tuuu.
Waambie warekodi zile zinaonyeshwa NG Wild halafu watafsiri ama waingize sauti kwa juu kuliko kila siku ni makala zile zile.
Ama hata waweke za sauti ya kizungu hakuna shida.
Mimi ni mpenzi wa makala za wanyama nimeona nitoe maoni yangu.
Azam alirusha mechi zote za ligi kuu at once.Wanabodi
Kwanza wale wenye access, Watch, TBC 1 na TBC 2...shuhudia...!.
Kwa watu wasiojua what it takes kurusha matangazo ya TV live mubashara kutoka sehemu mbili tofauti kwa wakati mmoja, mnaweza msielewe, hapa ninashangaa nini!.
Kiukweli kituo cha Television ya Taifa, TBC, kimetisha!. Kitendo cha kurusha matangazo ya moja kwa moja, Live Mubashara kutoka maeneo mawili tofauti kwa wakati mmoja, sio jambo dogo!. Hongera sana Dr. Ayub Rioba na timu yako.
Live moja ni kutokea jijini ya Dodoma kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Posta Duniani, live hiyo iko live on TBC1. Wakati huo huo, yaani at the same time, kuna Live ya pili ikitokea Arusha, kwenye uzinduzi wa maonyesho ya Utalii ya Africa Mashariki ambayo iko TBC2- maarufu Safari Channel.
Matangazo ya moja kwa moja ya Redio au TV yanaitwa OB, au Outside Broadcasting.
Ili kituo cha TV kiweze kurusha live, lazima uwe na dude kama hili.
View attachment 1969159TBC Yafanya Kweli!, Yashusha OB Van ya Kufa Mtu!, Ina Kamera 12!. Itarusha HDV Signal Kama DSTV.
Wanabodi, Heri ya Pasaka, Mara moja moja huwa ninatembelea Kituo cha TBC kwa shughuli zangu, leo Jumapili ya Pasaka nimepita pale na kuushuhudia bonge la OB Van mpya ya Kufa Mtu ikitua TBC!, kwa maelezo ya juu juu, OB Van hii, ina Kamera 12!, na moja ya camera hizo ni camera ya slow motion...www.jamiiforums.com
Hilo dubwana, lione tuu kwa nje kama lori tuu, humo ndani shughuli yake sio mchezo!.
View attachment 1969177
Hii inamaanisha sasa TBC inayo hii midude zaidi ya moja.
Leo ndio mara yangu ya kwanza kushuhudia live mbili concurrently zikirushwa na kituo kimoja cha TV. Kwa nchini Tanzania, ukiondoa live za DSTV, na zile za Azam, TBC ndio imefungua pazia la live mbili kwa wakati mmoja. Huu ni uthibitisho TBC ndio TV kiongozi nchini Tanzania.
Hongera sana TBC.
TBC Baba Lao.
Paskali
Lbda anakosa hotuba za chamaMkuu Nyambi Sr , pole sana, kwasababu kwa kutoangalia TBC, unakosa mengi!.
P
Hujasoma unachangia nini sasa ?Japo sijasoma ulichoandika mzee wangu ...niwe mkweli tu Nina miaka sita au Saba sijafungulia tbc ...
Na nikiwakuta wanangu wanaangalia tibithii lazima niwagomee...
Uzalendo una mipaka ....
Mkuu Kwani wewe mgeni mkuu paschal au ?..? Najua tu alichoandika na anachomaanisha Ni vitu viwili tofauti hivyo huwezi kumuelewa ukiwa na akili nyepesi ...zamani nilikuwa nikimaliza kusoma mabandiko yake ...nilivyomuelewa baada ya kukua ubongo wangu nikaacha ...