Television ya Taifa,TBC, Imetisha!. Yarusha Live Mbili Kwa Wakati Mmoja! Live ya Dodoma on TBC1 At the Same Time Live ya Arusha TBC2- Safari Channel

Television ya Taifa,TBC, Imetisha!. Yarusha Live Mbili Kwa Wakati Mmoja! Live ya Dodoma on TBC1 At the Same Time Live ya Arusha TBC2- Safari Channel

Wanabodi
Kwanza wale wenye access, Watch, TBC 1 na TBC 2...shuhudia...!.

Kwa watu wasiojua what it takes kurusha matangazo ya TV live mubashara kutoka sehemu mbili tofauti kwa wakati mmoja, mnaweza msielewe, hapa ninashangaa nini!.

Kiukweli kituo cha Television ya Taifa, TBC, kimetisha!. Kitendo cha kurusha matangazo ya moja kwa moja, Live Mubashara kutoka maeneo mawili tofauti kwa wakati mmoja, sio jambo dogo!. Hongera sana Dr. Ayub Rioba na timu yako.

Live moja ni kutokea jijini ya Dodoma kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Posta Duniani, live hiyo iko live on TBC1. Wakati huo huo, yaani at the same time, kuna Live ya pili ikitokea Arusha, kwenye uzinduzi wa maonyesho ya Utalii ya Africa Mashariki ambayo iko TBC2- maarufu Safari Channel.

Matangazo ya moja kwa moja ya Redio au TV yanaitwa OB, au Outside Broadcasting.

Ili kituo cha TV kiweze kurusha live, lazima uwe na dude kama hili.
View attachment 1969159
Hilo dubwana, lione tuu kwa nje kama lori tuu, humo ndani shughuli yake sio mchezo!.
View attachment 1969177

Hii inamaanisha sasa TBC inayo hii midude zaidi ya moja.

Leo ndio mara yangu ya kwanza kushuhudia live mbili concurrently zikirushwa na kituo kimoja cha TV. Kwa nchini Tanzania, ukiondoa live za DSTV, na zile za Azam, TBC ndio imefungua pazia la live mbili kwa wakati mmoja. Huu ni uthibitisho TBC ndio TV kiongozi nchini Tanzania.
Hongera sana TBC.

TBC Baba Lao.

Paskali
kwasisi tunaoona live 8 za azam tv kwenye mpira tunaruhusiwa kucoment??
 
Mimi Paskali Mayalla ni mtangazaji wa kujitegemea kwa kujitolea, sijawahi kutaka nafasi yoyote, wala sijawahi kutafuta uteuzi wowote.

Tafuta Ikama ya TBC, uangalie mshahara wa DG wa TBC, halafu Kama una mtu unamjua TRA, mwambie akuangalizie Tin Number ya mtu aitwae Pascal Andrew Mayalla, analipa kodi kiasi gani, kisha linganisha na ule mshahara!. Ukipata majibu, naomba yafanye ni siri yako!.
P
Tatizo lako siyo mshahara. Tatizo lako ni teuzi katika nafasi za juu.
 
Tatizo lako siyo mshahara. Tatizo lako ni teuzi katika nafasi za juu.
Teuzi katika nafasi za juu ili nikafanye nini?!. Tuendeleeni tuu kufahamiana hivi hivi ki jf, if, lakini watu wote wanaonifahamu the real me, wanajua Pasco Mayalla hatafuti uteuzi wowote.
P
 
Ili kituo chochote kiweze kurusha live mbili simultaneously, lazima kituo hicho kiwe na Channel zaidi ya moja. Kwa Tanzania, Kituo cha TV, cha FTA, chenye Channel zaidi ya moja ni TBC pekee.
Okay...... (TBC Pekee)
Azam TV ni cable kama ilivyo DSTV.
Sawa....
ITV pia wanazo Channel 3, yaani ITV, EATV na Capital TV, lakini ITV haijawahigi kumiliki OB Van hata moja.
Kutangaza live mbili sio jambo dogo.
P
Duh mkuu sasa ITV ni Cable !!??? Mbona logically argument yako kama inaukakasi !!???
 
Japo sijasoma ulichoandika mzee wangu ...niwe mkweli tu Nina miaka sita au Saba sijafungulia tbc ...
Na nikiwakuta wanangu wanaangalia tibithii lazima niwagomee...
Uzalendo una mipaka ....
Mkuu Nyambi Sr , pole sana, kwasababu kwa kutoangalia TBC, unakosa mengi!.
P
 
Thread Imekosa Neno Moja Tu Ambalo Ni Hili
Haijawahi Kutokea Hii Isipokuwa Awamu Ya 6
Haa Haa, Mambo Mengine Ni Kinyaa Sana

Pongezi Ziende Awamu Hi Tuliyonayo
Asante kunisemea hili.
P
 
Washauri safari channel watafte ama kutengeneza documentary mpya, kila siku ni kisiwa cha Rubondo tuuu.

Waambie warekodi zile zinaonyeshwa NG Wild halafu watafsiri ama waingize sauti kwa juu kuliko kila siku ni makala zile zile.

Ama hata waweke za sauti ya kizungu hakuna shida.

Mimi ni mpenzi wa makala za wanyama nimeona nitoe maoni yangu.
Yaani uko mulemule mkuu
 
Out of topic : kombe la dunia mwakani nani wamepewa leseni ya kurusha matangazo kwa hapa TZ. Msaada wakuu maana nipo dilemma niwe na kisimbuzi gani nipate uhondo huo.
 
ila nawashauri TBC waongeze ubunifu idara zote.
ubora wa picha za matukio, vipindi vya mazungumzo/mahojiano ya asubuhi, n.k
 
Mbona si ajabu, hivyo ni vituo viwili tofauti, labda ingekuwa kituo kimoja ingeeleweka kweli tbc wametisha, hata kama mmiliki wa vituo ni mmoja
 
Wanabodi
Kwanza wale wenye access, Watch, TBC 1 na TBC 2...shuhudia...!.

Kwa watu wasiojua what it takes kurusha matangazo ya TV live mubashara kutoka sehemu mbili tofauti kwa wakati mmoja, mnaweza msielewe, hapa ninashangaa nini!.

Kiukweli kituo cha Television ya Taifa, TBC, kimetisha!. Kitendo cha kurusha matangazo ya moja kwa moja, Live Mubashara kutoka maeneo mawili tofauti kwa wakati mmoja, sio jambo dogo!. Hongera sana Dr. Ayub Rioba na timu yako.

Live moja ni kutokea jijini ya Dodoma kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Posta Duniani, live hiyo iko live on TBC1. Wakati huo huo, yaani at the same time, kuna Live ya pili ikitokea Arusha, kwenye uzinduzi wa maonyesho ya Utalii ya Africa Mashariki ambayo iko TBC2- maarufu Safari Channel.

Matangazo ya moja kwa moja ya Redio au TV yanaitwa OB, au Outside Broadcasting.

Ili kituo cha TV kiweze kurusha live, lazima uwe na dude kama hili.
View attachment 1969159
Hilo dubwana, lione tuu kwa nje kama lori tuu, humo ndani shughuli yake sio mchezo!.
View attachment 1969177

Hii inamaanisha sasa TBC inayo hii midude zaidi ya moja.

Leo ndio mara yangu ya kwanza kushuhudia live mbili concurrently zikirushwa na kituo kimoja cha TV. Kwa nchini Tanzania, ukiondoa live za DSTV, na zile za Azam, TBC ndio imefungua pazia la live mbili kwa wakati mmoja. Huu ni uthibitisho TBC ndio TV kiongozi nchini Tanzania.
Hongera sana TBC.

TBC Baba Lao.

Paskali
Azam alirusha mechi zote za ligi kuu at once.

Azam ana pesa kuliko serikali??

Hapana.

TBC wanatakiwa matangazo Yao yote yake ya HD

Pesa IPo.

Wa ache upigaji
 
Hujasoma unachangia nini sasa ?

Sent from my HUAWEI MLA-L11 using JamiiForums mobile app
Mkuu Kwani wewe mgeni mkuu paschal au ?..? Najua tu alichoandika na anachomaanisha Ni vitu viwili tofauti hivyo huwezi kumuelewa ukiwa na akili nyepesi ...zamani nilikuwa nikimaliza kusoma mabandiko yake ...nilivyomuelewa baada ya kukua ubongo wangu nikaacha ...
 
Back
Top Bottom