Temeke, Dar: Ili upige muziki kwenye sherehe/shughuli utapaswa kulipia elfu 50 ya kibali

Temeke, Dar: Ili upige muziki kwenye sherehe/shughuli utapaswa kulipia elfu 50 ya kibali

Watoto watakaolipishwa bethidei zao wakikua na kuwa marais watakuwa balaa kwa kodi, moja ya kodi kali itakuwa ya tozo ya kupiga mswaki tukiacha ya leseni ya kuvaa viatu.
 
Kwa mantiki hiyo wenyeviti wa Serikali za Mitaa kwa kutumia askari wa akiba al-maarufu Migambo watapita mitaani kuangalia kama kuna "mnuso" nyumba fulani ili wahusika walipe kodi
😱😱😵😵🥵🥵
 
Sherehe nyumbani na jitu wapi na wapi
Wataanza hadi unyago na ngoma za mashetani
Kwa hiyo nyumbani chakula umejinunulia mwenyewe sokoni

Kuku umewatoa banda kwako la kuku ufanye kasherehe ka mtoto kutoka jando

MC mjomba wa mtoto unaenda dai kodi?

Huo ni uhuni kwa sherehe za krimasi na iddi zinszofanyika majumbani watu wanawake hadi mahema mtafuata kodi?

Watu wakiwa wana sherehe ya kupokea mahari au barua ya uchumba mtaenda? Huo ni udhañimu
Hii tozo CCM haiwahusu,inawahusu Chadema na Lissu wake. Mitano Tena!
 
Sherehe nyumbani na jitu wapi na wapi
Wataanza hadi unyago na ngoma za mashetani
Kwa hiyo nyumbani chakula umejinunulia mwenyewe sokoni

Kuku umewatoa banda kwako la kuku ufanye kasherehe ka mtoto kutoka jando

MC mjomba wa mtoto unaenda dai kodi?

Huo ni uhuni kwa sherehe za krimasi na iddi zinszofanyika majumbani watu wanawake hadi mahema mtafuata kodi?

Watu wakiwa wana sherehe ya kupokea mahari au barua ya uchumba mtaenda? Huo ni udhañimu
mataga ile mitano tena imeanza kuwatokea puani.
 
Wakati mwingine inakuwa ni njia ya kutuokoa na matumizi yasiyo ya lazima hasa kwa watu wa kipato cha chini.

Tufanye mambo kwa kadri ya uwezo wetu!!
 
Safi sana but mbona viwango vipo chini hivyo?

Hivi hapa ndivyo vyenyewe sasa...

Ukumbi malaki 5
Chakula malaki 4
MC malaki 3
DJ malaki 2

Badala ya kuchangianaga kwenye mambo muhimu kama elimu, tiba, nk watu wanashobokeaga masherehe. Hiiiiiiiiiii!

Wacha wakomage kabisa kabisa wakufwage huko!

Roho mbaya itakuuwa,sujui wewe ni jinsia gani.Umeambiwa hao wanaofanya sherehe hawana hela ya matibabu au shobo tu
 
😳Lakini pia haijalishi umefanya ukumbini au nyumbani. Kwa mantiki hiyo wenyeviti wa Serikali za Mitaa kwa kutumia askari wa akiba al-maarufu Migambo watapita mitaani kuangalia kama kuna "mnuso" nyumba fulani ili wahusika walipe kodi.
Kwa hiyo nikiwa na sabuhufa yangu nikawa napiga nyimbo za taaratibu huku nikifurahi na familia yangu na ndugu walionitembelea kunipongeza kwa kufanikisha jambo muhimu wakati huo huo tunakamatia ubwechwe, na mnuso wa nguvu! Kuna uwezekano Askari wa akiba wakatushika 'tanganyika jeki'😳😳😳😳
 
Back
Top Bottom