Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Watoto watakaolipishwa bethidei zao wakikua na kuwa marais watakuwa balaa kwa kodi, moja ya kodi kali itakuwa ya tozo ya kupiga mswaki tukiacha ya leseni ya kuvaa viatu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni jambo jema!
Huyo Meya ni wa Chadema.
Itakuwaje sherehe nifanye nyumbani kwangu wewe uje unitoze kodi, haya ndio mambo ya akina Mamwindi!
😱😱😵😵🥵🥵Kwa mantiki hiyo wenyeviti wa Serikali za Mitaa kwa kutumia askari wa akiba al-maarufu Migambo watapita mitaani kuangalia kama kuna "mnuso" nyumba fulani ili wahusika walipe kodi
Hii tozo CCM haiwahusu,inawahusu Chadema na Lissu wake. Mitano Tena!Sherehe nyumbani na jitu wapi na wapi
Wataanza hadi unyago na ngoma za mashetani
Kwa hiyo nyumbani chakula umejinunulia mwenyewe sokoni
Kuku umewatoa banda kwako la kuku ufanye kasherehe ka mtoto kutoka jando
MC mjomba wa mtoto unaenda dai kodi?
Huo ni uhuni kwa sherehe za krimasi na iddi zinszofanyika majumbani watu wanawake hadi mahema mtafuata kodi?
Watu wakiwa wana sherehe ya kupokea mahari au barua ya uchumba mtaenda? Huo ni udhañimu
Kwenye kuisoma namba ndo hakuna jicho anapigwa yeyoteWakuu mimi sijaelewa, hiyo kodi ni Wapinzani tu au hadi sisi tuliomtukana Lissu kipindi cha kampeni?!
mataga ile mitano tena imeanza kuwatokea puani.Sherehe nyumbani na jitu wapi na wapi
Wataanza hadi unyago na ngoma za mashetani
Kwa hiyo nyumbani chakula umejinunulia mwenyewe sokoni
Kuku umewatoa banda kwako la kuku ufanye kasherehe ka mtoto kutoka jando
MC mjomba wa mtoto unaenda dai kodi?
Huo ni uhuni kwa sherehe za krimasi na iddi zinszofanyika majumbani watu wanawake hadi mahema mtafuata kodi?
Watu wakiwa wana sherehe ya kupokea mahari au barua ya uchumba mtaenda? Huo ni udhañimu
wataznania wengi ni makondoo.Wakati mwingine inakuwa ni njia ya kutuokoa na matumizi yasiyo ya lazima hasa kwa watu wa kipato cha chini.Tufanye mambo kwa kadri ya uwezo wetu!!
hadi kigodoro kinalipiwa kodiHahahah na +5tena
[emoji23][emoji23]Wasi sahau Kodi ya kitanda kwa wana ndoa
Safi sana but mbona viwango vipo chini hivyo?
Hivi hapa ndivyo vyenyewe sasa...
Ukumbi malaki 5
Chakula malaki 4
MC malaki 3
DJ malaki 2
Badala ya kuchangianaga kwenye mambo muhimu kama elimu, tiba, nk watu wanashobokeaga masherehe. Hiiiiiiiiiii!
Wacha wakomage kabisa kabisa wakufwage huko!
Hebu oneni jamani[emoji134][emoji1745][emoji1745]
Ni suala la muda tu.Mmesahau na Misiba lazima walipie na kodi nao
Kwa hiyo nikiwa na sabuhufa yangu nikawa napiga nyimbo za taaratibu huku nikifurahi na familia yangu na ndugu walionitembelea kunipongeza kwa kufanikisha jambo muhimu wakati huo huo tunakamatia ubwechwe, na mnuso wa nguvu! Kuna uwezekano Askari wa akiba wakatushika 'tanganyika jeki'😳😳😳😳😳Lakini pia haijalishi umefanya ukumbini au nyumbani. Kwa mantiki hiyo wenyeviti wa Serikali za Mitaa kwa kutumia askari wa akiba al-maarufu Migambo watapita mitaani kuangalia kama kuna "mnuso" nyumba fulani ili wahusika walipe kodi.