Temeke, Dar: Ili upige muziki kwenye sherehe/shughuli utapaswa kulipia elfu 50 ya kibali

Temeke, Dar: Ili upige muziki kwenye sherehe/shughuli utapaswa kulipia elfu 50 ya kibali

Tunakoelekea ka nchi ni kuanza kutozwa kodi Hadi za vikojoleo vyetu sasa, then matit tax, au kichwa tax.naona kodi za kikoloni zikirudi tena nchini
Hahahah mtapigwa left & right hadi mtie akili au nasema uongo ndugu zangu 😂
 
Ajira hakuna, wafanyakazi hawajapandishwa mishahara, wengine wamegomea madaraja yale yale miaka mitano then leo anatokea mtu anasema birthday ya mtoto nilipie kodi, huu kama sio uchawi ni nini?
Utakuwa ulozi 😂
 
Safi sana but mbona viwango vipo chini hivyo?

Hivi hapa ndivyo vyenyewe sasa...

Ukumbi malaki 5
Chakula malaki 4
MC malaki 3
DJ malaki 2

Badala ya kuchangianaga kwenye mambo muhimu kama elimu, tiba, nk watu wanashobokeaga masherehe. Hiiiiiiiiiii!

Wacha wakomage kabisa kabisa wakufwage huko!
Sherehe unakula kuku😂 huo mchango wa elimu unafaidika nao nini zaidi ya kejeli na dharau za watu ambao wakishika madaraka wanasahau walipotoka? Tutachangia maakuli tu.
 
Hahahah mtapigwa left & right hadi mtie akili au nasema uongo ndugu zangu [emoji23]
Hii nchi Hali ngumu, hamna ajira biashara zimefungwa nyingi then mlevi aliyevimbiwa gongo anakuja na matamko ya hovyo
 
Kwa hiyo nikiwa na sabuhufa yangu nikawa napiga nyimbo za taaratibu huku nikifurahi na familia yangu na ndugu walionitembelea kunipongeza kwa kufanikisha jambo muhimu wakati huo huo tunakamatia ubwechwe, na mnuso wa nguvu! Kuna uwezekano Askari wa akiba wakatushika 'tanganyika jeki'😳😳😳😳
Hahahah mubasharaaa😂
 
Kibaya zaid hakuna wa kukemea haya hata Bungeni .uwiii[emoji29]
 
Nchi hii hawataki watu wawe na furaha, duuuu
Wangeita tozo ya furaha tu.

Nyumba yako, mshahara wako, gharama zote zako, furaha yako; ukiamua kufanya sherehe kwako elfu 50.

Na mgambo juu unaambiwa utaletewa usipotoa taarifa; kasheshe.
 
Kama hatutasikia Askari sugu kutobolewa matumbo na watu wajiandaye tu
 
Back
Top Bottom