Tendo la Ndoa lifanyike mara ngapi kwa wiki kwa wanandoa/wapenzi?

Kufanya tendo kila siku kunaathiri Sana especially hamu ya tendo inapungua.Wanandoa wanatakiwa wakae kwa muda fulani tuseme siku 14 na zaidi ndo wakutane kimwili,coz hii itaongeza hamu maana hapo kila mhusika atakuwa na hamu ya juu Sana.

Ni maoni yangu tu.
 
Kwa wiki kufanya sex ijumaa na jumapili kabla ya kwenda kanisani watoto wakienda kucheza.

Kwa mwezi mara 80 kwa mwaka, na hapo ujue mwanaume ana mtu wake wa ofisini, bank teller, na baa anapokunywa,
 
kwa wiki kufanya sex ijumaa na jumapili kabla ya kwenda kanisani watoto wakienda kucheza.

kwa mwezi mara 80 kwa mwaka, na hapo ujue mwanaume ana mtu wake wa ofisini, bank teller, na baa anapokunywa,
🤣🤣kwa mwezi mara 80?
Utaua mtu
 
🤣🤣kwa mwezi mara 80?
Utaua mtu
kwa siku unapiga morning glory kimoja, jioni akitoka kazini unampa kimoja na saa ya kulala usiku unampa ki moja, hapo tayari dozi ya 3* 1 ;
kaka sisi tuna libido/nyege sana na ukitaka mambo yawe mazuri piga mashine iwezekanavyo
 
Deile mara tatu,kabla ya kulala bao moja,ukistuka usiku bao moja na alfajiri bao moja,hapa tezi dume utaisikia kwa jirani tu.
 
sasa tusipopigwa paip vizuri sindio tunajikuta tunanunua dildo tyujifikishe kileleni wenyewe?

Ukiskia mtu anajiita single mom, sijui kajizalia anaishi mwenyewe huypo lazma anapiga puli
 
Kuna msemo unaosema "Too much is Harmful", sasa naomba kujua kitaalamu Mwanaume anapaswa kushiriki tendo mara ngap kwa wiki?
Hapa inategemea zaidi umri kama ni below 30 hata Kila siku kimoja kimoja sio mbaya ila kama ni above 30 basi mara tatu inatosha kabisa
 
Hapa inategemea zaidi umri kama ni below 30 hata Kila siku kimoja kimoja sio mbaya ila kama ni above 30 basi mara tatu inatosha kabisa
Mkuu kwa hiyo mara 3 watakusaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…