ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Mkuu, kila siku? Kuna watu mna nguvu asee[emoji1787]Kila Siku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, kila siku? Kuna watu mna nguvu asee[emoji1787]Kila Siku
Average kwa wiki[emoji1787][emoji1787] naona mleta mada anatamani kujua "average" zetu!Sioni haja ya kuwekeana ratiba labda kama mmechokana.
Ila kama mnapendana kwa dhati basi anytime kinahappen.
Ye ajipe raha tu kila wanapojiskia na mwenzi wake, haina tozo hiyo.Average kwa wiki[emoji1787][emoji1787] naona mleta mada anatamani kujua "average" zetu!
Watu kwenye ndoa hawagegedani kabisa...yaani 54 tuu kwa mwaka. Aisee kumbe ndio maana wanandoa wanachepuka.Kulingana na utafiti uliochapishwa kwenye jarida la labia ya kujamiiana unaonesha, wanandoa wastani hufurahia tendo la ndoa mara 54 kwa mwaka. Huu ni utafiti, tuje kwenye uhalisia.
Wengi tunapenda sana hili tendo. Japo msukumo wa kulifanya unatofautiana kati ya mtu na mtu. Wapenzi walioanza kuishi pamoja kuna uwezekano mkubwa wa kufanya kila siku. Wanandoa wapya pia ni hivyo pia.
Lakini pia wake zetu hawa huchoka na majukumu ya kazi au malezi ya watoto nyumbani na huathiri hamu nzima ya tendo la ndoa. Je, ili tendo la ndoa wote wafurahie linapaswa kufanywa kila siku? Mara ngapi kwa wiki?
Wewe una uzoefu gani kwenye hili jambo?
Nawasilisha.
HILI SIO TAIFA ALILOTABIRI NYERERE KUNA TATIZO MAHALI,VIJANA KUWAZA UTELEZI HAPANA AISEEKulingana na utafiti uliochapishwa kwenye jarida la labia ya kujamiiana unaonesha, wanandoa wastani hufurahia tendo la ndoa mara 54 kwa mwaka. Huu ni utafiti, tuje kwenye uhalisia.
Wengi tunapenda sana hili tendo. Japo msukumo wa kulifanya unatofautiana kati ya mtu na mtu. Wapenzi walioanza kuishi pamoja kuna uwezekano mkubwa wa kufanya kila siku. Wanandoa wapya pia ni hivyo pia.
Lakini pia wake zetu hawa huchoka na majukumu ya kazi au malezi ya watoto nyumbani na huathiri hamu nzima ya tendo la ndoa. Je, ili tendo la ndoa wote wafurahie linapaswa kufanywa kila siku? Mara ngapi kwa wiki?
Wewe una uzoefu gani kwenye hili jambo?
Nawasilisha.
Hakuna formula kikubwa ZINGATIENI nyege zenu tu na wanandoa wasinyimane baaasiiiii....Kulingana na utafiti uliochapishwa kwenye jarida la labia ya kujamiiana unaonesha, wanandoa wastani hufurahia tendo la ndoa mara 54 kwa mwaka. Huu ni utafiti, tuje kwenye uhalisia.
Wengi tunapenda sana hili tendo. Japo msukumo wa kulifanya unatofautiana kati ya mtu na mtu. Wapenzi walioanza kuishi pamoja kuna uwezekano mkubwa wa kufanya kila siku. Wanandoa wapya pia ni hivyo pia.
Lakini pia wake zetu hawa huchoka na majukumu ya kazi au malezi ya watoto nyumbani na huathiri hamu nzima ya tendo la ndoa. Je, ili tendo la ndoa wote wafurahie linapaswa kufanywa kila siku? Mara ngapi kwa wiki?
Wewe una uzoefu gani kwenye hili jambo?
Nawasilisha.
Uongo huuUkishakuwa katika ndoa ndio utagundua japo linaitwa tendo la ndoa lakini ni nadra sana kufanyika humo ndoani.
Unaweza kuta watu wanalala kitanda kimoja wakamaliza hata miezi 6 bila hata ya kugusana.
Samson mwenyewe na nguvu zake zote utelezi ulimchanganya, atakuja kua Nyerere tu hapo.HILI SIO TAIFA ALILOTABIRI NYERERE KUNA TATIZO MAHALI,VIJANA KUWAZA UTELEZI HAPANA AISEE
Piga mzigo acha kulalama, kila mtu ana viwango vyake.Kulingana na utafiti uliochapishwa kwenye jarida la labia ya kujamiiana unaonesha, wanandoa wastani hufurahia tendo la ndoa mara 54 kwa mwaka. Huu ni utafiti, tuje kwenye uhalisia.
Wengi tunapenda sana hili tendo. Japo msukumo wa kulifanya unatofautiana kati ya mtu na mtu. Wapenzi walioanza kuishi pamoja kuna uwezekano mkubwa wa kufanya kila siku. Wanandoa wapya pia ni hivyo pia.
Lakini pia wake zetu hawa huchoka na majukumu ya kazi au malezi ya watoto nyumbani na huathiri hamu nzima ya tendo la ndoa. Je, ili tendo la ndoa wote wafurahie linapaswa kufanywa kila siku? Mara ngapi kwa wiki?
Wewe una uzoefu gani kwenye hili jambo?
Nawasilisha.
Usiku cha kulalia , asubuhi cha kuamkia safi kabisaaa.🤣🤣Mkuu, kila siku? Kuna watu mna nguvu asee[emoji1787]
Kwa mwanamke angalau mara mbili au tatu Kwa wiki ila Kwa Mwanaume Kila siku inapendeza.Kulingana na utafiti uliochapishwa kwenye jarida la labia ya kujamiiana unaonesha, wanandoa wastani hufurahia tendo la ndoa mara 54 kwa mwaka. Huu ni utafiti, tuje kwenye uhalisia.
Wengi tunapenda sana hili tendo. Japo msukumo wa kulifanya unatofautiana kati ya mtu na mtu. Wapenzi walioanza kuishi pamoja kuna uwezekano mkubwa wa kufanya kila siku. Wanandoa wapya pia ni hivyo pia.
Lakini pia wake zetu hawa huchoka na majukumu ya kazi au malezi ya watoto nyumbani na huathiri hamu nzima ya tendo la ndoa. Je, ili tendo la ndoa wote wafurahie linapaswa kufanywa kila siku? Mara ngapi kwa wiki?
Wewe una uzoefu gani kwenye hili jambo?
Nawasilisha.
Hahahah nakubaliana nawewe lakini majukumu ya familia na uchovu wa kazi haviongezi au kupunguza siku za kufanya tendo?Uzuri mwenyezi Mungu mwenyewe alishatutengea siku za kupumzika
Zile zinazobaki tunazitendea haki na tunafanya kadri tunavyojiskia🤣🤣🤣🤣