Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HatariiOhhh
Kaaazi kweli kweli walahi
Hahahahaha
Anaekwambia Hakuna Amani ni akina Yericko Nyerere Tena Muda huo katoka kushiba ugali Na Matembele Yupo Tumbo wazi anachokonoa Meno kuondoa mabaki ya maharage Kwenye Meno kashika ki techno chake anabwabwaja tu
Hapo ni bullet proof Nadhani Ndio Ilikuwa target yakeHuyu mwanaume anajificha nyuma ya askari anazidiwa hata na kina dadaView attachment 995442
Sent using Jamii Forums mobile app
Msomali kisasi chake balaaKATIKA JAMBO LA MAANA ALILOFANYA KIKWETE NI KUKATAA KUPELEKA MAJESHI SOMALIA LA SIVYO AL SHABAB WANGEKUWA WAGENI WETU KILA MARA.MUSEVENI YEYE ALIKIMBIA HUKO BORA KENYATA AONDOE MAJESHI SOMALIA.
Acha kuiponda nchi yako wewe kijana mdogoNachofuraia ni jinsi television za kenya zinavyofanya coverage.. Sidhan if ingetokea hapa tz kungekuwa na coverage ya dizaini hii
hapa meli imezama nungwi ,tbc wanapiga taarab,ma ccm yenyewe yanafatilai coverage kenya kwenye tukio hili yako hapa yanafurahia damu ya wakenya ilivyomwagika wanawacheka eti security ndogo,unadhani sisi tungekuwa na jeshi somalia hao al shabaab wangetuacha?ushawahi kujiuliza ni rahisi kiasi gani kushambulia clubs,mall kma mlimani city hata kwa mabomu ya kutega kwenye gari?aina ya mashambulizi kama ya al shabaab ni magumu kuzuia hata nchi kubwa zimeshindwa,ukiwabana sana wanatumia wale jamaa wa kuvamia na ku run over watu na magari sehemu bizeNachofuraia ni jinsi television za kenya zinavyofanya coverage.. Sidhan if ingetokea hapa tz kungekuwa na coverage ya dizaini hii
Justification to add more kambi za USSi kuna uzi humu wakenya wanajisifu kwa kupanuliwa kambi za US nchini mwao? what hell is this nightmare again!
Sent using Jamii Forums mobile app
hapa meli imezama nungwi ,tbc wanapiga taarab,ma ccm yenyewe yanafatilai coverage kenya kwenye tukio hili yako hapa yanafurahia damu ya wakenya ilivyomwagika wanawacheka eti security ndogo,unadhani sisi tungekuwa na jeshi somalia hao al shabaab wangetuacha?ushawahi kujiuliza ni rahisi kiasi gani kushambulia clubs,mall kma mlimani city hata kwa mabomu ya kutega kwenye gari?aina ya mashambulizi kama ya al shabaab ni magumu kuzuia hata nchi kubwa zimeshindwa,ukiwabana sana wanatumia wale jamaa wa kuvamia na ku run over watu na magari sehemu bize
Wanao jiita magaidi na wale wanao sema wanawapiga magaidi (nchi za magharibi na vibaraka wao) wote lao ni moja, victim ni mimi na wewe bila kujali dini ...Halafu watadai wanapigania dini na wanampinga USA .
Watu wamekaririshwa chuki za kipumbavu.
Na hata vita vyenyewe ni vya kuvizia innocents
Sent using Jamii Forums mobile app
Siri kubwa ya usalama wa Tanzania ni umbeya wetu. Watanzania tuna uwezo mkubwa wa kufuatilia maisha ya wenzetu kiasi kwamba ni ngumu kufanya mipango ya uovu bila hizo habari kufika mashushusu. Kwa maneno mengine hapo ulipo kuna majirani zako wanahabari zako ambazo unadhani ni siri.Hivi unaongea kitu gani? hivi unajua ni mara ngapi wamejaribu na wameshindwa na kuishia kulalamika kuwa ni uonevu wa haki za binadamu?
Unakumbuka kilichotokea kule Kibiti au kule kwenye mapango ya Amboni Tanga?
Intelligence & counter-intelligence capabilities za TZ ziko juu sana hilo haling ubishi...
Wengine ni watoto wa shule hawaelewi yanayotokea nchi hii. Wanalinganisha kadhia ya Amboni na Kibiti ni sawa na siasa uchwara.Hivi unaongea kitu gani? hivi unajua ni mara ngapi wamejaribu na wameshindwa na kuishia kulalamika kuwa ni uonevu wa haki za binadamu?
Unakumbuka kilichotokea kule Kibiti au kule kwenye mapango ya Amboni Tanga?
Intelligence & counter-intelligence capabilities za TZ ziko juu sana hilo halina ubishi...